Orodha ya mikoa yenye wanawake washamba

Orodha ya mikoa yenye wanawake washamba

Kwani ni nini maana ya neno "mshamba"?, umetumia vigezo gani katika utafiti wako?, umetumia sampuli ya watu wangapi kwa kila mkoa, katika mikoa uliyoitaja? Je wewe mwandishi unatokea mkoa gani??00
 
Kwani ni nini maana ya neno "mshamba"?, umetumia vigezo gani katika utafiti wako?, umetumia sampuli ya watu wangapi kwa kila mkoa, katika mikoa uliyoitaja? Je wewe mwandishi unatokea mkoa gani??00
Muulize pia ushamba wa nini, au kakurupuka tu anaita watu washamba.

Muhaya anaweza kuita watu wasiokula ndizi zilizochanganywa na maharage mshamba. Au mkurya anaekula kichuri akawa mshamba kwa asiekula.

Acha ushamba tang'ana
 
Muulize pia ushamba wa nini, au kakurupuka tu anaita watu washamba.

Muhaya anaweza kuita watu wasiokula ndizi zilizochanganywa na maharage mshamba. Au mkurya anaekula kichuri akawa mshamba kwa asiekula.

Acha ushamba tang'ana
Kwa majibu wa tang'ana mshamba ni yule anayevaa nguo za heshima.
Anaamini kuwa kuchana suruali kwenye magoti ndio ujanja hata kama kichwani ni empty, anaamini mwanamke anayevaa nguo zinazoishia mapajani na kwenye kitovu ni mjanja hivyo anashindwa kutofautisha ushamba na umalaya.
 
1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Yhn wewe ni mjinga kweli
Mtu umemkuta shambani alafu unataka umwite wa mjini?
 
Kwa majibu wa tang'ana mshamba ni yule anayevaa nguo za heshima.
Anaamini kuwa kuchana suruali kwenye magoti ndio ujanja hata kama kichwani ni empty, anaamini mwanamke anayevaa nguo zinazoishia mapajani na kwenye kitovu ni mjanja hivyo anashindwa kutofautisha ushamba na umalaya.
Hapo sasa nimeelewa kama ndio hivyo asemavyo tang'ana basi ni halali kidumu SISIEMU na kiendelee kushikilia kamba za kuongozea farasi.😎
Hii imenifanya nitofautishe Ushamba na Ujinga😂😂😂😂
 
SEMA: NENO USHAMBA, LINATAJWA NA KUONGELEWA ZAIDI NA WASHAMBA MAANA NI TABIA YA WASHAMBA KUONA WENGINE WASHAMBA, KULIKO YEYE, AU KULIKO NDUGU YAKE WA KARIBU, SABABU TU YEYE NI MSHAMBA ANAEDHANI NI MJANJA.

NA UKIMWAMBIE AELEZE TOFAUTI YA MJANJA NA MSHAMBA HAJUI, ILA ANAWAJUA WASHAMBA.
 
Hapo sasa nimeelewa kama ndio hivyo asemavyo tang'ana basi ni halali kidumu SISIEMU na kiendelee kushikilia kamba za kuongozea farasi.😎
Hii imenifanya nitofautishe Ushamba na Ujinga😂😂😂😂
Hahaha 😂, kwa nini mkuu.
 
Hahaha 😂, kwa nini mkuu.
Kwa mujibu wa atang'ana Sisiemu ina haki iendele kudumu ifungue vichwa vya wabongo lala.

Yaani umesema kwamba anaamini kuwa 👇👇👇👇👇
Kwa majibu wa tang'ana mshamba ni yule anayevaa nguo za heshima.
Anaamini kuwa kuchana suruali kwenye magoti ndio ujanja hata kama kichwani ni empty, anaamini mwanamke anayevaa nguo zinazoishia mapajani na kwenye kitovu ni mjanja hivyo anashindwa kutofautisha ushamba na umalaya.
Akivaa kwa heshima MSHAMBA
Asipochana suruali kwenye magoti na mapaja MSHAMBA
Asipoacha kitovu nje MSHAMBA
Akipiga magoti kusalimia MSHAMBA

SISIEMU bado mna miaka mingine 60 ya kutawala. Kidumu chama.😎
 
1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Post ya kishamba sana hii
 
1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Mtwara na Lindi tatizo kubwa ni accent baba accent, shughulikieni hilo 😂😂😂😂😂, Ruvuma&Mbeya wakiacha kutumia Ndakuja, Mi Ndataka, Mi Ndaenda kwao nk watakuwa vizuri 😂😂😂😂. Mwanza na Geita huko hamna wanawake wote ni wanaume
. Hapo Dodoma hujawaonea kweli mtaalam? Au tupe ABC
 
Mleta mada alirusha jiwe gizani halafu akakimbia, anaskilizia milio tuu..😁 tang'ana
 
Back
Top Bottom