Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Bin Maryam,
Mkuu wangu unajua kusema ni rahisi sana lakini inapofikia kuyaweka maelezo hayo ktk ukweli amam niseme hali halisi ndipo tunapotofautiana....
Kwanza umezungumzia swala la dini ukazitaja Kuran na biblia, nadhani hakuna mahala niliposema kuhusu Kuran na Biblia kisha hivi vitu haviwezi kutumika katika mfano nilioutoa hapo awali..Ikiwa sisi sote ni dini tofauti basi mkuu sidhani kama tutakuwa na malengo sawa kitaifa.
Pili umerudi katika swala la upandaji miti na kusema kwamba mnazi huchukua miaka saba kuweza kutoa matunda, nachoshindwa kuelewa hapa ni mnazi gani umesha pandwa hadi sasa hivi?..kwani tatizo siyo itikadi ya Ujamaa na Ubepari hapa ila ni Nyerere ambaye alikuwa mMjamaa na leo hii sisi sio Wajamaa tena ila Mabepari..na kibaya zaidi ni kwamba mnataka Ujamaa usirudi wakati lawama zote za Ufisadi ni matunda ya Ubepari na hutokea nchi zote duniani kwa uzito tofauti.
Sasa nimbie huo mnazi uliopandwa umepandwa lini na wapi maanake umezungumzia swala la sekta mpya sijui ni zipi hizo ambazo hazikuwepo wakati wa Mwalimu. Kama ni madini mkuu hapo unajua mwenyewe jinsi hiyo aslimia 3 inavyonuka.
Halafu umezungumzia swala la pato la taifa mwaka 1985, hivi mkuu wangu unajua hata Marekani yenyewe pato la taifa mwaka 1985 ni dogo mara 100 chini ya pato la nchi hiyo hiyo leo hii?...Hapa hata sielewi unachozungumzia kabisa. Mwaka 1985 watu kama Mobutu aliyekuwa na utajiri chini ya Billioni moja alikuiwa ktk hesabu ya matajiri 10 duniani... It' not the same today.. Dollar Elfu 20 uliweza kununua Mercedes Benzi mpyaaa wenyewe wanasemaa zero mileage- hivyo unapotaja pato la taifa mwaka huo ukajaribu kulinganisha na pato la leo ni mchezo mchafu sana. Kama kuna ongezeko lolote kulingana na mahitaji yetu plus population imekuwaje leo hii tumesimama chini zaidi (ranked) yaani nchi ya 8 kati ya nchi maskini duniani?.
Unapozungumzia sehemu kubwa ya pato la taifa kuwa umetokana na awamu ya pili na tatu hapo mkuu bado kabisa sijakupata. Sehemu kubwa ina maana ya Asilimia kubwa ya pato hilo iwe hata 10, kisha 6 zikitokana na Madini utasema asilimia kubwa (60%) ya pato letu linatokana na madini tofauti na yule anayekusanya 100 na madini yakachangia 20 tutasema madini yamechangia asilimia ndogo yaani 20%.
Lakini in reality hiyo 20% ni kubwa kuliko ile asilimia 60 ya mchango wa yule aliyekusanya 10. Hiki ndicho kichaa kinachotembea Bongo watu wanashindwa kuelewa kuwa asilimia ni lugha inayotumiwa kufafanua mchango wa kitu ktk pato la taifa na haina maana kuongezeka kwake kunaweza kubadilisha hali ya kiuchumi ikiwa pato zima halina uuwiano na ongezeko la mahitaji ya nchi pamoja na population yake.

