Nadhani critics wa Dkt Magufuli mzoee kwa sababu theoretically mmeshindwa kumyumbisha ndani ya miaka 3 (2016, 2017, na 2018) basi msahau kabisa kamwe hamtamyumbisha. Mtapata tabu sana mpaka 2025, na mrithi wake atakuwa zaidi ya yeye, ushauri labda mhame nchi au msage sumu mnywe mfe! Hakuna cha moshi wala moto, watanzania hatutishwi, tupo pamoja na tuna mpenda rais wetu ile kinoma! Wajahidina kama alshababu hawana nafasi ktk Tanzania, ila waislamu wa kweli tunatembeleana na kula daku kipindi cha mfungo na kwa resima.