Nchi hii imeshakuwa Muflis, hakuna cha Bunge, hakuna cha Mahakama, hakuna cha Executive. Wote wapo katika Roaming mode hakuna anayejua exactly nchi inahitaji nini, twende vipi na kwa wakati gani.
Bunge linaiogopa serikali
Mahakama inaonyesha kila dalili za kuendeshwa kwa remote control
Serikali yenyewe inajiendea tu!
Hiki kizazi cha sasa tukubali tu kuwa hatuna chetu, labda Kizazi cha miaka 50 ijayo ndo kitakuwa serious na mambo ya nchi. Lakini sisi ni wachache mno tunaojua tunachokihitaji kama nchi, majority wapo Usingizini na Viongozi wetu wanawaza kwanza "Ulua" wao kabla ya "Ulua" wa nchi matokeo yake tunapiga MARKTIME TU, Hatujui tulipo hatujui tunapokwenda!!.
We are wondering in the desert of Ignorance, Hipocricy abuse of Power and short sightedness!