Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,070
- 136,458
Limbwata ni uongo tu.
Hio elimu ndio hatunaKwetu Bukoba kuna kilainishi Cha nafsi kinaitwa shuntama, upewa Mtu anayetakiwa asichomoke Kwenye mahusiano. Sina uelewa WA Ndani sana kuhusu namna inavyofanya kazi ila hii chakula inasifika sana.
Katika jukwaa kama Ili tunaweza tumia shuntama kama kichokoza mada kufahamu mengi kuhusu asili ya limbwata na nnjia wanazotumia watu kuliswa na namna yakuzikwepa.
Vijana mkipata Shule hii mtakwepa kula vitu vichafu au kupenda kimizimu badala yakupenda Kwa hiari.
Tushuntame
Kwa mtazamo wa huko kwenu Amerika upo sahihi kiongozi. Ila huku kwetu unaweza pigwa shuntama ukawa kama zuzu!Limbwata ni uongo tu.
MJ1 ukishakuwa mhanga wa hayo 'madudu' huwezi kujua maana sasa si utakuwa unapelekeshwa tu kama mkweche unaovutwa na brekidauni?