Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Hivi mtu akitaka kuolewa ni kosa kwani? Kwahiyo mnataka wanawake wakatae kuolewa?
 
Hawa viumbe wanalinga sana kwenye age 20-25.wakifika 30 tena muda huu wameota na vitambi ndio wanaanza kubembeleza ndoa tena utasikia siku hizi hunitafuti au hutaki tena kunioa.
Na vitambi
 
Na katika huo mpishano
Ni wote wanawake na wanaume wanakuwa na uhitaji wa kuoa ama kuolewa (mahusiano wa kimapenzi)?
Yes
Wote wanakuwa na uhitaji wa kuoa, lakini kwa sababu moja au nyingine wanawake ndio wanaonekana kama ndoa kwao ni muhimu zaidi. Lakin
It just an appearence not real situation
 
Na mnazidi kuongezeka Kuwa singo mother maana mkiingia kwenye ndoa mnakuwa wasumbufu mno.

Tatzo la kutokuolewa ni namna ulivyo huko mtaani kwenu, usitegemee kuvuruga mtaani maana utaolewa mbali na hapo.
Sifa za nyumbani husafiri mpaka mikoani, hakuna mwanaume atakeoa bila kupata background yako.
 
Yes
Wote wanakuwa na uhitaji wa kuoa, lakini kwa sababu moja au nyingine wanawake ndio wanaonekana kama ndoa kwao ni muhimu zaidi. Lakin
It just an appearence not real situation
Mmmh hivi kwenye sensa waliojumuishwa kwenye idadi ya wanawake na wanaume ni kuanzia umri gani?
 
Hawa viumbe wanalinga sana kwenye age 20-25.wakifika 30 tena muda huu wameota na vitambi ndio wanaanza kubembeleza ndoa tena utasikia siku hizi hunitafuti au hutaki tena kunioa.

Utakuta sista yuko na kakitambi kake ana ringaa huyooo.
 
Back
Top Bottom