Mwisho umezungmzia kuhusu Ethiopia Airaline, hata sielewi unachojaribu kusema hapa kwani Ethiopia Airline imewahi kuwa ktk kundi la Airline 10 bora duniani na sii chini ya mara tatu wameshika Airline bora Afrika wakati miaka ya 70 na 80. Sasa sielewi mfano wako unalenga nini haswa kwani hapa hatuzungumzii makuzi ya umri wetu isipokuwa makuzi ya uchumi. Kama vile navyosema kila siku kuwa miaka yetu toka Uhuru ni makuzi yetu kama Taifa kiumri haina maana hata Kiafya basi tutahitaji kuwa wazima na wenye afya bora tukifika miaka 100.
Nchi kama Marekani leo hii zinavuna huo mnazi baada ya kazi ngumu ya kupanda na kuumwagilia maji huo mnazi miaka ileeee lakini sisi kwa Uvivu wetu hatujapanda kitu. Tunachofanya ni kuihsi maisha ya Primitive - uncivilized human being ambao tunategemea zaidi kile Mungu alichotutupa (Maliasili -Madini na Wanyama pori) kama ndio biashara itakayo weza kutuondoa ktk Umaskini. Sasa kweli hapa tuna tofauti gani ya yule Mswana wa Gods must be crazy?..maanake hakuna pato la taifa linalotegemea kitu tulichoweza kuzalisha sisi isipokuwa kile Mwenyezi Mungu alichotujalia yaani tumerudi miaka 50 nyuma kutegemea madini, Wanyama, Mlima Kilimanjaro..na kila siku tunaomba Mungu tupate mafuta tuwe kama Dubai.. Hizi kama sio ndoto za Alinacha mkuu wangu ebu nambie!..
NDIVYO TULIVYO, haikatazi mtu kumzungumzia Nyerere na mabaya yake lakini kusema tyeye ndiye sababu ya Upuuzi huu wa akili na matemdo, Uzembe huu wa akili na matendo ya Wadanganyika mkuu wangu utakuwa umetafuta kajamba nani!..Lakini mashuzi tunayatoa sisi wenyewe kwa kutozingatia kuwa ELIMU na exposure ni silaha kubwa ya Mdanganyika kuondokana na Umaskini.
Kila nchi iliyokuwa na wasomi wengi kulingana na population yake ndivyo nchi hiyo imeweza kuwa ktk rank nzuri zaidi ya kuendelea. Na wenzetu wlisoma ili wapate ufunuo zaidi wa akili zao kuweza kufikia hatua ya KUTOA AJIRA kutokana na Ubunifu wao ili kukidhi supply vitu kutokana na mahitaji (demand). Leo sisi tunasoma tukiwa na lengo la KUTAFUTA AJIRA ndio maana nasema hatujapanda mnazi tunapanda mchicha kutuwezesha mvuto wa tonge la toka kwenye sahani hadi kinywani.
Nyerere amekufa miaka 10 iliyopita na toka mabadiliko yanze ni zaidi ya miaka 25 umri mkubwa kuliko utawala mzima wa Nyerere lakini tunachokiona ni kipi zaidi ya Ufisadi na masiha mabaya zaidi kwa wananchi...China walikuwa na Mao Tse Tung, Russia, Vietnam, Ethiopia wote hawa walikuwa na mtu kama Nyerere tena yawezekana mbaya kuliko Nyerere na mabadiliko ya Kiuchumi tumeyaanza wote pamoja lakini wao wameweza kuondokana na umaskini kirahisi zaidi yetu, wao wansonga mbele tena wakiwa bado wamekumbatia fikra za viongozi hao kuliko sisi tuliochagua Umalaya wa kuiga!.
Uchumi wetu ni sawa na malaya changu doa tunaovizia Mchati, afadhali hata hao Kenya na Botswana ni malaya lakini wanatafuta kina Eliot Spitzer, dau huwa wanalipanga wao....


Mkandara:

Kweli soma kwako gumu kupanda. Mifano yote niliyotoa nilionyesha kuwa vitu vyote unavyoviona vinawapa watu faida ni matokeo ya muda mrefu. Ukichukua minazi, mikahawa, shirika la ndege la Ethiopia, mafanikio China, you name them.

Nyerere alikuwa na mapinduzi ya muda mfupi. Alitaka sera yenye kuanza leo na kesho kutoa matunda na matokeo yake ni hapa tulipo.
Na hizo lawama sio pekee yake, kuna mtu anaitwa Kaunda wa Zambia naye alikwenda kwa spidi za Nyerere na matokeo tupo kwenye kundi moja.

Hivyo kabla ya kujilinganisha na nchi zingine angalia historia yao na kama una uwezo jenga ya kwako na sio kukurupuka.


Mambo mengine naona una-spin kama kawaida yako.
 
Mkandara:

Kweli soma kwako gumu kupanda. Mifano yote niliyotoa nilionyesha kuwa vitu vyote unavyoviona vinawapa watu faida ni matokeo ya muda mrefu. Ukichukua minazi, mikahawa, shirika la ndege la Ethiopia, mafanikio China, you name them.

Nyerere alikuwa na mapinduzi ya muda mfupi. Alitaka sera yenye kuanza leo na kesho kutoa matunda na matokeo yake ni hapa tulipo.
Na hizo lawama sio pekee yake, kuna mtu anaitwa Kaunda wa Zambia naye alikwenda kwa spidi za Nyerere na matokeo tupo kwenye kundi moja.

Hivyo kabla ya kujilinganisha na nchi zingine angalia historia yao na kama una uwezo jenga ya kwako na sio kukurupuka.


Mambo mengine naona una-spin kama kawaida yako.

Bin Maryam.... usikasirike kuwa juhudi zako za kutaka kumtisha Nyerere (the guy is dead ten yrs now for christ sake) lawama zote za matatizo ya Tanzania zinafeli.

Watu wa kizazi cha sasa wanamove on na kupanga cha kufanya in the future na sio kulialia tu kwa alichofanya au kutofanya Nyerere (RIP).

Ndio JF hiyo baba so endeleza somo tu (ingawa halionekani lina mwelekeo gani) ila wengine hapa tunasoma na kupata hii shule.
 
Wazee naheshimu michango yenu makini humu.

Wengi tunasema Nyerere alitu-lostisha na uchumi ulikufa kabisa na mengine mengi ambayo yametugharimu kama taifa bila kusahau siasa za TANU na ujamaa. Lakini wakuu naomba tujiulize kidogo, Nyerere ameondoka two decades plus kwenye usukani wa uchumi wetu. ARE WE ANY BETTER TODAY AS A NATION THAN DURING MWALIMU`S ERA?

