Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Waowaji wapo sna, ila tatizo hao wanaotaka kuolewa ndio hulatisha tamaaa muoaji.
Siku zote anayeoa hasemi, bali hutafuta mpz na kuanza nae mahusiano, mwisho wa siku jamaaaa huvutika na kilakitu, sasa wanawake wa siku hizi ukitongoza ya km umebonyeza KITUFE CHA SHIDA, utasikia zinga la hel ndipo hapo wanaume wanapo lala mbele
 
Tunadanganyana sana. Kuna siku nilimsikia mtu wa takwimu akisema sensa ya mwisho Tz kulikuwa na watu 50m. Kati yao hao 26m ni wanawake na 25m ni wanaume. Kwahio kwa kila mwanaume mmoja kuna wanawake 1.04 yaani basically its 1:1

Hio siku ndio nikaamini NI RAHISI KWA MWANAMKE KUOLEWA KULIKO MWANUME KUPATA MWANAMKE WA KUOA. Kwasababu kati ya hao 1:1 sio wote wana sifa za kuolewa, bado kuna wanaume wana wanawake zaidi ya mmoja. Wife material mmoja unakuta ana options kadhaa za wanaume, huku mwanaume unaweza kuwa na wanawake 6 hamna hata mmoja unaona anafaa kuwa mke.
Hapo ondoa mapadri..mashoga..wanaoenda fia jeshin
 
Kaka nimetafutwa juzi na dem mmoja nilimfukuzia sana kipindi niko chuo. Dem alikuwa mzuri, na yzuri bado anao, alikuwa hashikiki anatembea tu na ma lecturer, ma prof. Basi akawa ananipiga chin kipa sound. Mwaka wa pili aka disco, mm nikamaliza chuo, nikapata mbishe, miaka kama mitatu hiv sija ongea nae aisee, juz kani text , ananiuliza ndio nimempotezea , hili jambo si la kawaid maana alikuwa hashikiki. (Sasa hiv ni singo maza)
Wanawake ni opportunist nachopenda kwao na napokuja kujibu mapigo ni hapo,huwa hawafuti namba kikibuma huko ndo wanarudi hapo mm ndo huwa natukana kwa raha zangu
 
Wanawake wa kisasa wengi hawataki ndoa, wanataka HARUSI,
NA kama anataka ndoa basi anataka mteremko anataka benki.
bahati nzuri wanaume tumeshtuka. Kabla ya harusi tunapiga vetting ya kiwango cha lami bila wao kujua.
Kikwazo kikubwa ni wao wenyewe, wako too picky!
una akili sana mkuu.
 
Hatari sana mkuu mm kuna mmoja nilimbembeleza sana kuwa nae alikataa akaja kuolewa na dereva mwisho wa siku yakabuma na mtoto wake anataka kurudi kwangu kuomba huruma yangu futi mia kama bolt
 
Hatari sana mkuu mm kuna mmoja nilimbembeleza sana kuwa nae alikataa akaja kuolewa na dereva mwisho wa siku yakabuma na mtoto wake anataka kurudi kwangu kuomba huruma yangu futi mia kama bolt
Kimbiaaa..ila kama hukupiga piga kwanza,
 
Ukizaliwa mwanaume raha sana uhulizwi kwann unacherewa kuowa lakini mwanamke akiulizwa hill swali kwann uworewi anakosa raha ya dunia
 
Tunadanganyana sana. Kuna siku nilimsikia mtu wa takwimu akisema sensa ya mwisho Tz kulikuwa na watu 50m. Kati yao hao 26m ni wanawake na 25m ni wanaume. Kwahio kwa kila mwanaume mmoja kuna wanawake 1.04 yaani basically its 1:1

Hio siku ndio nikaamini NI RAHISI KWA MWANAMKE KUOLEWA KULIKO MWANUME KUPATA MWANAMKE WA KUOA. Kwasababu kati ya hao 1:1 sio wote wana sifa za kuolewa, bado kuna wanaume wana wanawake zaidi ya mmoja. Wife material mmoja unakuta ana options kadhaa za wanaume, huku mwanaume unaweza kuwa na wanawake 6 hamna hata mmoja unaona anafaa kuwa mke.
Kama ratio n 1:1 bhc wanawake ndio wanapata taabu ya kuoa kwa sababu ktk hao wanaume angalia wapo Wengi walio magerezani kulko wanawake,mapadre n weng kulko kawaida,wanaume wanaofanya kaz haramu kama ujambaz n weng na hawa usifkr wanaoa,kwa hyo utaona n jns gan wanaume waoaji wamepungua...bado wengnr n mashoga...hahahahah
 
Back
Top Bottom