Hii ni sawa sawa na Kumuua Yesu.. watu wanashangilia kumbe kuna mitume wamejibanza mahali.. wanasubiri time yao ifike waanze kumwaga neno!
Actually Wapakistani wanadai walishiriki, Wamarekani wanasema hawakuambiwa mpaka baada ya tukio so theory yako haileti maana yoyote.
Kama Pakistan inaogopa retaliation wasingedai wameshiriki.
Huwezi kumfananisha marehemu Osama na Yesu
Sio kwamba hizo helikopter zime fly below radar. Ni kwamba wapakistan hawtaki kuonekana kama wameshiriki.
Eneo hilo kuna kitua cha kijeshi na pia sio mbali sana kuna ka kituo ka nyuklia. No way hata simple radar ishndwe kuona low flying helicopter.
Hii movie ni kwamba serikali ya pakistan wanaogopa kuonekana wanashirikiana na marekeni
Kama uliwaamini kwamba Osama bin Laden ana-exist kwa nini usiamini kwamba kauwawa? Or have you seen Osama face to face? Unataka uende kukagua maiti? If you did depend on the media from the start on all these information about Osama why hesitating today? Camon man...
wanajidanganya wamewasha moto upyaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Mpaka sasa hajajibu mapigo, kwa hiyo ina maana Straatkasyambe kaingia mitini!You can't fool great thinkers Straatkasyambe...
Hukuona picha Aljaazira au ulitaka zirushwe na nani?
Akili mgando!!
Kama Osama wako yupo basi si ajitokeze na awaumbue wakina Obama ama atoe CD/DVD ama vijitapes vyake?
Ku-respect dini yao ndio kutupa mwili baharini!?Sijasema DNA ina-prove death. DNA ina prove identity! Waislamu wanazika ndani ya 24hrs. Hiyo ni ku-respect dini yao maana hawataki attack yeyote kutoka kwa waislamu kuwa hawaja heshimu dini yao, nk. Maana watu wanapenda kudandia kosa lolote ilimradi wapate sehemu ya kuponda na kushtumu!
wakibaki na mwili watapata faida gani?
Ni uongo wa Serikali ya Obama kuwa Osama bin Laden eti wamemuwa na Maiti yake kuizika Baharini Wa Tanzania amkeni acheni Usingizi. Tunachotaka Ushahidi wa picha za Osama kama Bush alivyo Wauwa na kuonyesha Picha za Watoto wa SAADAM HUSSEIN walivyouliwa IRAQ, huo ni uongo wa Rais Obama kumuuwa Osama Bin Laden na kumzika eti Baharini Wabongo Amkeni jamani. Uongo wa Serikali ya Marekani kumuuwa Osama ni kama Uongo wa Mayahudi kumuwa Bwana Yesu Kristo na hawakuumuwa huyo YEsU hao Wayahudi.
Wakati Osama anafaidi 'bikra 72' ngoja wengine tuendelee na maisha yetu ya kila siku.
Hamna kitu. Alqaeeda wenyewe tuliobakia hata mhogo unatushinda kununua jamani. Angalia tu jinsi grafu ya misaada iliyokuwa ikitolewa na osama siku za karibuni ilivyoshuka tofauti na zamani. Waliobakia ni wahuni tu wenye shida ya kupewa misaada
Vuvuzela napingana na mtazamo wako kwa kiasi kikubwa. Lazima tufahamu Osam was a normal human being like us though dangerous, kuugua na kufa nae pia alipaswa ku-experience the same. Tell me " who knows kama Osama kisha kufa siku nyingi, wame-prove hilo na ndo wanakuja na uongo wao" kwa kujua hawezi kutoa CD/DVD au tape. Hukumbuki Bush aliwahi kutangaza hilo before?
.Unajua ukimiliki vyombo ya habari unamiliki na akili za watu wasiopenda kufikiri, bbc news wamesema kapigwa risasi ya kifua, jioni ya leo CNN NEWS wamesema kapigwa risasi za macho. The Sun wamesema alikuwa kalala ndani kwake elikopta ikamshambulia, habari zingine zinasema kazikwa na watu wachache baharini, Marekani walisema wanamtaka Osama akiwa hai au amekufa, Osama kauwawa usiku halafu kazikwa asubuhi. Ahahahaha..
You can't fool great thinkers Straatkasyambe, do you see how Mkasika has reveal your silly post? Don't Try It again!
Hata wewe unatudanganya. Kama yupo hai, tuambie yuko wapi na anafanya nini.