Eti pweza kuongeza nguvu kwa wanawake!!!Tunazingua nini tena?
Hapo lazima pana chura...Mtoto wako huyo atakuwa mashalah!!!
Anakula hadi pweza?
Lazima ana neema za Allah
Imezoeleka kwa wanaume ndio maanaY not ladies
Sa nifiche kua na nguvu nyingi jamani!!!Una nguvu nyingi.
Yani mi nakupenda mana unapenda kufunga,hufichi kitu yani
Aisee ! Fanya mchakato yakinifu.Hapo lazima pana chura...
Ngoja tufanye mchakato...
Watu wote wa mwambao wa pwani wana dhamira moja kuwa chochote ktokacho baharn x haramu Bali ni karama ktoka kwa m'munguKumbee!
Mana watu wa pwani bwana
Emmy. MamboImezoeleka kwa wanaume ndio maana
Hivyo nasi tule pweza kwa nguvu zote etiemmyta hili linaanza kuwa janga kubwa la Kitaifa. Fuatilia hii link hapa chini.
Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!
Usijali, kizuri mtu hula na nduguye...Aisee ! Fanya mchakato yakinifu.
Mtu inabidi aje na hii kitu bwana!!! Ukisema maharage yanaongeza nguvu za kiume basi soko la maharage litatanuka zaidi.Pweza=Maharage?
Hivyo nasi tule pweza kwa nguvu zote eti