Kama Osama anauawa kama panzi, je hao masalia yake?
Njia moja tu hao. Kwanza Osama kawasumbua Marekani sababu wamemfundisha wao mbinu zote. Hawa wengine ni ubwabwa tu. Kazi moja ila utashangaa kuna wapuuzi watataka kuandamana na kumwita shujaa! Subiri uone vituko