RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,890
- 129,941
Kwamba nikubaliane na hisia zako? No never.Unakubaliana na outcome ya observation yangu ?
Kwamba nikubaliane na hisia zako? No never.Unakubaliana na outcome ya observation yangu ?
SawaKwamba nikubaliane na hisia zako? No never.
Je unakubali kwamba takwimu za sensa huwa zna forgery ?Kwamba nikubaliane na hisia zako? No never.
Sasa unahamisha magoli. Bahati mbaya takwimu ndio zinatupa majibu yanayokubalika siwezi kuchukua hisia zako kama jibu kwa sababu ya hisia kuwa takwimu zimeghushiwa. Btw mtu aghushi idadi ya me au ke ili apate nini?Je unakubali kwamba takwimu za sensa huwa zna forgery ?
OkSasa unahamisha magoli. Bahati mbaya takwimu ndio zinatupa majibu yanayokubalika siwezi kuchukua hisia zako kama jibu kwa sababu ya hisia kuwa takwimu zimeghushiwa. Btw mtu aghushi idadi ya me au ke ili apate nini?
Kuoa au kuolewa sio idadi ya me au ke. Kijijini kwetu tunaweza kuwa wanaume sita
na wanawake kumi kati ya hao wanawake wenye sifa ya kuolewa wakawa wanne tu matokeo yake wanaume sita mnagombea hao wanne.
Nakupa takwimu ya kidunia.IInashangaza
AsanteNakupa takwimu ya kidunia.
Wanawake 52%
Wanaume 48%
Kwenye kila wanaume 100 kuna wanawake 101 so ratio is almost 1:1
View attachment 730930
Kipya nilichoona hapo ni kuwa watoto wa kike wanakufa sana baada ya kuzaliwa. Kama ulivyosema wanawake wanazaliwa wengi hata stats hapo zimeonesha 107/100 ila wanakufa wengi kiasi kwamba ratio inadondoka hadi 100/101.Asante
Japo umerudia issue uliyowahi kuisema hapo kabla.
By the way takwimu zinaandaliwa na watu kwa interest zao.
Pia nmewah kushiriki ku forge takwimu ambazo zilikuwa znahitajika nje ya nchi na zkifika huko watasema ni takwimu sahihi na zitaaminika kama wewe ulivyoamini.
Lakin haihitajiki takwimu kujua kwamba idadi ya ke ni kubwa kuliko me.
ieleweke hapa nazungumzia idad ya ke walio tayar kuolewa vs me walio tayar kuoa.
Unakubali kwamba forgery zipo lakin unakataa mapungufu ya hizo takwimu.Kipya nilichoona hapo ni kuwa watoto wa kike wanakufa sana baada ya kuzaliwa. Kama ulivyosema wanawake wanazaliwa wengi hata stats hapo zimeonesha 107/100 ila wanakufa wengi kiasi kwamba ratio inadondoka hadi 100/101.
Kuhusu wewe kufoji data inawezekana lakini data ya kuleta majibu kama haya haikusanywi na mtu mmoja, hivyo kukosa kwako uaminifu wewe mtu mmoja haiwezi kuleta significant deviation, hata watoa takwimu wanajua kuna ka +/-
Hio ya Magufuli siwezi kuijibu kwasababu imejikita zaidi kwenye hisia,chuki na mlengo wa kisiasa. Hii thread tukienda direction hio itaharibika.Unakubali kwamba forgery zipo lakin unakataa mapungufu ya hizo takwimu.
Nakuuliza swali dogo lililo nje ya mada.
Takwimu znasema kwamba Wananchi walio wengi wanafurahia utendaji kazi wa rais magufuli.
je ni kweli walio wengi wanamkubali magufuli ?
Nakubali kutokukubalianaHio ya Magufuli siwezi kuijibu kwasababu imejikita zaidi kwenye hisia,chuki na mlengo wa kisiasa. Hii thread tukienda direction hio itaharibika.
Kama wewe hukubaliani na takwimu kwasababu unajua huwa zinaghushiwa basi huu mjadala hauna maana kwasababu majibu yote niliotoa mimi ni kwa mujibu wa takwimu.
Ngoja nimalizie. Wewe ni kijana msomi. Na wasomi mnasema tafiti hupingwa kwa tafiti. Hizo takwimu nilizoweka ni kwa mujibu wa tafiti, ungeniwekea takwimu nyingine kwa mujibu wa utafiti wako ili kukazia unachokisema wala tusingefika huku, mjadala ungeishia mistari miwili tu.Nakubali kutokukubaliana
Nimekubali kutokukubaliana mkuu.Ngoja nimalizie. Wewe ni kijana msomi. Na wasomi mnasema tafiti hupingwa kwa tafiti. Hizo takwimu nilizoweka ni kwa mujibu wa tafiti, ungeniwekea takwimu nyingine kwa mujibu wa utafiti wako ili kukazia unachokisema wala tusingefika huku, mjadala ungeishia mistari miwili tu.
Wanawake wengi akipewa lift tu, hata umbali wa mita 50, huwa hawakatai akitongozwa na aliyempa lift, sijui huwa wanafikiria nini?Duu hadi kamkubali dereva wewe sijui utakuwa unafanya kazi gani
Tamaa zinawaponza hawa viumbeHuwa wanachelewa kujitambua.mfano dada mmoja aliposwa na mwalimu mmoja mstaarabu.akamtosa .mwalimu mimi nimpeleke wapi? Akshoboka na jamaa mmoja wa BoT kumbe yule yeye ni mdunguaji tu.baada ya kumdungua akatupa kule dada na kitoto chake.labda tarehe 9 ya makonda itasaidia
Mbona mnaidharau kazi ya udereva,mbona ni kazi yenye kipato kizuri tuDuu hadi kamkubali dereva wewe sijui utakuwa unafanya kazi gani