Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Kuna mmoja nipo nae alishawahi kunizungusha muda mrefu sana kwa sababu ya njemba fulani aliyekuwa nae kipindi hicho , sasa njemba limekula mzigo miaka saba mfululizo na sasa binti ana miaka 23 eti anataka Mimi nimuoe ,,,,, huwa namwangalia simmalizi
 
Kuna mmoja nipo nae alishawahi kunizungusha muda mrefu sana kwa sababu ya njemba fulani aliyekuwa nae kipindi hicho , sasa njemba limekula mzigo miaka saba mfululizo na sasa binti ana miaka 23 eti anataka Mimi nimuoe ,,,,, huwa namwangalia simmalizi
Kipind njemba nyingine inakula mzigo
mlikuwa na mawasiliano na huyo bint ?
 
Kipind njemba nyingine inakula mzigo
mlikuwa na mawasiliano na huyo bint ?
Ndio tena nilikuwa namtaka balaa lakini ndo hivyo tena jamaa alimkaa moyoni baada ya kujua hana uelekeo ndio kaja kwangu na nguvu kubwa ya kutaka ndoa. Acha nami nimle tu maana hakuna namna na kwa sasa sina mapenzi nae.
 
Ndio tena nilikuwa namtaka balaa lakini ndo hivyo tena jamaa alimkaa moyoni baada ya kujua hana uelekeo ndio kaja kwangu na nguvu kubwa ya kutaka ndoa. Acha nami nimle tu maana hakuna namna na kwa sasa sina mapenzi nae.
Kufa kufaana [emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]
 
Back
Top Bottom