DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Asanite sanaSafar njema
Asanite sanaSafar njema
Umeamua kuwa kama mimi mana sijawahi kula hiyo kitu huwa naona tu watu wanavyokula na hata hamu ya kula sijawahi kuwa nayo.Niliacha, maana joto lake sio la nchi hii!! Nilikuwa sijui ila nilipogundua wee, niliacha mara mojaaa
Yaani nilikuwa nawala kweli, wale wa kutengenezewa lakini. Tabu ilikuwa kwenye joto, ukiwa kwenye zile tarehe mbaya damu inachemka, ukipata mechi daaaah kabla mechi tayari, nikaona hii sio kawaida kuwasimulia makungwi wee wakanisihi nijaribu kuacha. Toka niache hata miezi sita naweza piga dashUmeamua kuwa kama mimi mana sijawahi kula hiyo kitu huwa naona tu watu wanavyokula na hata hamu ya kula sijawahi kuwa nayo.
Full kujiachiaPweza ni kitoweo kama vitoweo vingine tu
Maana hata majumbani wanapikwa kwa wingi haswa maeneo ya pwani
Sema zamani wanawake walikuwa na aibu kula ovyo njiani ila wasiku hizi wengi wao full kujiachia
Nimefanya nini mkuu?We bwana we
So kumbe pweza siyo wa kuendekeza sana kwa wanawake?Yaani nilikuwa nawala kweli, wale wa kutengenezewa lakini. Tabu ilikuwa kwenye joto, ukiwa kwenye zile tarehe mbaya damu inachemka, ukipata mechi daaaah kabla mechi tayari, nikaona hii sio kawaida kuwasimulia makungwi wee wakanisihi nijaribu kuacha. Toka niache hata miezi sita naweza piga dash
Nguvu zipi mkuu?Sa nifiche kua na nguvu nyingi jamani!!!