Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ya kazi gani sasa kufuga ng'ombe wa maziwa wakati uwezo wa kununua maziwa unao?nadhani mmenielewa wakina dada
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Mnataka mumkute mwanaume anakila kitu....sasa hao wapo wachache
Kweli kabisa mkuu...

Yani mie sina Mali yeyote, hata ya urithi na hii kazi ya mechanism nashinda njaa tuu.

Lakini namfata mdada nikiwa Serious nikimsihi yaliyo moyoni mwangu kuwa nakuhitaji kukuoa,

Chakushangaza ananiletea mashauzi tuu.

" mwanmke ndani ya ndoa ndiye mali," lakini wanawake hawajitambui
 
Hawaolewi kwa sababu mbili kubwa ya kwanza ni wanaanza mapenzi wakiwa na umri mdogo sana mtoto anaanza mapenzi na miaka 15 mpaka afikishe 22 huyo hafai anakua na rambo sababu ya mwisho ni Hali ngumu ya uchumi
hilo la mwisho kama ndo lina tija
 
sio kweli, tatizo wanawake wanataka ndoa lakini kutimiza majukumu ya ndoa hawayawezi, wakishakuwa kwenye ndoa wasumbufu na sio wavumilivu na sio waaminifu, kwa hiyo wanaume wanaamua bora kununua huduma kuliko kuweka ndani moja kwa moja ni bora wanaume tununue pale tunapohitaji huduma.
Hili ndio hasa tatizo kuu, ndoa zimekuwa kama fasheni sahivi! Wanawake hawana utu kabisa. Atavumilia kinafki ukishampa ndoa basi anarudi katika tabia zake mbaya. Ubinafsi, kiburi na umalaya wao ndo hasa umefanya wanaume wengi tukate tamaa nao.
Jitu linaahidi kuwa aminifu kisha ukiwa nalo mbali hata kwa week tu lishaanza ku cheat!
 
Wanawake wa kisasa wengi hawataki ndoa, wanataka HARUSI,
NA kama anataka ndoa basi anataka mteremko anataka benki.
bahati nzuri wanaume tumeshtuka. Kabla ya harusi tunapiga vetting ya kiwango cha lami bila wao kujua.
Kikwazo kikubwa ni wao wenyewe, wako too picky!
Hahahah we jamaa kwanini umewasanua!?
 
Ndoa siyo ngono. Ngono kwenye mapenzi ni sehemu ndogo sana kwahiyo wanawake wengi hufikiri ili mwanaume amuoe ni kutoa papuchi kwa wingi.
Mwanaume ukimpenda, ukiwa mwaminifu, ukimvumilia na kumheshimu lazima akuoe lkn wengi wanasema mbona mm nimefanya lkn sijaolewa.
Jibu: wanawake wengi hubagua watu wa kuwapenda kwahiyo pindi mume wake (mwanaume atakayemuoa) anapokuja yy anakuwa hampendi, atamfanyia visa mpaka ataondoka matokeo yake anakuja mume wa mtu ( mwanaume ambaye hana mpango na yy) hapo anaanza kumpenda na kumheshimu matokeo yake jamaa anaenda zake. Anabaki kulaumu watu.
Acha abaki na ufundi wake kwasbb yy anafikiri ndoa ni ngono.
Kuna ukweli mwingi sana humu. Wale wanaopenda wanaume ma HB sijui tall smart and black ndio huwa wanaachwa kwenye mataa. Wanaume wenye sura serious na maisha hawawataki!
 
Hawa viumbe wanalinga sana kwenye age 20-25.wakifika 30 tena muda huu wameota na vitambi ndio wanaanza kubembeleza ndoa tena utasikia siku hizi hunitafuti au hutaki tena kunioa[emoji23][emoji23][emoji23].
Una uzoefu na ulichokiandika?
 
Upande wangu naona kwa kizaz chetu iki na kuendelea kuoa kuna hitaji moyo sana pia, msichana kuanzia 15-28 anatumika tu, yaan 13yrs mfululizo anatumika tu, alafu aje kuolewa na mtu mmoja utakuta nini uko chini.
 
Yes
Wote wanakuwa na uhitaji wa kuoa, lakini kwa sababu moja au nyingine wanawake ndio wanaonekana kama ndoa kwao ni muhimu zaidi. Lakin
It just an appearence not real situation
Nikiangalia mitandaon naona mara nyingi wanawake wako so excited na ndoa kuliko wanaume. Hii imekaaje?

Sijawahi kuona mwanaume anawaonesha wenzake au mtandaon picha ya kidole chenye pete ya ndoa.
 
Wadada wenyewe mnachagua mpaka dushe mtaolewaje, nani anataka straika veterani wa vitanda?
Pamoja na hayo hakuna bint amewahi fikisha umuri wa miaka 28 hajapata mtu aliekuwa serious kuoa ila akaleta tambo au machaguzi na ngebe.
Kwa hiyo ule usemi wa majuto ni mjukuu unawakumba sana dada zetu ?
 
Nikiangalia mitandaon naona mara nyingi wanawake wako so excited na ndoa kuliko wanaume. Hii imekaaje?

Sijawahi kuona mwanaume anawaonesha wenzake au mtandaon picha ya kidole chenye pete ya ndoa.
Wanawake ni watu wa hisia
Ukiangalia pia misibani wanwake ndio huonekana kulia. Siyo kwamba wao ndio huathiriwa sana na misiba. Hamna ila 2ao huonesha emotions kuliko wana une kwenye kila kitu.

Ndio maana nikasema its just appear kuwa wanawake wana taka ndoa kuzid wanaume
 
Hata wa huku jf wanataka kuolewa ila zile ID tulizozoea hazileti maombi jukwaani, ID mpya ndio hutumika kuleta maombi humu, unaweza kukuta Demiss ndo kaleta ombi jana kwa ID mpya[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]looh mkuu niwie radhi tafadhali niliyenaye ananitoshaa kabisaa
 
Back
Top Bottom