Yes, Mkapa Mwinyi na JK wote wameleta wawekezaji na ni ukweli fedha za kigeni zimekuwa nyingi sana..just name it, but has a common man on the street I mean rank and file amefaidika vipi? hizo investments zime-translate vipi katika maisha ya mtanzania wa kawaida? Ni % ngapi ya watanzania leo wanaishi below poverty line? Mi nadhani tuache nadharia, anachoongea muungwana Mkandara hapa kina mantiki kubwa sana.

Hatuwezi kuendelea kumlaumu Mwalimu wakati tatizo tunalijua mfano Nyerere ana uhusiano gani na mtu kama Karamagi anayesaini mkataba wa mamilioni hotelini London wa kupora mali za watanzania? Balali, EPAs, Tanesco, TRA and on and on..hizi idara zote kama zingeongozwa kwa makini ndo injini ya uchumi na maendeleo ya mtanzania. Period. watu wanaliibia taifa, rushwa its all time high..what has mwalimu got to do with that?

Swala la umaskini wetu Tanzania ni sisi wenyewe wa kujilaumu. Nyerere aliweka misingi ambayo kama tungeitumia vyema tungekuwa tunaipumulia kooni Malaysia au Korea ya Kusini! Hiyo misingi kila mtu anaielewa.

Ni kweli Nyerere had his own failure too. But it will be grossly unfair and unreasonable kuendelea kulia na siasa za 1970s za kula unga wa yanga na kupanga foleni za sabuni. The old man did it but with good intentions and now we can all proudly see what he did. ni %% ngapi ya watanzania walipata elimu kipindi chake, health care na emngineyo? Lets get real!

Bila kuwa na viongozi wawajibikaji maendeleo ni ndoto kwa Tanzania na Africa yote. Na kama wengine walivyosema, vongozi wetu ni reflection yetu wapiga kura. We have no excuse waafrika tuna matatizo ya IQ kama alivyosema Dr. Watson!

Ulishawahi kusikia nchi kama Germany inamlaumu Hitler kwa majanga ya karne iliyopita? France inawalaumu watawala wake wa enzi hizo? Japani na nk? They know it and they are confronting the future with optimism and hardwork. Only Africans are blaming their past for their failure to reach Mt. Sinai..hata USA its the black race which is complaining! tALK OF dR. WATSON! HE SAID WHAT MOST OF PEOPLE ARE AFRAID TO SAY IN PUBLIC! BUT ITS TRUE!

Toka mabadiliko ya uchumi yaanze ni miaka 20 tu. Na mabadiliko yetu yalikuwa sio ya kubadilisha au kuboresha vitu yalikuwa ni ya kuanza upya kabisa.

Hivyo kutowa lawama kwa mtu ambaye hakujenga misingi yoyote ya uchumi ni fair play. Hivi vitu vinavyofanyika sasa vingeweza kufanyika zamani sana ni kwamba jamaa alichelewesha mtumbwi na kwa robo karne.

Iddi Amin wa Uganda aliondoka madarakani 1978. Je waganda wasilaumu udikteta wake kwa matatizo waliyonayo. Kaunda aliondoka madarakani mapema, je waZambia hawana haki ya kulaumu ukiritimba wake.

Masanja unapotesha ukweli kwa kuangalia huduma za afya na elimu. Hizi ni huduma ambazo matokeo yake yanategemea uwezo wa kipesa wa nchi.

Pesa za huduma za elimu na afya zilikuwa sio pesa zinazotokana na maendeleo ya uchumi wa Tanzania au ubora wa siasa za ujamaa. Sehemu kubwa ya pesa hizo ilikuwa ni mikopo, misaada na grants. Na hapo ndio inaonyesha tofauti kubwa kati ya nchi za NDIVYO TULIVYO na wenzetu. Wenzetu wanatumia mikopo, misaada na grants kupanua shughuli za uchumi ambazo baadaye zinalipia huduma za jamii. Wakati NDIVYO TULIVYO tunatumia mitaji ya uzalishaji katika huduma ya jamii, yaana tunakula mayai na kuku wake.

Hilo suala la kutaka Common Man na yeye apate pesa. Linatekelezwa pale uchumi unapoweza kuji-sustain wenyewe. Na vile vile hiyo sio kazi ya muda mfupi. Hakuna nchi mwekezaji anakuja leo na kesho common man anafaidika. Hata nchini China watu wa vijijini wanakwenda kwenye miji mikubwa kwa VISA.

Somo la kujifunza ni kuwa utaifishaji wa mali za watu binafsi ambao usemekana utamsaidia COMMON MAN, ulimwacha masikini zaidi ya ulivyomkuta.

Ufisadi ni suala baya lakini historia inatuonyesha kuwa nchi zinaendelea huku ufisadi ukiwemo na jamii kufanya juhudi za kuuondoa au kuupunguza. Historia inatuonyesha vilevile kuwa utakatifu ni mzuri sana lakini hakuna nchi iliyoendelea kwa kuwa na viongozi watakatifu kama hipo tutajie nchi mojawapo. Hivyo Tanzania isijaribu hata siku moja kujenga kitu ambacho hakijawahi kufanyika duniani.
 
Toka mabadiliko ya uchumi yaanze ni miaka 20 tu. Na mabadiliko yetu yalikuwa sio ya kubadilisha au kuboresha vitu yalikuwa ni ya kuanza upya kabisa.

.....

Hapa ndio unachanganya madesa,

miaka 20 ni mingi sana kwa mabadiliko ya kweli ya uchumi kuanza kuonekana. So far, watanzania wanazidi kuzama kwenye dimbwi la umasikini na hali ya maisha inazidi kuwa mbaya. Take time kupitia blog ya Mjengwa uone baadhi ya picha za Tanzania miaka 20 baada ya mabadiliko ya uchumi.

Blame game haitatoa suluhisho, tuchukue responsibility for our failures na kujenga uchumi upya sisi wenyewe ikiwa ni pamoja na kuanza na process ya kuwatoa ccm madarakani (chama alichoanzisha mbaya wako Nyerere).

Thanks!
 
Bin Maryam,

Mkuu naona sasa kweli umechoka yaani hoja zinakwishia kabisa..
Unaposema kuwa mimi nafanya spinning bado sikuelewi kabisa maanake unamzungumzia Nyerere ktk kipindi cha miaka 24 ya utawala wake lakini inapofikia nchi kama China na Ethiopia unaleta habari za miaka 200 iliyopita ambapo Mao Tse Tung, wala Haile Selassie hawakuwa viongozi wa nchi zao wala siasa hizo za Ujamaa hazikuwepo nchini mwao. Je, Kwa nini usianze na kuwalaumu wakoloni? maanake tunataka kuangalia kilichopandwa miaka 100 iliyopita laa sivyo hutakuwa unaitendea haki Tanzania kwa kutazama mavuno baada ya miaka 20.
Mkuu mimi sifanyi ubishi kwa sababu nataka kufurahisha baraza nazungumza vilivyo machoni yetu. China, Ethiopia na wengine wote wameanza mabadiliko ya kiuchumi muda sii mrefu tofauti nasi wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na viongozi waliotangulia.
Kwa kusherehesha maneno hayo ndio maana nikasema makuzi ya UMRI hayahusiani kabisa na maendeleo ya nchi hata kidogo.
Nchi kama Roma, Portugal, Misri, Iraq na nyinginezo kibao ni nchi kongwe na zilizoanza Ustaarabu zamani sanaaa lakini tunapofika ktk swala la Maendeleo hii ni issue tofauti.. wako nyuma kuliko taifa changa kama Marekani. Hivyo kukua kwa umri hakuhusiani na hoja hii hata kidogo ndio maana nikatoa mfano wa Afya na malezi mazuri kuwa hayana umri. Tunapotumia umri wa Uhuru wetu kujenga hoja ya kutofanikiwa kwetu ni sababu tosha ya Upuuzi na Uzembe wetu sisi wenyewe.
Kifupi mkuu hakuna nchi hata moja iliyokuwa ya KIJAMAA miaka ya 80 leo hii inarudi nyuma ktk maendeleo. Zote zinapiga hatua tena za haraka sana wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na madikteta wake isipokuwa Tanzania tu. LAWAMA anapewa Nyerere na pengine sasa utaanza kuwasema Wajarumani...je mkuu hii siyo kajamba nani?...
Wenzetu hao, They never look back wamejenga vianzo vipya na kuviendeleza vya zamani bila kutegemea misaada isiyoweza kuwaendeleza, lakini sisi akina Ndivyo tulivyo, hatuishi kugeuka na pengine sasa hivi tumesha geuka mawe isipokuwa hatufahamu.. Vyanzo tumeviuza leo Tanesco (commanding Height) INANUNUA UMEME toka ktk makampuni binafsi, badala ya Tanesco kuwa ndio chanzo cha umeme kuuzia makampuni binafsi ya usambazaji. Huo ni mfano mdogo sana kwa Ufisadi unaofanyika leo hii kutokana na upuuzi na uzembe wetu. Je, huu ufisadi ndio miche yenyewe ya minazi tuliyoipanda?..ama ndio minazi inayotoa miche chini ya vungu zetu, na hatufahamu kinachofuatia.
Nyerere hakutufundisha kuvuna within 20 yrs isipokuwa ndiyo yalikuwa mategemeo ya wengi Wadanganyika (wapuuzi na wazembe) ambao leo hii wanadai kuwa tumeanza Upya!... Tumeanza upya wapi? na kitu gani mmepanda maanake hata huo mnazi huota kwa upandikizaji mbegu.

