Kwa wanawake wanao nyonyesha pweza anafaa sana kwa ajil ya kuwaongezea maziwa na vitamini zingine kwa mtoto mwilini asa protini.Habari za weekend wakuu,
Kwa jiji la DSM sijui kwa mikoa mingine kuanzia mida ya sa 10 jioni zaidi kwenye vituo vya daladala biashara ya pweza ndo inaanza kupamba moto.
Imezoeleka wateja wa kubwa wa pweza ni wanaume na mara nyingi ndio wanao onekana wakinunua but siku hizi naona wanawake wengi kwel wakihusudu pweza.
Sijui wanawake wamegundua vitu gani hadimu kwenye pweza.
Mtu akitaka nisisome msg yake aniwekee herufi hizo za x na vifupisho vya kidoti kom. Nikimheshimu nitampigia, lakini huwa nawapotezea tu.Hiki kizazi cha nyoka kina shida sana
Hiyo ni mwendo kasi ukitaka utakavyo utasugua sana mkuuUandishi huu huwa unanipa shida sana. Sijui mi ndo old school?
Nyie kizazi za tumbiri mnatuchelewesha sanaHiki kizazi cha nyoka kina shida sana
Hahahaha. Mi nimeshachwa na hiyo mwendo kasi. Hakuna namnaHiyo ni mwendo kasi ukitaka utakavyo utasugua sana mkuu
Kwani usiposoma mie napungukiwa mb au????Mtu akitaka nisisome msg yake aniwekee herufi hizo za x na vifupisho vya kidoti kom. Nikimheshimu nitampigia, lakini huwa nawapotezea tu.
Yaani uwaze maishe na herufi mpya?
Kwani mnakimbilia wapi? Hamjui wengine humu ni vikongwe na ajuza?Nyie kizazi za tumbiri mnatuchelewesha sana
Ndo hvyo tambua kuna long cut+short cutHahahaha. Mi nimeshachwa na hiyo mwendo kasi. Hakuna namna
Sisomi ukinitumia kwenye simu. Mtandaoni nisiposoma utapungukiwa na wasomaji wa post yako. KwikwikwiiiiiKwani usiposoma mie napungukiwa mb au????
Hahaaaaaahaaaaaa ndio mda wa kulala hivi vya ujana nyie vya nnKwani mnakimbilia wapi? Hamjui wengine humu ni vikongwe na ajuza?
Hahaaaaaahaaaaaa ndio mda wa kulala hivi vya ujana nyie vya nnKwani mnakimbilia wapi? Hamjui wengine humu ni vikongwe na ajuza?
Nasikia zinaongeza hamu ya tendo, vp wewe hali yko.Mimi binafsi napenda pweza tokea niko mdogo!!! Ni tamu ko sidhani kama kuna sababu nyingine pembeni.
A long cut is always a wrong cutNdo hvyo tambua kuna long cut+short cut
Tutasafiri kwa kasi yetu. Nyie sijui kama mtafikia umri wetu. Maana naona mna mwendo kasi hadi wa kuondoka duniani.Hahaaaaaahaaaaaa ndio mda wa kulala hivi vya ujana nyie vya nn