Panapofuka moshi panaficha moto...

Panapofuka moshi panaficha moto...

Bila shaka! Report yake ya ukaguzi wa mahesabu ya mwaka 2017/2018 iko due mwezi April halaf wanamchachafya ili ajiuzulu sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ni kumwondoa ili awekwe jamaa mmoja anaitwa Mashari toka Chattle ilikuwa atangazwe mara moja kama huyu wa sasa angepotea step kidogo tu. Sasa kawawahi, sijui kama wataendelea na mpango wao au wataahirisha. Details nyingi zipo ila itoshe tu kusema haya.

Kumbukeni ile 1.5t, iliamriwa ichunguzwe tena. Uchunguzi wa pili ukagundua madudu zaidi. Ripoti akakabidhiwa bingwa wa fimbo za kichwani tangu mwakajana. Wanahaha namna ya kuifanya isijadiliwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli moshi unafuka!!,kwa kuwa zilongwa mbali zitendwa mbali (kizaramo). Matamko yanayotolewa na mkuu wa kaya na wote aliowateua Yanatulazimisha tukubali kwamba serikali iliyopo inamjali mnyonge na maumivu tunayoyapata tuyavumilie!!.Lakini kiuhalisia yote ni uongo kwani raia tumebinywa mpaka mbavu zinavunjika huku viongozi wanahomola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
sijakusoma
 
Wewe, hizi picha si hata kwenye mitandao zimo! Umesahau technology kuwa unaweza hata ukaweka kichwa chako kwenye kiwiliwili changu!

6391D730-393B-4F29-856D-97869C302B0B.jpeg
 
Back
Top Bottom