Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,077
- 136,517
Hapo tu ndio huwa namkumbuka JK na falsafa yake,..... "huu ni upepo tu utapita"
Mimi huku kitaa sioni kabisa kinachoendana na yanayosemwa humu JF!
Nachoona huku kitaa ni watu wanaopambana na hali zao kila siku.