Obama noma!!!!! Haters giive it a rest!! Another 4 years!!!
best president ever!!!!
Hiyo inaitwa ......three point and a buzzer....next Tea Party.....nitam-join Ngosha NN
Obama noma!!!!! Haters giive it a rest!! Another 4 years!!!
best president ever!!!!
Ivi wewe unadhani hapa una-deal na jeshi la Tanzania. Ivi unajua hizo helicopter zilizokuja zilifly kutoka Afghanistan below radar detection?
Unadhani Marekani hawana aircraft carrier zao huko baharini pembeni mwa hizo nchi? How long will it take to fly the helicopter with the body to an aircraft carrier?
I dont think we needed Osama in our everyday life because he is not water or air or any necessary basic need...he had his interests and we have our interest bt we trust the US ARMYNdugu wadau;
Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.
Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.
We need to receive it with intensive care!!!
Hiyo inaitwa ......three point and a buzzer....next Tea Party.....nitam-join Ngosha NN
BBC News - Osama Bin Laden dead
Hapo una maneno nimeweka ni ya kwanguu lakini nimesikiliza na kusoma BBC na wanasema na kuandika kazikwa tayari. kwa matamshi/maadishi yao wamesema ili kuendana na muslim faith .
But nadhani watakuwa wamechukua kipande cha nyama kwa ajili ya kumbukumbu na DNA.
lol
Sio kwamba hizo helikopter zime fly below radar. Ni kwamba wapakistan hawtaki kuonekana kama wameshiriki. Lazima kuna ofiss wa ngazi za juu wachache walijua. Inawezekana hata radr ziliharibiwa makusudi kwa ajili ya operation.
Eneo hilo kuna kitua cha kijeshi na pia sio mbali sana kuna ka kituo ka nyuklia. No way hata simple radar ishndwe kuona low flying helicopter.
Hii movie ni kwamba serikali ya pakistan wanaogopa kuonekana wanashirikiana na marekeni wazi wazi. Ni kama vile Jk anavyoogopa kupigana na ufusadi wazi wazi Au mpaka asaidiwe na Mukama na Nape......... haikuwa nia yake ........inamlazimu tu ...............
Hii ya kuzikwa baharini haiingii akilini mwangu. Kazikwa bahari gani hiyo? This whole thing is just bizarre to me.
Arctic Ocean...
Ni uongo wa Serikali ya Obama kuwa Osama bin Laden eti wamemuwa na Maiti yake kuizika Baharini Wa Tanzania amkeni acheni Usingizi. Tunachotaka Ushahidi wa picha za Osama kama Bush alivyo Wauwa na kuonyesha Picha za Watoto wa SAADAM HUSSEIN walivyouliwa IRAQ, huo ni uongo wa Rais Obama kumuuwa Osama Bin Laden na kumzika eti Baharini Wabongo Amkeni jamani. Uongo wa Serikali ya Marekani kumuuwa Osama ni kama Uongo wa Mayahudi kumuwa Bwana Yesu Kristo na hawakuumuwa huyo YEsU hao Wayahudi.
Waislamu punguzeni mikwara nyau, marekani haijakosea chochote kwa waislamu kama sio kununua mafuta yao, wakitajirika ndio wanazidi kujiona, mafuta hayako kwao tu, angalia Bush alitaka kuachana na mafuta ya nchi za kiislamu, unaona nchi za waarabu wanavyogombania na kujipendekeza kuuza mafuta kwa wakristo wazungu? hebu tazama miondoko ya UAE, QATAR, LIBYA, SAUD ARABIA na BAHRAIN, angalia nchi hizi zina ugomvi chinichini wa kugombania soko la mafuta yao, na ndio maana Qatar wanaipiga kwa hamu libya sasa hivi ndege nyingi zinazorusha mabomu libya ni za jeshi la QATAR. ondoeni huyo sumu iliyomo ndani yenu, japo nyinyi wa Tanzania, achaneni na ujinga
Hahahaha mkuu, I know kuna watu hii habari si nzuri kabisa kwao kuelekea 2012. There will be a lot of consipiracy theories to distort the truth. Obama got him!