Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Kwa zama hizi ndoa ni moja ya fursa mkuu
Ndoa siyo ngono. Ngono kwenye mapenzi ni sehemu ndogo sana kwahiyo wanawake wengi hufikiri ili mwanaume amuoe ni kutoa papuchi kwa wingi.Tatizo wanaume hawataki kuoa
Hata wa huku jf wanataka kuolewa ila zile ID tulizozoea hazileti maombi jukwaani, ID mpya ndio hutumika kuleta maombi humu, unaweza kukuta Demiss ndo kaleta ombi jana kwa ID mpyaHao ni wanawake wa mtaani sio wa JF. Wa JF hawana shida na kuolewa.

Mmmh aaah hayaMiaka 0- infinity hapo
Ni male na female
HahahaMmmh aaah haya
Mapadri wanakuwa cancelled out na masister, na mashoga % ngapi? Hao waliooa wameoa wanawake kwahio usiwahesabu kwenye uchache.Hapo kuna ambao washaoa, mapadri, na yale mashoga....na wengine ambao hawana wazo la kuoa kabisa.
Tunabaki wachache.
Kuna jambo nilitaka kuandika ila nimechokaHahaha
Mbona kama una doubt flan hivi
Hahahah.andika ntakusapotKuna jambo nilitaka kuandika ila nimechoka
Nikaona nikubaliane tu.
Mie kuandika magazeti kwa keyboard ya hichi kitecno changu nashindwaHahahah.andika ntakusapot
HahahahaMie kuandika magazeti kwa keyboard ya hichi kitecno changu nashindwa
Hahaha kuna mmja alinipigia simu karibuni anamuulizia kaka angu kama kashaoa, wakat nakumbuka alimkataa mbele yangu enzi hizo broh hajapata kaz ...wifi MTU nkajipinda kubembeleza bibie kagoma kabisa...time flies kwakweliHawa viumbe wanalinga sana kwenye age 20-25.wakifika 30 tena muda huu wameota na vitambi ndio wanaanza kubembeleza ndoa tena utasikia siku hizi hunitafuti au hutaki tena kunioa.
Hivi nyie wawili mmeshaoa?Hivi Tz kuna wanawake wangapi kwa kila mwanaume mmoja?
Umeona eeh.
Tatizo siyo wanawake hawaolewi tatizo ni wanaume hawaoi.
Sijui aseeMapadri wanakuwa cancelled out na masister, na mashoga % ngapi? Hao waliooa wameoa wanawake kwahio usiwahesabu kwenye uchache.
Sijui asee
Hivi nyie wawili mmeshaoa?
tumekusikiaNdio muwawoe sasa sio mnawakula tu maufundi yao
Umeongea kitu cha ukweli kabisa mkuu,agiza unachotaka nakuja kulipaNdoa siyo ngono. Ngono kwenye mapenzi ni sehemu ndogo sana kwahiyo wanawake wengi hufikiri ili mwanaume amuoe ni kutoa papuchi kwa wingi.
Mwanaume ukimpenda, ukiwa mwaminifu, ukimvumilia na kumheshimu lazima akuoe lkn wengi wanasema mbona mm nimefanya lkn sijaolewa.
Jibu: wanawake wengi hubagua watu wa kuwapenda kwahiyo pindi mume wake (mwanaume atakayemuoa) anapokuja yy anakuwa hampendi, atamfanyia visa mpaka ataondoka matokeo yake anakuja mume wa mtu ( mwanaume ambaye hana mpango na yy) hapo anaanza kumpenda na kumheshimu matokeo yake jamaa anaenda zake. Anabaki kulaumu watu.
Acha abaki na ufundi wake kwasbb yy anafikiri ndoa ni ngono.
Wazazi wao wanadai mahari kuubwa utadhani unaoa bikra kumbe mama.Hawaolewi kwa sababu mbili kubwa ya kwanza ni wanaanza mapenzi wakiwa na umri mdogo sana mtoto anaanza mapenzi na miaka 15 mpaka afikishe 22 huyo hafai anakua na rambo sababu ya mwisho ni Hali ngumu ya uchumi