Oktoba tunatiki challenge target 5k replies

Oktoba tunatiki challenge target 5k replies

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Iyo Oktoba katiki na bibi yako kule kijijini aliyeezeka nyumba yake kwa makuti
Unasusa susa kudadeki kwa sauti ya haji manara
 
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
 
Screenshot_20240721-181426.png
 
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
Unatiki kuruhusu nchi kuuzwa, kutekwa, kuuwawa kwa mzee kibao nk.
NO REFORMS NO ELECTION
 
Mbona mnatuangusha jamani, si tumeshasema tusicomment kwenye nyuzi za hawa vichaa? Hapa mtazifikisha hizo reply anazozitaka. Badala ya kuhangaika na NRNE. Aisee mnasikitisha sana, mbona ni kiswahili rahisi, kuwasusia nyuzi zao wataacha andika haya mashudu yao. Aah
Unasusa susa kudadadeki kwa sauti ya haji manara
 
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
Narrow minded CCM,
Nilitegemea muwajibu sawa na madai ya No reform no Election, kinyume na hapo you are messing dude!!
 
Back
Top Bottom