Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!

exactly especially after the current allegation on birth place and date for obama
 
Having lived in various locations I am fascinated by the notion that Pakistan's police and security forces were unaware of Bin Laden's location.

Every place I lived in, everyone in the neighborho­od knew me by name or by sight. They knew when I had arrived in the area and were aware of who I knew and dealt with on a regular basis.

Anywhere a newly built compound worth close to $1M is occupied all the local tongues would wag incessantl­y about who built it and who lives in it. The food being delivered and the visitors would be analyzed at length by the locals and the constabula­ry would make a point of dropping by to introduce themselves and to inquire into any services they could offer and any money to be made, I mean c'mon now, you know us.

Since there was a massive reward offered for Osama's location I am sure his image was openly published and available to anyone curious about the strangers in the neighborho­od.
 
Hivi
  • kuna muislam anakubali views za Osama ndio image ya uislam ?
  • Kuna wakristu wanadhani Osama anarepresent views na mafundisho ya Uislam


Inashangaza kama kuna waislam wanashindwa kumemea OSama just sababu anatumia mgongowa dini. Na inashangaza watu kudhani views za Osama ni views za waislam wote.
 
bongo bwana....

kwa muda hutosikia tena mafisadi, magamba, maandamano wala nini..yaani ni bendera fata upepo:A S cry::A S cry:
 
Read between lines, imendikwa Believed by Pakistans. Askarikanzu kwa hiyo wewe unaamini hawawezi kumuuwa?
Inaonekana na wewe pia unaamini kama mapakistani.

Hebu angalia bwana'ke Bhuto (ambaye ndie rais wa Pakistani hivi sasa) nae alisema nini kuhusu bin Laden (April 2009)!

 
Last edited by a moderator:
Naona baadhi ya wakilisto wanapenda sana kueneza vitu vya uongo na kuvishikilia kwenye akili zao...!

Mimi ni Muislam kindaki ndaki haswa, ukipenda waweza kuniweka kwenye kundi la siasa kali...! Lakini katika kusoma kwangu kote uko sijawahi kuona hiyo kitu ya mabikira 72.

Ni wapi hii habari ya mabikira 72 imeelezwa kwenye Uislam?

Labda unazungumzia wakiviacha vyote watapata kila kitu mara 100. I mean Wake mia, mashamba n.k

Wewe umejuaje sisi ni "waklisto"? Ukiangalia hiyo post yangu hakuna sehemu yoyote niliyotaja uislamu na bikra 72 tusiwe wepesi kuingiza udini kwenye sehemu ambayo haupo. Hiyo ya 'bikra 72' ni upupu tunaousoma kila siku kwenye mitandao kwamba ni moja ya vitu vinavyotumika kuwajaza ujinga vijana ikli wajitoe muhanga.
 
Lazima tuwaamini wamarekani kwa kila jambo wanalolitangaza kwenye media zao, wao si ndio makaka wa dunia bana.

Walitutangazia kuwa Sadam Hussein ana silaha za Nyuklia, wengi wakabisha, lakini kwa ushupavu na uhodari wao wakavamia Iraq na wakakuta kweli, Serikali ya Iraq inamiliki siraha za maangamizi.
 
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!

Hao wamarekani walikufuata na kukulazimisha uwaamini au? Watanzania tunapenda sana kujitutumua kwenye maswala ya nchi nyingine wakati ya nchini kwetu yanatushinda.
 
Wewe umejuaje sisi ni "waklisto"? Ukiangalia hiyo post yangu hakuna sehemu yoyote niliyotaja uislamu na bikra 72 tusiwe wepesi kuingiza udini kwenye sehemu ambayo haupo. Hiyo ya 'bikra 72' ni upupu tunaousoma kila siku kwenye mitandao kwamba ni moja ya vitu vinavyotumika kuwajaza ujinga vijana ikli wajitoe muhanga.
Aliye anza dhana ya udini ni wewe na mwenzio yoyo... aliyesema kuwa Osama yupo mbinguni anafaidi mabikira 72 ni nani?
Sasa lini ulichukua jitihada za kutafuta ukweli au kila linalosemwa kwenye mtandao na wewe unalibeba kama kilivyo?
 
Inaonekana na wewe pia unaamini kama mapakistani.

Hebu angalia bwana'ke Bhuto (ambaye ndie rais wa Pakistani hivi sasa) nae alisema nini kuhusu bin Laden (April 2009)!



