Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Wamarekani kwa sifa ni lazima wangeweka picha yake nangana na Nyani Ngabu huenda ikawa ni Strategy ya Campaign ya 2012
 
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!
 
Kwanini tuwaamini wamarekani kuhusu kifo cha osama bin laden?
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi "mabaki ya mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!
 
Kuzikwa baharini kupo na sio ajabu, na sababu mojawapo ambayo naamini wameichukuwa kumzika baharini ni kuwanyima fursa watu kama wewe mnaoamini Osama ni shujaa, njia nzuri ya kuwanyima nafsi ya kumuenzi ni kuwanyima kaburi la kwenda kuhiji ili muwe magaidi wazuri, na maiti wangekabidhiwa familia msafara wake wa kwenda kumzika ungejaa hamasa za kigaidi na TAKIBIRII za kuhamasisha ugaidi zingekuwa nyingi. pili nilishakujibu, dini yenu ya kiislamu hairuhusu kuonesha picha za maiti. (mzoga wa Osama Bin Laden ).
Yaani Marekani inaheshimu dini ya kiislamu wakati tukiwa maiti tu.Hii heshima wangeionesha kwa wale masheikh wetu walio hai ambao wanastahiki kupewa heshima zaidi mbele ya familia zao.Mbona huwa wanawafuata mpaka vyooni.
Kumuonesha Osam akiwa maiti kwao ingekuwa na faida zaidi kuliko kumzika.Osama ikiwa hayuko hai basi hakufa jana.Obama anataka kujionesha kidume kwa kutumia uongo.
 
Yaani Marekani inaheshimu dini ya kiislamu wakati tukiwa maiti tu.Hii heshima wangeionesha kwa wale masheikh wetu walio hai ambao wanastahiki kupewa heshima zaidi mbele ya familia zao.Mbona huwa wanawafuata mpaka vyooni.
Kumuonesha Osam akiwa maiti kwao ingekuwa na faida zaidi kuliko kumzika.Osama ikiwa hayuko hai basi hakufa jana.Obama anataka kujionesha kidume kwa kutumia uongo.

Sipati shida tena ya kufanya argument na wewe, kwa sababu najuwa mmempoteza shujaa wenu. Teqibirr.
 
Kauliwa jana na keshazikwa baharini. Why baharini? Nani anazikwa baharini?

Wapi picha? Wapi video?

Nilipohoji mtiririko wa matukio haya asubuhi ...na nikagusia unafiki wa Wamarekani... baadhi walijua ni KELELE za MpigaKelele... tusubiri tuone.
 
Kama uliwaamini kwamba Osama bin Laden ana-exist kwa nini usiamini kwamba kauwawa? Or have you seen Osama face to face? Unataka uende kukagua maiti? If you did depend on the media from the start on all these information about Osama why hesitating today? Camon man...
 
Kuzikwa baharini kupo na sio ajabu, na sababu mojawapo ambayo naamini wameichukuwa kumzika baharini ni kuwanyima fursa watu kama wewe mnaoamini Osama ni shujaa, njia nzuri ya kuwanyima nafsi ya kumuenzi ni kuwanyima kaburi la kwenda kuhiji ili muwe magaidi wazuri, na maiti wangekabidhiwa familia msafara wake wa kwenda kumzika ungejaa hamasa za kigaidi na TAKIBIRII za kuhamasisha ugaidi zingekuwa nyingi. pili nilishakujibu, dini yenu ya kiislamu hairuhusu kuonesha picha za maiti. (mzoga wa Osama Bin Laden ).

Nadhani sababu kubwa ya kuamua "kumzika" baharini ni hiyo kwenye rangi. Maana hata kaburi la Saddam huwa linapata watu wengi wanaokwenda "kuhiji" katika kaburi lake. Pia hawa jamaa watakuwa wamechukua mapicha kibao ya kuonyesha mwili wa Osama na sasa hivi wanaangalia upepo unaendaje kabla ya kuanza kuyaanika mapicha hayo ya mwili wa Osama hadharani.

 
Nilipohoji mtiririko wa matukio haya asubuhi ...na nikagusia unafiki wa Wamarekani... baadhi walijua ni KELELE za MpigaKelele... tusubiri tuone.

Kumuua Osama ni bonge la ushindi. Na kama inavyodaiwa ni kweli kuwa alikuwa mikononi mwa majeshi ya Marekani hadi kuweza kuchukua DNA basi angalau mtu ungedhani kuwa alifotolewa hiyo maiti yake.

Sasa hii ya kwamba kauliwa jana na masaa machache tu baadaye wakawa washapata na majibu ya DNA kuwa ni match halafu eti keshazikwa baharini....

