Waislamu punguzeni mikwara nyau, marekani haijakosea chochote kwa waislamu kama sio kununua mafuta yao, wakitajirika ndio wanazidi kujiona, mafuta hayako kwao tu, angalia Bush alitaka kuachana na mafuta ya nchi za kiislamu, unaona nchi za waarabu wanavyogombania na kujipendekeza kuuza mafuta kwa wakristo wazungu? hebu tazama miondoko ya UAE, QATAR, LIBYA, SAUD ARABIA na BAHRAIN, angalia nchi hizi zina ugomvi chinichini wa kugombania soko la mafuta yao, na ndio maana Qatar wanaipiga kwa hamu libya sasa hivi ndege nyingi zinazorusha mabomu libya ni za jeshi la QATAR. ondoeni huyo sumu iliyomo ndani yenu, japo nyinyi wa Tanzania, achaneni na ujinga