Panapofuka moshi panaficha moto...

Panapofuka moshi panaficha moto...

Hapo tu ndio huwa namkumbuka JK na falsafa yake,..... "huu ni upepo tu utapita"

Mimi huku kitaa sioni kabisa kinachoendana na yanayosemwa humu JF!

Nachoona huku kitaa ni watu wanaopambana na hali zao kila siku.

13678473-2E6A-4B67-BCDE-74BE5FEED83A.jpeg
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Moto uko nahisi ni moto wa tofauti za vyama, moto wa tofauti za udini, ni moto ya tofauti ya uongozi wa sasa, moto wa tofauti ya kikabila na moto wa tofauti za ukanda
 
CAG ana siri nzito

Special audit report kuhusu matumizi ya trilioni 1.5 ambayo Spika ameikalia kwa mujibu wa Zitto, inaweza ikawa ni tone tu katika bahari.

Subirini ripoti ya CAG ya 2017/2018 hii inaweza kuwa ni atomic bomb lenye madhara kama lille la Hiroshima nchini Japan.

Naomba CAG akomae na asitetereke katika hii vita.
Usalama wa siieijii Uko hatarini mbaya zaidi hawezi kuchomoka kwasababu yuko chini ya himaya yao
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Colombia Colombia Colombia Colombia colombia music ooooooooo
music oooooooooo x 4
Colombia Colombia Colombia Colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia 🎶
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Kwa mara ya kwanza leo nimekupa like. Taratibu tunaanza kuongea lugha moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Moshi. Hakuna moto.

Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.

Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.

View attachment 995933
Na hilo ndiyo tatizo kubwa la waTz, asilimia kubwa ya watu wako gizani kwa mambo mengi sana. Hata kukiwa na moto, watakaouona ni wachache na hata wale wachache watakaouona, bado ni wachache pia watakua concerned. Ni raha sana kuongoza watu wa aina hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndo unawaka zaidi.nasikia Mr speaker kakataza bunge lisifanye kazi na mkaguzi wa mahesabu ya serikali.
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Una dodosa vyema,nasita kuchangia kwani bandiko lako laweza pelekwa pasipo julikana
 
Back
Top Bottom