Panapofuka moshi panaficha moto...

Panapofuka moshi panaficha moto...

Tumechoka na wale wapenzi wa viongozi wa zamani, hasa waliotumbuliwa kwa uongozi mbaya, kustaafu au mifumo ya maisha yao kubadilika kwa faida ya hii nchi, kisa ni kufuata sheria bila shuruti!
Wengine wanaingiza udini, ukabila na hata jinsia!
Yote haya haya nini?! Uongozi ulipo utaondoka karibuni tu, labda yatakuja tena yale maisha ya zamani ya uongozi uliopita, ila kwa sasa tufuate haya, na tunajuwa haya maisha ya sasa ndiyo "real" ila hatutaki kuyakubali!
 
Mm nauona moshi wa tatizo la Ajira Tanzania..... Na kupanga kwa thamani ya dolla uku tukiagiza kila kitu kutoka nnje.
Ajira nadhani zipo nyingi nje ya miji. Hususan za kujiajiri.
 
Back
Top Bottom