Nakuomba sana nipe hiyo miradi mloanza upya maanake naelewa kama ni Umeme bado mnategemea vyanzo vya Nyerere, Maji vyanzo mmeshabomoa baada ya kugawa kwa wageni leo hata kurudisha ktk hali iliyokuwepo kabla ya mwaka 1984 mnashindwa. Madini ndio hizo ruzuku za asilimia 1.1 tunazokusanya.
Utalii makampuni kibao yanauza toka nje nayale ya nyumbani mtaji wao umetoka EPA na wanakimbiza fedhaa nchi za nje ambako wamefungua matawi na accounts zao za uhakika kuwa fedha ya EPA haitarudi.
Hivi vyote ni maliasili tulizojaliwana Mwenyezi Mungu toka aiumbe dunia hii, wala sii uongo na ndicho tunachojivunia leo kuwa mabadiliko ktk pato la Taifa. Madini na Utalii wa wanyama na Milima haiwezekani kuwa ni mnazi uliopandwa hata kidogo!.
Hivyo nambie unaposema tumeanza upya nambie hilo shamba la minazi liko wapi na vyanzo vipya ni vipi vimejengwa kwa madhumuni ya kumwendeleza Mtanzania kama hatutarudi ktk misaada ya Viandarua.
 
Bin Maryam,

Mkuu naona sasa kweli umechoka yaani hoja zinakwishia kabisa..
Unaposema kuwa mimi nafanya spinning bado sikuelewi kabisa maanake unamzungumzia Nyerere ktk kipindi cha miaka 24 ya utawala wake lakini inapofikia nchi kama China na Ethiopia unaleta habari za miaka 200 iliyopita ambapo Mao Tse Tung, wala Haile Selassie hawakuwa viongozi wa nchi zao wala siasa hizo za Ujamaa hazikuwepo nchini mwao. Je, Kwa nini usianze na kuwalaumu wakoloni? maanake tunataka kuangalia kilichopandwa miaka 100 iliyopita laa sivyo hutakuwa unaitendea haki Tanzania kwa kutazama mavuno baada ya miaka 20.
Mkuu mimi sifanyi ubishi kwa sababu nataka kufurahisha baraza nazungumza vilivyo machoni yetu. China, Ethiopia na wengine wote wameanza mabadiliko ya kiuchumi muda sii mrefu tofauti nasi wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na viongozi waliotangulia.
Kwa kusherehesha maneno hayo ndio maana nikasema makuzi ya UMRI hayahusiani kabisa na maendeleo ya nchi hata kidogo.
Nchi kama Roma, Portugal, Misri, Iraq na nyinginezo kibao ni nchi kongwe na zilizoanza Ustaarabu zamani sanaaa lakini tunapofika ktk swala la Maendeleo hii ni issue tofauti.. wako nyuma kuliko taifa changa kama Marekani. Hivyo kukua kwa umri hakuhusiani na hoja hii hata kidogo ndio maana nikatoa mfano wa Afya na malezi mazuri kuwa hayana umri. Tunapotumia umri wa Uhuru wetu kujenga hoja ya kutofanikiwa kwetu ni sababu tosha ya Upuuzi na Uzembe wetu sisi wenyewe.
Kifupi mkuu hakuna nchi hata moja iliyokuwa ya KIJAMAA miaka ya 80 leo hii inarudi nyuma ktk maendeleo. Zote zinapiga hatua tena za haraka sana wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na madikteta wake isipokuwa Tanzania tu. LAWAMA anapewa Nyerere na pengine sasa utaanza kuwasema Wajarumani...je mkuu hii siyo kajamba nani?...
Wenzetu hao, They never look back wamejenga vianzo vipya na kuviendeleza vya zamani bila kutegemea misaada isiyoweza kuwaendeleza, lakini sisi akina Ndivyo tulivyo, hatuishi kugeuka na pengine sasa hivi tumesha geuka mawe isipokuwa hatufahamu.. Vyanzo tumeviuza leo Tanesco (commanding Height) INANUNUA UMEME toka ktk makampuni binafsi, badala ya Tanesco kuwa ndio chanzo cha umeme kuuzia makampuni binafsi ya usambazaji. Huo ni mfano mdogo sana kwa Ufisadi unaofanyika leo hii kutokana na upuuzi na uzembe wetu. Huu ufisadi ndio miche yenyewe ya minazi tuliyoipanda?..ama ndio minazi inayotoa miche chini ya vungu zetu, na hatufahamu kinachofuatia.
yerere hakutufundisha kuvuna within 20 yrs isipokuwandiyo yalikuwamategemeo ya wengi Wadanganyika ambao leo hii wanadai kuwa tumeanza Upya!... Tumeanzaupya wapi? nakitu gani mmepanda maanake hata huomnazi huota kwa upandikizaji mbegu.
Nakuomba sana nipe hiyo miradi mloanza upya maanake naelewa kamani Umeme bado mnategemea vyanzo vya Nyerere, Maji vyanzo mmeshabomoa baada ya kugawa kwa wageni leo hata kurudisha ktk haliiliyokuwepo kabla ya mwaka 1984 mnashindwa.
Madini ndio hizo ruzuku za asilimia 1.1 tunazokusanya.
Utalii makampuni kibao yanauza toka nje nayale ya nyumbani mtaji wao umetoka EPA na wanakimbiza fedhaa nchi za nje ambako wamefungua matawi na accounts zao za uhakika kuwa fedha ya EPA haitarudi.
Hivi vyote ni maliasili tulizojaliwana Mwenyezi Mungu toka aiumbe dunia hii, wala sii uongo na ndicho tunachojivunia leo kuwa mabadiliko ktk pato la Taifa. Madini na Utalii wa wanyama na Milima haiwezekani kuwa ni mnazi uliopandwa hata kidogo!.
Hivyo nambie unaposema tumeanza upya nambie hilo shamba la minazi liko wapi na vyanzo vipya ni vipi vimejengwa kwa madhumuni ya kumwendeleza Mtanzania kama hatutarudi ktk misaada ya Viandarua.

