Hizo kelele za mtandaoni ndiyo moshi wenyewe huo, moto uko wapi?Hakuna Moshi. Hakuna moto.
Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.
Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.
View attachment 995933
Lissu aliwaambia lakini mkaweka nta masikioni.Pasipo na moto hapana moshi.
Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.
Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?
Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?
Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Haifiki hiyo report kwa namna yeyote ileCAG ana siri nzito
Special audit report kuhusu matumizi ya trilioni 1.5 ambayo Spika ameikalia kwa mujibu wa Zitto, inaweza ikawa ni tone tu katika bahari.
Subirini ripoti ya CAG ya 2017/2018 hii inaweza kuwa ni atomic bomb lenye madhara kama lille la Hiroshima nchini Japan.
Naomba CAG akomae na asitetereke katika hii vita.
Jibu la falsafaHizo kelele za mtandaoni ndiyo moshi wenyewe huo, moto uko wapi?
Hizo kelele za mtandaoni ndiyo moshi wenyewe huo, moto uko wapi?Hakuna Moshi. Hakuna moto.
Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.
Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.
View attachment 995933
hautabiliki= hautabiriki
Umeuona moto upi na wapi? Maana moshi kila upande.
CAG hata akiwa na Atomic Bomb. Nani wa kumtetea? Nani wa kumsikiliza?CAG ana siri nzito
Special audit report kuhusu matumizi ya trilioni 1.5 ambayo Spika ameikalia kwa mujibu wa Zitto, inaweza ikawa ni tone tu katika bahari.
Subirini ripoti ya CAG ya 2017/2018 hii inaweza kuwa ni atomic bomb lenye madhara kama lille la Hiroshima nchini Japan.
Naomba CAG akomae na asitetereke katika hii vita.
mleta hoja in MTU wako.mkanyeHakuna Moshi. Hakuna moto.
Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.
Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.
View attachment 995933
Hana cha kupoteza dunian Alahj imani yake Allah atamlinda
Hizo kelele za mtandaoni ndiyo moshi wenyewe huo, moto uko wapi?
Nyoosha tu wala usiogope ili tuuelewe uwo moshi au motoPasipo na moto hapana moshi.
Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.
Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?
Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?
Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Wewe ni miongoni mwa wanafiki wakubwa kutokea Tanganyika huru.Pasipo na moto hapana moshi.
Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.
Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?
Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?
Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Wa CAG nikiandika hivi: Hakuna wa kumtetea Assad, si serikalini si upinzani... - JamiiForumsSpika na CAG!
Ndege ukarabati bil 13, wananchi walipohoji tukasema ni bil 6 mlitunukuu vibaya. (Hapa CAG bado hajapita).
Dhahabu Mwanza (kwamba zilikuwa zinatoroshwa kwenda Rwanda).
Sitautaja wa UDOM maana najua lazima utakuwa umeuwaza pia.
Moto wa wagalatia siyo mchezo na bado!!Kelele za mlango hazimkoseshi usingizi mwenye nyumba.
Je, umeuona moto? Uko wapi?
Mimi naona moshi tu.