Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
hawa waongo,mbona wakati wanamuua Sadam walionyesha?,kama wakati wanamuua ilikuwa shida kupata picha,je kuna picha ya maiti yake?.wameanza tena propaganda kama zile za kupeleka binadamu mwezini miaka ile ya vita baridi!!
 
Tafsiri gani hapo? na wewe unaandika pumba siku hiz?
Marekani wanatuonea sana waislam wamemuua mtoto wa Gadaffi leo tena wamemuua mpigania dini wetu Osama lazima tuandamane, Ha ha haaaaaa.
 
Zipo taarifa zinasema kuwa kauawa tarehe 24/4, je alizikwa lini hasa kama taarifa zimetolewa tarehe 1/5:A S 39:
Ati zipo taarifa zinasema.............Taarifa gani hizo??? Mtu
mzima acha umbeya na uzushi la sivyo toa source
 
Zipo taarifa zinasema kuwa kauawa tarehe 24/4, je alizikwa lini hasa kama taarifa zimetolewa tarehe 1/5:A S 39:

hapo sasa ndio kwenye utata,kuna wakati siku za nyuma walidai walimuua,sasa walimuua nani na sasa wamemuua nani?,na sio propanganda wasionekane wameshindwa kumpata pamoja na usuper power wao!,LOL
 
Zipo taarifa zinasema kuwa kauawa tarehe 24/4, je alizikwa lini hasa kama taarifa zimetolewa tarehe 1/5:A S 39:
Ati zipo taarifa zinasema.............Taarifa gani hizo??? Mtu mzima acha umbeya na uzushi la sivyo toa source
 
The U.S. team took custody of bin Laden's remains. A U.S. official later said bin Laden had been buried at sea and the remains were handled in accordance with Islamic practice, which calls for speedy burial.


The official, who spoke Monday on condition of anonymity to discuss sensitive national security matters, said it would have been difficult to find a country willing to accept the remains. The official did not say where the body was buried.


Source: Obama: Al-Qaida head bin Laden dead - Yahoo! News
 
Its true, kifo cha Osama doesnt mean the end of Al qaeda, besides I dont believe Osama was behind 911. Dont kill me though great thinkers, its just my thoughts...
 
Kama wangemkamata bado yu hao hapo mimi ningewaona jamaa vidume kweli kweli. Lakini hii keshakufa wiki nzima halafu mnatangaza Jumapili usiku/ asubuhi ina walakini kidogo. Jamaa inawezekana kabisa amekufa kwa ugonjwa wake na si kupigwa na Marekani.
Why are you biting the hand that feeds you
 
hata km wamemuua atabakia kuwa shujaa kwa wafuasi wake, shujaa si lazima awe ametenda mema tu, Osama kaweza kuutikisa ulimwengu, je sio shujaa aloumiza vichwa vya wasomi wengi? kilaza km JK mmmmmh..............sijui!!!
 
Foreign policy ya Obama itakuwa imepata shavu.Sasa Obama anaweza kuwa hero wa Americans katika hii vita,tayari ametekeleza ajenda nzito yenye ushawishi kwa wamarekani.Hata hivyo,kuna mataifa yatakayoathirika kwa sababu yalikuwa yanategemea misaada kutoka america kwa kisingizio cha ushirika katika war against Terrorism for Example Pakistani.Pakistani walipata silaha nyingi na misaada ya fedha kupitia ajenda hiyo.Silaha walizopata badala ya kuzitumia katika ajenda ya ugaidi walizitumia dhidi ya mahasimu wao wa muda mrefu India

Sasa tujiulize,Osama ameuawa,Je Ugaidi utakoma? I think it is a good day for America and all those who were busy with their daily chores (called jobs) on Sept. 11 only to be snuffed out in the high noon.5/1/2011 is a momentous moment for the victims' families.
 
Osama dead: Pak may have known about his presence in Abbottabad

osama_398_050211015307.jpg

Al Qaeda chief Osama bin Laden.

Qaswar Abbas | Islamabad, May 2, 2011 | Updated 13:49 IST


A senior Pakistan military official has told India Today that it was impossible for the army to have not known that Al Qaeda chief Osama bin Laden was in Abbottabad.

This has further fuelled speculation that Osama was killed in an ISI safehouse. Bin Laden was killed in the operation between late on Sunday night at a mansion in Abbottabad, 80 km north of Islamabad.

The cantonment town houses many military institutions including Pakistan's Military Academy at Kakul where most of its military elite including present chief General Kayani have passed out.

The joint operation of Pakistani troops and American special forces that killed Osama bin Laden did not encounter any fierce resistance from the Al Qaeda chief's bodyguards. "There was minimal resistance and none of the troops in the operation were injured," the official told India Today.

Sources say this was unusual for a high-value target like bin Laden who was normally surrounded by dozens of his elite bodyguards.
No one was willing to talk about how many troops took part in this operation. Laden's body was transported to Bagram airbase near Kabul, Afghanistan.

Pakistan-US intelligence agencies got a tip-off last Friday that Osama was hiding somewhere in Abbottabad. After tracing the exact location, a joint operation was carried out by special troops of Pak & US special forces, which finally killed Osama Bin Laden along with some of Al Qaeda operatives.

However, a spokesperson of Inter Services public relations Major General Athar Abbas declined comment. The Pakistan Foreign Office has stated that bin Laden was killed in an "intelligence driven operation" around Abbottabad in the early hours of this morning. "The operation was carried out by US forces in accordance with the declared US policy that Osama bin Laden will be eliminated in a direct action by US forces wherever found in the world,"' the statement said.

According to an official source from the office of President of Pakistan, President Zardari and US President Barack Obama held a telephonic conversation this morning and congratulated each other on eliminating a high valued target.

-India Today
 
Siwezi kuchangia thread za kishetani, nilitalajia uulize je ni mbinu gani zifanyike kumaliza masalia ya Al qaida? na sio kujuwa nani atakuwa kiongozi wa uovu.

Shetani ni wewe unayewaza kumaliza masalia yaani kuuwa waliobaki.
 
You can run! But you can not hide! George Bush!
 
How did he die? Are you all buying what the Americans are saying that they killed him? It is being said that he died a week ago. How can we know if he didn't die due to natural causes. He was sick for a long time anyway.

These Americans man. Anyway let's wait for more detail.

Hahahaha mkuu, I know kuna watu hii habari si nzuri kabisa kwao kuelekea 2012. There will be a lot of consipiracy theories to distort the truth. Obama got him!
 
kama wanadanganya-naamni osama mwenyewe atajitokeza na kukanusha habari hizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom