Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
reuter inasema he was killed a week ago
 
How did he die? Are you all buying what the Americans are saying that they killed him? It is being said that he died a week ago. How can we know if he didn't die due to natural causes. He was sick for a long time anyway.

These Americans man. Anyway let's wait for more detail.

Ngosha......wewe na rafiki zako wa Tea Party forget abt uprezidaa 2012............Jaluo ali-promise....na sasa katekeleza....Go Jaluo Go!!
 
Wanasema washamzika tayari so wamempiga Picha na kuchukua DNA Test results
 
Mimi nasubiri taarifa za Wikileaks zitasemaje.....amekufa kweli? Lini na wapi? Alikufaje?
Hazina propaganda na manjonjo hizo za wikileaks
 
Huyu Osama naye alishindwa kuperform Op Sec, utatumiaje address yako ya kweli kwa ajili ya deliveries na hizo takataka si angekuwa anakwenda kuzichomea uswazi..!! Ama kweli siku zako zikifika zimefika.
 
kumbe jamaa hakuwa anakaa shimoni bali kwenye compound with no phone or internet....lakini bado nasisitiza japo ameuawa angepatikana hai ingekuwa imekaa vizuri,wangemshtaki na kumhukumu huku wafuasi wake wakiona na hiyo ingewapa americans ushindi wa kisaikolojia dhidi ya al qaeda.to them al qaeda to die while fighting for your soul is holy case
 
kumuua pasipo kumkamata akiwa hai ni failled mission
Inkoskaz, afadhali wamemaliza kafa digfied death by bullets than kudhalilishwa na Wamarekani na kufa kifo cha aibu kama Saadam. In actual fact Osama kafa Kishujaa.
 
Wanasema washamzika tayari so wamempiga Picha na kuchukua DNA Test results

acha uongo hapa naangalia France 24 Live Streaming - Streamick.com online wamesema wataonyesha mwili wake maandalizi yzkikamilia maana marekani inatka kufata mila za kiislam kuuhandle mwili........hata cnn wamesema hivyo... hata cnn wanaonyesha na wamesema hivyo..cheki link hiyo na kuna chanel kibao unaweza kuchagua......
 
Inkoskaz, afadhali wamemaliza kafa digfied death by bullets than kudhalilishwa na Wamarekani na kufa kifo cha aibu kama Saadam. In actual fact Osama kafa Kishujaa.
it is true he has died as a hero ndo maana nimesema wamefail...killing haikuwa na mashiko sana
 
Hii ni sawa sawa na Kumuua Yesu.. watu wanashangilia kumbe kuna mitume wamejibanza mahali.. wanasubiri time yao ifike waanze kumwaga neno!
 
Hii ni sawa sawa na Kumuua Yesu.. watu wanashangilia kumbe kuna mitume wamejibanza mahali.. wanasubiri time yao ifike waanze kumwaga neno!
nice Quote Brutus..well said!!
 
Obama si mweusi. Ni nusu mzungu na nusu mweusi. Nusu ya kitu haiwezi kuwa nzima ya kitu.

Na ninaweza kusema ni mzungu zaidi, labda hata 90% maana amelelewa na kukulia uzunguni kwa babu na bibi yake. Uafrika pekee alionao Obama ni hilo jina, na rangi kidogo kwenye ngozi, yaliyobaki yote ni ya kizungu. Social psychologists tunaamini watu huundwa na jamii inayowalea zaidi kuliko genetic make-ups zao. Uzungu au uafrika wa mtu ni zaidi ya rangi ya ngozi yake.
 
Alhamdulilah this IDIOT is Dead ..... May ALLH PUT IN HELL!!!! Him and his Fellows suicide attackers .. except for those who fight for Palestine
 
Hii ni sawa sawa na Kumuua Yesu.. watu wanashangilia kumbe kuna mitume wamejibanza mahali.. wanasubiri time yao ifike waanze kumwaga neno!

Huwezi kumfananisha marehemu Osama na Yesu
 
it is true he has died as a hero ndo maana nimesema wamefail...killing haikuwa na mashiko sana
Ilikuwa Wanted Dead or Alive.... kafa kishujaa au la hiyo ni interpretation ya kila mtu, to me he was a coward kwa sababu huwezi kukusanya watoto wa watu na kuwapa bunduki wapigane vita ambayo hawaijui wakati wewe umejichimbia kwenye jumba la kifahari la dollar million moja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom