Ongezeko la wanawake wanaopenda kula pweza

Ongezeko la wanawake wanaopenda kula pweza

Siku moja niko na shem wenu nkaona pweza nikajisemea ngoja ninywe kidogo mchuzi apa

Nikaagiza mchuzi yeye akagoma wakati naendelea kunywa nikawa namshawishi akakubali kula vipande viwili vya pweza na mchuzi akaishia kuonja tu na akanishangaa naupendea nini

Lakini tangu siku ile anapenda sana kunywa mchuzi wa pweza mpaka imekuwa kero kwangu

Tunaweza kuwa nyumbani ananiomba tutoke njiani kula pweza tu na hiyo unakuta ni usiku

Adi mimi najiuliza amegundua nini kwenye pweza huwa ofisini kwao wanawahi kufunga kuliko mm kwa hiyo huwa ananipitia ndo tunaenda om sasa akifika huwa kwafuraha kabisa na bashasha utaskia babe tunapitia kula pweza?eeh eeh! Anauliza tena na tena!. Yani sijui ni nn
Si zinamuongezea....
 
Mi kabiala letu wajasiri nimejifunza kuchinja kuku na bada nikiwa na miaka 10... Pweza namchukua mzima mzima, namuosha, namchemsha, namkatakata na kumkaanga. Siogopi chochote
Aiseee
 
Mi kabiala letu wajasiri nimejifunza kuchinja kuku na bata nikiwa na miaka 10... Pweza namchukua mzima mzima, namuosha, namchemsha, namkatakata na kumkaanga. Siogopi chochote
Unaonekana mtoto wa kipwani wewe
 
Back
Top Bottom