Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,471
- 829,873
Thread 'JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K' JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3KWatakuja tu
Thread 'JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K' JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3KWatakuja tu
Umeniwahi yani hii hata yeye hakubaliani naloJumapili mpaka Leo replies 64😂😂😂
Hahahaha😂😂😂Umeniwahi yani hii hata yeye hakubaliani nalo
NO REFORMS NO ELECTION 📌Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
Wenzio wanalipwa kupost mambo ya kutiki October. Vipi mwenzangu na wewe umepata mgao?Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa mabwege mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie
kwahiyo unataka kusema vp mkuuWapiga kura huwa wanakaa chini kwa kutulia kwenye mikutano.....
Na wengi hawana akauti za sosho media....
View attachment 3363789
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa watu mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenz
Wabongo wengi ni vilaza, hata wale walioenda huko madarasani! Siasa wanaishabikia kama ilivyo simba na yanga, utakuta kila uzi unaoikosoa CCM wanapo-comment wataya-tag mabumunda ya CCM humu jamvini badala ya kuwa ignore na kuzitelekeza nyuzi zao..Mbona mnatuangusha jamani, si tumeshasema tusicomment kwenye nyuzi za hawa vichaa? Hapa mtazifikisha hizo reply anazozitaka. Badala ya kuhangaika na NRNE. Aisee mnasikitisha sana, mbona ni kiswahili rahisi, kuwasusia nyuzi zao wataacha andika haya mashudu yao. Aah
Haya ndugu zangu Wanaccm nimeona na mimi niazishe thread yakuwajibu wahuni wa no reforms no election twende nao sambamba hawa watu mpaka kieleweke kati ya sikio na kichwa nani kamzidi mwenzie