The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
Mimi huku kitaa sioni kabisa kinachoendana na yanayosemwa humu JF!
Nachoona huku kitaa ni watu wanaopambana na hali zao kila siku.
View attachment 995985
Unajua nini mwaba, kuna uhalisia wa mambo na kuna matamanio, fikra au kuna nmna watu wanafikiria mitazamo inaweza kuwa hali halisi, ni vitu viwili tofauti.
Nakumbuka wakati wa sakata la escrow, watu walizoza, walizoza, lakini likapita, wachambuzi na nguli wa mambo ya siasa walikuja na nadharia za kila aina lakini mambo yakaenda tofauti.
Kwa ufupi, chochote kinachoendelea, kama hakiathiri watu, au hakijaleta madhara, watamalizana wenyewe huko huko.
Watu wanaendelea kupambana na hali zao...