Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

Tatizo wanaume hawataki kuoa
sio kweli, tatizo wanawake wanataka ndoa lakini kutimiza majukumu ya ndoa hawayawezi, wakishakuwa kwenye ndoa wasumbufu na sio wavumilivu na sio waaminifu, kwa hiyo wanaume wanaamua bora kununua huduma kuliko kuweka ndani moja kwa moja ni bora wanaume tununue pale tunapohitaji huduma.
 
daaah! kumbe duniani tumetofautiana kwa kweli mda ambao wanaume tunamuomba mungu atupe mke wakuo kumbe ndo mda ambao baadhi ya wadada nawao wanaomba mme wa kuwaowa
 
Hiyo si inategemea ntu na ntu...ila hapo unakuta anachumbiwa na kilemutuz lazima apige chini
Mkuu ulemutuz unatokea kwa sababu ya kuanza mapenzi mapema sana mtoto mdogo at the age of 15 anatembea na baba ake heheheee
 
Daaah! KUMBE DUNIANI TUMETOFAUTIANA KWA KWELI MDA AMBAO WANAUME TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE MKE WAKUO KUMBE NDO MDA AMBAO BAADHI YA WADADA NAWAO WANAOMBA MME WA KUWAOWA
Ndio mkuu..
 
Tatizo ni dhana ya uwekezaji imehamia kwenye mahusiano watu wanapenda kuwa na hisa chache kwenye mahusiano mengi, hawataki umiliki wa asilimia 100.
 
Back
Top Bottom