I'm just saying....I'm not saying....but you know what I'm saying.

C&C Music Factory had a hit song back in the day called "things that make you go hmmmm"......
 
Nadhani sababu kubwa ya kuamua "kumzika" baharini ni hiyo kwenye rangi. Maana hata kaburi la Saddam huwa linapata watu wengi wanaokwenda "kuhiji" katika kaburi lake. Pia hawa jamaa watakuwa wamechukua mapicha kibao ya kuonyesha mwili wa Osama na sasa hivi wanaangalia upepo unaendaje kabla ya kuanza kuyaanika mapicha hayo ya mwili wa Osama hadharani.


Tatizo hata hizo picha authenticity zake watu watazihoji maana tayari sasa zipo picha kadhaa zinazo make rounds kwenye mtandao na inasadikika zote ni feki.
 
Naona hii picha ni yake Osama sio Computer generated pic.
 

Attachments

  • osama-bin-laden-dead-pics.jpg
    osama-bin-laden-dead-pics.jpg
    31.5 KB · Views: 57
Ndugu wadau;

Napata shida kuwaamini wamarekani kuhusu madai yao ya kumuua Osama Bin Laden, wakati habari inathibitishwa kwa mara ya kwanza Rais Obama alisema "mwili wa Bin Laden unashikiliwa na wanajeshi" wa Marekani lakini baada ya muda mfupi tunaambiwa kuwa kwa mujibu wa ofisa wa jeshi mabaki ya "mwili wa Bin Laden yamezikwa baharini" kwasababu walihisi hakuna nchi ambayo ingekuwa tayari kupokea mabaki hayo.

Je kwnini tuwaamini maana hakuna mtu mwingine aliyeona mwili wa Bin Laden zaidi ya askari wa Marekani, Hata picha ya hiyo maiti hatujaonyeshwa, isije tukawa tunatangaziwa habari hii kama moja ya propaganda za obama katika uchaguzi ujao maana wao ndio wanamiliki international media.

We need to receive it with intensive care!!!

kwa kuwa baadhi yetu tuliamini kuwa hatakamatika, basi tulipofuka kwa imani hiyo hata kuamini kwamba hatokufa.
 
mkuyat og, yaap nipo sirias kwani kuna ubaya gani kwa shekh Osama kulala karibu na Mtume?
Sheikh Osama alikua ni Muislam na amekufa akiwa Muislam je kuna ubaya gani kumuombea kheri? au kuna mabaya gani ambayo kayafanya mpaka uniulize kama nipo sirias? au ndio ule msemo wa mkuki kwa nguruwe ila kwa binadam mchungu?
 
They (USA) created Osama and he screwed them now they decide to remove him from the history same way they created him....so let them do it. As long as it makes them sleep at night. Maana from the begining they played the same game so as to invade those countries in the name of terrorist and the likes now they make us believe they have killed him...

Nakubaliana na Mgalanjuka kwamba wao kwa kutumia vyombo vyao vya habari walimtengeneza Osama na vyombo hivyohivyo watamuondoa.
 
Sipati shida tena ya kufanya argument na wewe, kwa sababu najuwa mmempoteza shujaa wenu. Teqibirr.
Huyu atakuwa ni shujaa wa kila mpenda haki.Tatizo sio kufa bali mazingira ya kifo ni ya utatanishi.Hali hii ya kutapatapa kutengeneza kifo inaweza ikamjengea heshima zaidi Osama.Kumbe amekufa shahidi,huku anapigana.
Mimi ningesikitika kama ningesikia kuwa Osama kajiuwa,kajisalimisha kwa vikosi vya NATO au amekamatwa.Vile vile nitalia sana nikisikia Gaddafi kakamatwa au kajisalimisha,lakini kwamba ameuliwa si tatizo kwa binadamu mwenye kukataa udhalili.
 
Huyu atakuwa ni shujaa wa kila mpenda haki.Tatizo sio kufa bali mazingira ya kifo ni ya utatanishi.Hali hii ya kutapatapa kutengeneza kifo inaweza ikamjengea heshima zaidi Osama.Kumbe amekufa shahidi,huku anapigana.
Mimi ningesikitika kama ningesikia kuwa Osama kajiuwa,kajisalimisha kwa vikosi vya NATO au amekamatwa.Vile vile nitalia sana nikisikia Gaddafi kakamatwa au kajisalimisha,lakini kwamba ameuliwa si tatizo kwa binadamu mwenye kukataa udhalili.

Kama kweli kafa basi kafa kishujaa. Siyo kama Saddam.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom