Mbona unakataa tenaMie sijasema ni dawa
Hahahaaa! Kwani umri ukienda lazima uwe babu?Mie sijafikia ubabu emmyta.
Kama kweliHa ha ha
Yani chips nakula kwa hamu tu
Sijasema haujaenda, nimesema umri kuenda ndo miaka mingapi?? Sie wengine umri ulishaenda na hivi sasa ndio unarudi...
Hahahaaa! Kuanzia 35 kuendeleaSijasema haujaenda, nimesema umri kuenda ndo miaka mingapi?? Sie wengine umri ulishaenda na hivi sasa ndio unarudi...
Sasa miaka 35 mi nlikuwa nayo miaka 50 iliyopita... tuheshimiane tafazali...Hahahaaa! Kuanzia 35 kuendelea
Hata mi naona aiseeSasa miaka 35 mi nlikuwa nayo miaka 50 iliyopita... tuheshimiane tafazali...
Basi usinijaribu...Hata mi naona aisee
Mbona wantishaFuata at your own risk!!!![]()
![]()
Wala sina mpango huoBasi usinijaribu...
Na wewe kumbe ni mpenzi wa pwezaPweza daaaah!!
Weka mbali na watoto
Safar njemaTutasafiri kwa kasi yetu. Nyie sijui kama mtafikia umri wetu. Maana naona mna mwendo kasi hadi wa kuondoka duniani.
Mamshukuru Mungu kwa kunifanya niishi kwa miaka 90+
Niliacha, maana joto lake sio la nchi hii!! Nilikuwa sijui ila nilipogundua wee, niliacha mara mojaaaNa wewe kumbe ni mpenzi wa pweza