Panapofuka moshi panaficha moto...

Panapofuka moshi panaficha moto...

Lini (before these past few months) ulishahoji au kuashiria mambo kutokuwa sawa mahali? Hilo la upunguani nakuachia mwenyewe.
Unaonesha hunisomi. Lini mambo yaliwahi kuwa sawa kwenye nchi zenye "demokrasia"?
 
Kwani, kwa kuzitazama hizo fremu, na muda ambao picha imepigwa, unadhani
1. Je, inaonyesha bidhaa zipo kwenye kuuzwa masaa 24?
2. Unadhani kutokufungwa kukosa wapangaji maana yake nini?
3. Bidhaa aina zote zinapatikana hapo?

Hizo fremu nazijua.

Wenyewe nawajua.

Wapangaji wake nawajua.

Hazijakosa wapangaji. Zote zimepangishwa.

Zipo Mwenge mtaa wa Migombani karibu na kwa Afande.

Unaweza kwenda hata leo ukashuhudie mwenyewe uone kama zimefungwa kwa kukosa wapangaji au la.

Hujui zimepigwa picha siku gani. Umerukia kuhitimisha tu.

Fremu zote hizo zipo occupied!!

Kwa taarifa yako...
 
Fikiri useme moto unauona wewe uko wapi na vyanzo chake nini.

Ni mada ya wazi inayompa kila mmoja fursa ya kutoa maoni yake bila shinikizo.
Na ndo maana hasa ya post yangu... umeacha wazi kiasi cha kila mtu aseme lake kutegemeana na anataka kuzungumzia nini... WA UDOM, wa CAG, wa Bar kuwa wazi masaa 24, WA MAKOSA YA GARI KUWA NA FAINI MOJA etc
 
Hizo fremu nazijua.

Wenyewe nawajua.

Wapangaji wake nawajua.

Hazijakosa wapangaji. Zote zimepangishwa.

Zipo Mwenge mtaa wa Migombani karibu na kwa Afande.

Unaweza kwenda hata leo ukashuhudie mwenyewe uone kama zimefungwa kwa kukosa wapangaji au la.

Hujui zimepigwa picha siku gani. Umerukia kuhitimisha tu.

Fremu zote hizo zipo occupied!!

Kwa taarifa yako...
Kuzifahamu kwako hakutupi ukweli wa ukisemacho... KWA AFANDE KILA MTU ANAPAJUA KWA KINACHOUZWA HAPO...
 
safari hii RAIS MKRISTO FAIZA FOXY NAONA ANAJARIBU KUMKOSOA. SABABU NI MKRISTO. HUYU ALIKUWA AKIPIGANA KWA KUCHA NA MENO KUMTETEA KIKWETE NA KIONGOZI YEYOTE WA KIISLAMU. watu wanaingia kwenye Mtego wake. Wanasema faiza sasa ame ona nuru. hakuna kitu hapa. Magufuli is here to stay kama tutamwondoa iwe kwa sababu ya mabaya yake ni sababu ya dini yake.
Hakuna Moshi. Hakuna moto.

Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.

Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.

View attachment 995933
 
Kwa tabia yake CAG ni mwajibikaji sasa bahati mbaya ana anatakiwa afanye kazi na wababaishaji kama hawa Wakina Ndugai a.k.a mzee Fimbo na watu waliolewa mvinyo wa madaraka kutoka Chama cha Kijani.Anapowakumbusha watu wajibu wao ndiposa wananģaka kama Mbweha.Mimi Ngazombe Maina na Neno litaendelea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzifahamu kwako hakutupi ukweli wa ukisemacho... KWA AFANDE KILA MTU ANAPAJUA KWA KINACHOUZWA HAPO...

Kama unapajua kwa Afande basi ni rahisi sana pia kujua kama hizo fremu zipo tupu au la.

Jana tu nilikuwa hapo na zote zilikuwa zimefunguliwa.

Na baadaye mchana naenda tena hapo.

Hujui unachokiongelea hapa.
 
1. Tulia mwana tulia, uyaone ya dunia,
Punguza zako haraka, bure utaangamia,
Magumu yakikujia, ivute yako subira,
Siku yenyewe si mbali, Vipi mwajawa kihoro.

2. Busara yahitajika, mto tuvuke salama,
Mengi mmeyatamka, wababa na kina mama,
Hofu mmeianika, mkatupa na lawama,
Siku yenyewe si mbali vipi mwajawa kihoro.

3. Tumuombe rabuka, ajaze yake rehema,
Atupe yake baraka, mabaya yageuke mema,
Atuepushe na nyoka, siku tuivuke vyema,
Mungu mwingi wa huruma, ibariki Tanzania.
 
Pasipo na moto hapana moshi.

Je, kuna moto unawaka chini kwa chini Tanzania? Maana moshi kila sehemu.

Cha kujiuliza ni kutafakari, huu moshi unaofuka kila sehemu ni wa mazingaombwe tu na hakuna moto au kuna moto kweli uliowaka au uliowashwa lakini zimamoto yetu haiuoni au tunaoamini kuwa ndiyo zimamoto wetu shupavu wao ndiyo wapepeaji wa huo moto?

Moto upi? Unawaka wapi? Utamuunguza nani na nini? Unaweza kuzimika? Au tunaweza kuuzima wenyewe? Au tunahitaji msaada wa kuuzima huu moto?

Wewe unauona huo moshi? Au tayari unauona moto?
Kuna hisia hiyo inayoenea kama moto wenyewe.

Ni matamanio ya wanasiasa kutafuta umaarufu ili wapate madaraka kwa gharama yoyote ile.

Kama ulivyoanzishwa utatoweka baada ya Chaguzi zifuatazo.
 
Fikiri useme moto unaouona wewe uko wapi na chanzo chake nini.

Ni mada ya wazi inayompa kila mmoja fursa ya kutoa maoni yake bila shinikizo.
Faiza acha kuficha ficha sema tuu unataka kuongelea tokeo la UDOM na Assad...kuwa manamke wa shoka acha bla bla.
 
Faiza acha kuficha ficha sema tuu unataka kuongelea tokeo la UDOM na Assad...kuwa manamke wa shoka acha bla bla.
Ni mada ya wazi inayompa kila mmoja fursa ya kutoa maoni yake bila shinikizo.
 
Bibi wa serikali ya Kikwete, Magu kakiwasha kila mtu kachanganyikiwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mm nauona moshi wa tatizo la Ajira Tanzania..... Na kupanga kwa thamani ya dolla uku tukiagiza kila kitu kutoka nnje.
 
Back
Top Bottom