Wewe ni kabila gani paprika?Mimi binafsi napenda pweza tokea niko mdogo!!! Ni tamu ko sidhani kama kuna sababu nyingine pembeni.
Mkuu swali lako siwez kulijibu[emoji23][emoji23][emoji23]Eeee
Haijakuongezea nguvu km paprika?
Kwa hiyo una nyege sana eehZinaweza ongezeka kwani????
Au ndo mana nna nguvu nyingi??? [emoji32][emoji32] sababu nimeanza kula mika mingi sana
Humu haturuhusu mwandiko wa ki face bookInategemea na ladha na pia uxzan kla anaekula n MTU wa mambo yetuuu lahaxha ujue watu wa pwan. Hyo ndo mambo yao ila hta ktk mwil pweza nae n krutbixho bora kwa bnadam
Pweza haongezi nguvu anaongeza rojo.... Kwa wanaume rojo kwa wanawake maziwa... Vile vinavyoungwa kwenye pweza (kwa wajuzi) ndo vinaongeza nguvu kwa wanaume na genye kwa akina KE.Wanawake nao wana upungufu wa nguvu