He was thinking the same!. Anyway mimi sikuamini sana hiyo news, kwani siko huko North Asia, mimi hii story niliambiwa na school mate wangu Mpakistan. Lakini Bwana Askarikanzu hata Patrick Lumumba mpaka sasa hafahamiki nani alimuuwa. Anything can be true, mimi niliweka hiyo thread ili kuweza kujua upande mwingine unasemaje..
 
Last edited by a moderator:
> America wanaufanya ulimwengu mzima bunch of fools lakini hebu waulizwe wamerekani how much has costed to secure bin Ladin, na huu ndio mwisho wa safari ?

No wamesema huu sio mwisho wa safari, and the show goes on.
 
Kuna sehemu nimeandika hivi:
Lazima tuwaamini wamarekani kwa kila jambo wanalolitangaza kwenye media zao, wao si ndio makaka wa dunia bana.

Walitutangazia kuwa Sadam Hussein ana silaha za Nyuklia, wengi wakabisha, Mimi nikiwa mmoja wapo, lakini kwa ushupavu na uhodari wao askali wa kimarekani wakaivamia Iraq na wakakuta kweli, Serikali ya Iraq inamiliki silaha za maangamizi.

Kuna watu watabisha kuwa Marekani haikukuta silaha za maangamizi Iraq.
 
Hakuna hata mmoja wetu aliediriki kusema R.I.P Osama Bin Laden, jamanii hii soo, hata kama kauawa ina maana ndo hatusemi tena RIP? Je anaenda wapi huyu jamaa? Je kwa vile si shujaa wa Wamarekani ndo hatumpi RIP? Kila mwenye kupambana ni shujaa kwa upande wake otherwise ni kinyume chake...R.I.P Shujaa Osama bin Laden...
 
Mkuuu sikatai kuwa serikali ya pakistan iko cmmited lakini kuna idaidi kubwa ya wanachi wana faith ya ajabu na OSAMA alikuwa anakubalika. na ndio maana hata safe heaven yake ilikuwa pakistan sio india au Indonesia.

Nimesoma muda mfupi idadi ya watu wengi tu wamendamana kwenye mji fulani uko pakistan wakichoma bendera ya USA kupinga kuuwawa kwa osama. U can see what I mean.

Nakubaliana na yote uliyoyasema lakini kuna public kubw atu jamaa ana suport ina inamkubali

Kwa hili sibishi, nakuunga mkono mkuu. Hoja yako imesimama
 
Masheikh mbali mbali nchini Leo wametoa matamo yao kuhusu kifo Cha Osama bin laden. Masheikh wengi wa tz wakihojiwa na Redio mbali mbali za kiislam tanzania wamesema Osama ametangulia kwa Muumba wake kama binadaamu wengine waliofariki. wamesema kila binaadamu atakufa kwa njia yoyote ile
lkn yeye amekufa shahidi mbele ya jamii ya kiislam kwani aliongoza mambano dhidi ya unyanyasaji wa mtiafa ya magharabiri .
SOURCE: redio Imani, Redio Kheir
 
Masheikh mbali mbali nchini Leo wametoa matamo yao kuhusu kifo Cha Osama bin laden. Masheikh wengi wa tz wakihojiwa na Redio mbali mbali za kiislam tanzania wamesema Osama ametangulia kwa Muumba wake kama binadaamu wengine waliofariki.lkn yeye amekufa shahidi mbele ya jamii ya kiislam. ameuwa kama shujaa aliesaidia kondoa dhulma
Such hypocrites....
Too unbecoming!
 
Mimi naamini moja kwa moja kuwa hii ni propaganda ya Obama ili kufuta mapungufu yake juu ya kutotunza ahadi zake wakati wa kugombea urais including kutoingiza tena Marekani katika vita!
Mind you guys uchaguzi uko mlangoni Amerika unadhani atakuja na ajenda gani ya kuwa convince wamarekani kumchagua tena kama sio "kupiga pentagon" he is trying hard to win back American buoyancy to his leadership!
 
Aliye anza dhana ya udini ni wewe na mwenzio yoyo... aliyesema kuwa Osama yupo mbinguni anafaidi mabikira 72 ni nani?
Sasa lini ulichukua jitihada za kutafuta ukweli au kila linalosemwa kwenye mtandao na wewe unalibeba kama kilivyo?
Sasa huo udini umetokea wapi wakati ushasema kwenye Kurani hakuna sehemu inayotaja 'bikra 72' ?
Soma tena between the lines it was a sarcastic remark...Kama umeamini kuwa ni comment yenye udini hayo ni maamuzi yako na hakuna chochote ambacho naweza kufanya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom