Ongezeko la wanawake wanaopenda kula pweza

Bob12

JF-Expert Member
Feb 27, 2017
11,422
58,787
Habari za weekend wakuu,

Kwa jiji la DSM sijui kwa mikoa mingine kuanzia mida ya sa 10 jioni zaidi kwenye vituo vya daladala biashara ya pweza ndo inaanza kupamba moto.
Imezoeleka wateja wa kubwa wa pweza ni wanaume na mara nyingi ndio wanao onekana wakinunua but siku hizi naona wanawake wengi kwel wakihusudu pweza.

Sijui wanawake wamegundua vitu gani hadimu kwenye pweza.
 
Back
Top Bottom