Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Duh! Sawa expert! Inaelekea wewe unajua habari zaidi ya NewsMedia! Maana wao ndio wame-ripoti low fly helicopters below radar detection. Lakini naona wewe ni expert zaidi kwenye haya mambo!
Sometimes mkuu kuna ishu za opinion zinazoweza kuwa challenged bila facts na sometimes tunatoa information iliyotoka kwenye trusted media. Sasa hapo wewe unapopingana nayo, tunategemea uje na sababu kamili!
Umeambiwa kuwa Marekani haikushirikisha taifa lingine lolote. Sasa wewe unadai kuwa Pakistan walijua. Sijui unadhibitishaje haya madai...
Mkuu sio mtaaalam lakini hata mimi nikisikiliza au kusoma BBC au CCN . Napenda zaidi nisikie habari za watu wanaohojiwa na sio habari za watu wa chumba cha habari. Kupata habari balanced hiyo ndio kasumba yangu.
Hii nayosema nimsesikia anaojiwa heliocpter pilot. amesema ametumia heliocpter maeneo hayo na yeye aliwai kufanya kazi jeshini. kasema sio rahisi helicopter kutoonekana kwenye radar maeneo hayo labda kiufudi waamue. Zaidi ya kituo cha jeshi kuna kkakituo ka nyuklia si mbali sana. Hizi ni info zimetolewa sio na reporter au mtu wa chumba cha habari bali ni mtu wa nje ya uandishi.
Huyu pilot naweza kumuamini hata kuliko obama. Ni mtazamo tu So kama hizo helicopter hazikuonekana si kwa sababu wapakistana hawana uwezo ila ni maigizo au ndo picha waliyoamua tuijue.
Huyo pilot kasema anajua kwa nini watu wengi wataamin hivyo na anajua kwa nini serikali ya pakistan haitaki kuonekana involved lakini.
Je unajua kwa nini Yemen kule rais alirushusu wamerekani washambulie kambi za alqaeda lakini ni wikileaks ndo ilikuja kutoa taarifa kuwa kumbe alikuwa involved . kabla ya hapo dunia ilijua Yemen hawakujua kitu kuhusu shambulio hilo .....???????
Ingekuwa kijijini au milimani sawa lakini mjini bila kutoa taarifa casualities zingekuwa kubwa. Mimi sio mtaalam wa jeshi lakini usiamini tu kila unachosikia pima na sikiliza maoni mengine ndo ufanye conlusion.