Oktoba tunatiki challenge target 5k replies

Oktoba tunatiki challenge target 5k replies

Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
kwa kip ccm kizuri mmeifanyia hii nchi
 
 
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
Mit 26:4-12
 
Mbona mnatuangusha jamani, si tumeshasema tusicomment kwenye nyuzi za hawa vichaa? Hapa mtazifikisha hizo reply anazozitaka. Badala ya kuhangaika na NRNE. Aisee mnasikitisha sana, mbona ni kiswahili rahisi, kuwasusia nyuzi zao wataacha andika haya mashudu yao. Aah
Mu bebi
 
Mbona sakata la utekaji waziri mweny dhamana hatajwi ? Kipind cha umeme alikuwa anatajwa ,fedha mbona anatajwa.
 
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
Mtapasuka msamba shauri yenu, (nrne) ya wananchi kwa sasa
 
Mods naomba muupeleke huu uzi jukwa la siasa
 
Back
Top Bottom