You have nailed it bro! Heshima mbele.

MKUU ATWAMBIE NI WAPI TULIPOANZA UPYA? ZAIDI YA KULA HATA MBEGU ZA HUO MNAZI, KIFUPI HATA MINAZI HAIPO MAANA MBEGU IMELIWA INGAWA SHAMBA LIPO! Kifupi tusiwe apologetic kwamba nchi haina watakatifu. No way. Kidogo tulichonacho tunaibiana harafu unategemea eti tutasonga mbele?

Hivi mtu unaweza kula karo ya shule harafu ukategemea kupata cheti kizuri kwa kufaulu wakati darasani haukuingia? Sasa hizi nchi za akina NDIVYO TULIVYO tunakula karo harafu baado tunasema kwamba inshallah tutafaulu wakati darasani hatuingii. Tunalima mashamba lakini at the same time tunakula mbegu harafu tunategemea kuvuna! ndivyo tulivyo!

Huu mjadala as Mwafrika wa kike said, blame game will take us no where. We can aportion blames to anybody, but reality check is we have to own up our responsibility for our failures and stand up to do the needful. It is not too late.

Happy Easter to you all.
 
Masanja,
Happy Easter!..
- Demand na Supply inakwenda na wakati, wamwache Nyerere hakujamba yeye!
 
Hapa ndio unachanganya madesa,

miaka 20 ni mingi sana kwa mabadiliko ya kweli ya uchumi kuanza kuonekana. So far, watanzania wanazidi kuzama kwenye dimbwi la umasikini na hali ya maisha inazidi kuwa mbaya. Take time kupitia blog ya Mjengwa uone baadhi ya picha za Tanzania miaka 20 baada ya mabadiliko ya uchumi.

Blame game haitatoa suluhisho, tuchukue responsibility for our failures na kujenga uchumi upya sisi wenyewe ikiwa ni pamoja na kuanza na process ya kuwatoa ccm madarakani (chama alichoanzisha mbaya wako Nyerere).

Thanks!

Samahani kwa kuchanganya madesa. Mimi sina Blame Game na Kambarage. Kwa maoni yangu mimi, watanzania wanaweza kujifunza mambo mengi kutokana na matatizo yaliotokea katika kipindi cha utawala wake wa miaka 24.

Na sina sababu ya kuangalia picha katika blog ya Mjengwa kwa sababu mpaka sasa wana-Blog wengi wa kitanzania bado ambao wanaangalia upungufu wa maendeleo yetu kwa kulinganisha awamu za uongozi wa awamu ya kwanza, ya pili, tatu na ya nne kama anavyofanya Komredi Mkandara.

Matatizo yetu ni makubwa na hatuwezi kuendelea kwa kutoa mifano ya kuwa awamu ya kwanza ilijenga mabomba ya maji, shule na matibabu bure. Kwa sababu sehemu fulani ya matatizo ni kutoa huduma za bure kabla sekta muhimu za uzalishaji ambazo zitalipia huduma hizo kukomaa.

Hata kama JK na Lowassa wangekuwa safi mradi wao wa kujenga shule za sekondari kama utitiri ni kurudia yale Nyerere aliyofanya katika mpango wa UPE. Na katika miradi ya namna hii maandishi ya kukwambia kuwa uta-fail tayari yapo ukutani kabla ya mradi wenyewe kuanza.

Robert Mugabe alijenga shule za sekondari kila kata na anaongoza katika Afrika kwa kutoa Elimu ya sekondari. Sasa angalia na matatizo aliyonayo.

Kuwa na desire ya kusomesha watu, kutoa huduma za bure ni matarajio ya viongozi wengi wa siasa. Lakini vitu hivi ni lazima viende na reality kuwa uchumi ni muhimu kwanza.

Kuhusu CCM kuondoka madarakani na chama kingine kuleta maendeleo inaweza kuwa kweli au si kweli. China inaendelea kwa kufuata chama kimoja. Nchi nyingi za Latin America zinayumba za zina vyama vingi.

Kwa maoni yangu maendeleo ya nchi yatategemea na juhudi za nchi kujua matumizi ya pesa. Na nchi zisizojua kutumia pesa siku zote zitakuwa kwenye dimbwi la umasikini hata kama nchi yenyewe imezungukwa na rasimali za kutosha na kuwa na vyama utitiri vya siasa.
 
Mwakilishi;
Jitahidi kuwa makini pindi unapojibu hoja,sijasema chanzo cha matatizo ila migogoro mingi ya kidini inayoligusa TAIFA,mfano mwembe chai,n.k

Pia mimi si limbukeni wakushobokea watu kwaajili ya color zao.

Anyway sikuzote ukweli unauma.

Mwalimu hakuwa mdini,na kila kizazi kitakiri hilo milele.
 
Bin Maryam,
Na sina sababu ya kuangalia picha katika blog ya Mjengwa kwa sababu mpaka sasa wana-Blog wengi wa kitanzania bado ambao wanaangalia upungufu wa maendeleo yetu kwa kulinganisha awamu za uongozi wa awamu ya kwanza, ya pili, tatu na ya nne kama anavyofanya Komredi Mkandara.

Matatizo yetu ni makubwa na hatuwezi kuendelea kwa kutoa mifano ya kuwa awamu ya kwanza ilijenga mabomba ya maji, shule na matibabu bure. Kwa sababu sehemu fulani ya matatizo ni kutoa huduma za bure kabla sekta muhimu za uzalishaji ambazo zitalipia huduma hizo kukomaa.
Tafadhali mkuu usiyaweke maneno mdomoni mwangu, nambie wapi nimefanya hivyo?... nakuuliza ni vyanzo vipi hivyo vilivyojengwa baada ya mabadiliko ya kiuchumi maanake aloleta habari za awamu ni wewe. Na umezungumzia mabadiliko ya kiuchumi kwa kutumia awamu ni wewe sasa hili tena vipi kidole kwangu!..Nionyeshe hivyo vyanzo vipya vya kiuchumi unavyozungumzia kiasi kwamba umemtaja Nyerere kuwa ndiye wa kulaumiwa.

Kuhusu swala la huduma za shule na mabomba ya maji bure, nakuomba nambie nchi iliyojenga vitu hivi kwa kuwatoza wananchi!.. Ikiwa una maana utoaji wa elimu na maji bure mkuu wangu nchi kibao zinafanya hivyo.. elimu Bure sii swala la Ujamaa ni huduma ambayo siasa zote zinakuwana malengo ya kuhakikisha elimu inapatikana kwa wote tena basi nchi nyingine ni mandatory kwa kila mwanafunzi toka elementary hadi high school level...
Hayo maji sisi tuna vyanzo kibao na yamejaa ardhini yanavutwa bila kutumia mitambo ya gharama kubwa..na mbona hadi leo hii tunapewa maji bure kwa misaada?. Afya, hivyo vyandarua tunapewa kama misaada, zahanati wala sio hospital zinajengwa kwa misaada.. Je hivi ndivyo vyanzo vipya unavyozungumzia?.. vyanzo vya misaada hali matunda yake ni mabaya zaidi.
Mkuu vipi unaishiwa hoja?
Haya tutazame
 
Bin Maryam,

Mkuu naona sasa kweli umechoka yaani hoja zinakwishia kabisa..
Unaposema kuwa mimi nafanya spinning bado sikuelewi kabisa maanake unamzungumzia Nyerere ktk kipindi cha miaka 24 ya utawala wake lakini inapofikia nchi kama China na Ethiopia unaleta habari za miaka 200 iliyopita ambapo Mao Tse Tung, wala Haile Selassie hawakuwa viongozi wa nchi zao wala siasa hizo za Ujamaa hazikuwepo nchini mwao. Je, Kwa nini usianze na kuwalaumu wakoloni? maanake tunataka kuangalia kilichopandwa miaka 100 iliyopita laa sivyo hutakuwa unaitendea haki Tanzania kwa kutazama mavuno baada ya miaka 20.
Mkuu mimi sifanyi ubishi kwa sababu nataka kufurahisha baraza nazungumza vilivyo machoni yetu. China, Ethiopia na wengine wote wameanza mabadiliko ya kiuchumi muda sii mrefu tofauti nasi wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na viongozi waliotangulia.
Kwa kusherehesha maneno hayo ndio maana nikasema makuzi ya UMRI hayahusiani kabisa na maendeleo ya nchi hata kidogo.
Nchi kama Roma, Portugal, Misri, Iraq na nyinginezo kibao ni nchi kongwe na zilizoanza Ustaarabu zamani sanaaa lakini tunapofika ktk swala la Maendeleo hii ni issue tofauti.. wako nyuma kuliko taifa changa kama Marekani. Hivyo kukua kwa umri hakuhusiani na hoja hii hata kidogo ndio maana nikatoa mfano wa Afya na malezi mazuri kuwa hayana umri. Tunapotumia umri wa Uhuru wetu kujenga hoja ya kutofanikiwa kwetu ni sababu tosha ya Upuuzi na Uzembe wetu sisi wenyewe.
Kifupi mkuu hakuna nchi hata moja iliyokuwa ya KIJAMAA miaka ya 80 leo hii inarudi nyuma ktk maendeleo. Zote zinapiga hatua tena za haraka sana wakitumia vyanzo vile vile walivyoachiwa na madikteta wake isipokuwa Tanzania tu. LAWAMA anapewa Nyerere na pengine sasa utaanza kuwasema Wajarumani...je mkuu hii siyo kajamba nani?...
Wenzetu hao, They never look back wamejenga vianzo vipya na kuviendeleza vya zamani bila kutegemea misaada isiyoweza kuwaendeleza, lakini sisi akina Ndivyo tulivyo, hatuishi kugeuka na pengine sasa hivi tumesha geuka mawe isipokuwa hatufahamu.. Vyanzo tumeviuza leo Tanesco (commanding Height) INANUNUA UMEME toka ktk makampuni binafsi, badala ya Tanesco kuwa ndio chanzo cha umeme kuuzia makampuni binafsi ya usambazaji. Huo ni mfano mdogo sana kwa Ufisadi unaofanyika leo hii kutokana na upuuzi na uzembe wetu. Je, huu ufisadi ndio miche yenyewe ya minazi tuliyoipanda?..ama ndio minazi inayotoa miche chini ya vungu zetu, na hatufahamu kinachofuatia.
Nyerere hakutufundisha kuvuna within 20 yrs isipokuwa ndiyo yalikuwa mategemeo ya wengi Wadanganyika (wapuuzi na wazembe) ambao leo hii wanadai kuwa tumeanza Upya!... Tumeanza upya wapi? na kitu gani mmepanda maanake hata huo mnazi huota kwa upandikizaji mbegu.

Nakuomba sana nipe hiyo miradi mloanza upya maanake naelewa kama ni Umeme bado mnategemea vyanzo vya Nyerere, Maji vyanzo mmeshabomoa baada ya kugawa kwa wageni leo hata kurudisha ktk hali iliyokuwepo kabla ya mwaka 1984 mnashindwa. Madini ndio hizo ruzuku za asilimia 1.1 tunazokusanya.
Utalii makampuni kibao yanauza toka nje nayale ya nyumbani mtaji wao umetoka EPA na wanakimbiza fedhaa nchi za nje ambako wamefungua matawi na accounts zao za uhakika kuwa fedha ya EPA haitarudi.
Hivi vyote ni maliasili tulizojaliwana Mwenyezi Mungu toka aiumbe dunia hii, wala sii uongo na ndicho tunachojivunia leo kuwa mabadiliko ktk pato la Taifa. Madini na Utalii wa wanyama na Milima haiwezekani kuwa ni mnazi uliopandwa hata kidogo!.
Hivyo nambie unaposema tumeanza upya nambie hilo shamba la minazi liko wapi na vyanzo vipya ni vipi vimejengwa kwa madhumuni ya kumwendeleza Mtanzania kama hatutarudi ktk misaada ya Viandarua.


MKandara:

Hapa naona tutabishana mpaka asubuhi lakini sirudishi majeshi yangu nyuma.

Kuna tofauti kati ya hoja nazotoa na wewe unavyochambua na si ajabu kwanini tushindwa.

Kuna mfano mmoja hapa. Katika hukumu ya kuingia nani aingie peponi, Mtakatifu Papa pamoja Dreva wa taxi wa New York walikutana na Malaika anayechagua nani aende peponi. Dreva wa taxi alikuja na Mbwembwe nyingi akiwa na majivuno, cigar mdomoni na macheni mengi shingoni. Wakati Papa alikuja kwa utulivu wa kitakatifu.

Malaika alipotoaa hukumu ya nani aende peponi alisoma jina la Dreva wa taxi na kuliacha la Papa. Papa akauliza kwa unyenyekevu kwanini amemsahau mtumishi wa Mungu?

Malaika akajibu: Ulipokuwa unaendesha ibada watu walikuwa wanasinzia na waliosikiliza walipotoka walifanya tofauti na yale uliyoagiza. Na dreva wa taxi aliwalipisha wateja wake bei ya juu na zaidi ya hapo waliipa tips. Vyote alivyotaka wateja wake walikuwa tayari kulipa. Hivyo performance yake ilikuwa kubwa kwa yale aliyotaka kutimiza.

Pamoja na hayo, Malaika akamwambia Papa kuwa asiwe na wasiwasi kwani makaratasi aliyosoma ni ya kwenda kwenye pepo ya PERFORMANCE (Utendaji).

Kwa mfano niliotoa juu. Utawala wa kikoloni uliongoza kwa PERFORMANCE. Kile walichojia Africa walikipata.

Mao Tse Tung naye aliongoza kwa performance. Hivyo ujamaa wa China na Tanzania unatofautiana katika masuala ya performance ingawaje malengo yalikuwa yaleyale.
 
You have nailed it bro! Heshima mbele.

MKUU ATWAMBIE NI WAPI TULIPOANZA UPYA? ZAIDI YA KULA HATA MBEGU ZA HUO MNAZI, KIFUPI HATA MINAZI HAIPO MAANA MBEGU IMELIWA INGAWA SHAMBA LIPO! Kifupi tusiwe apologetic kwamba nchi haina watakatifu. No way. Kidogo tulichonacho tunaibiana harafu unategemea eti tutasonga mbele?

Hivi mtu unaweza kula karo ya shule harafu ukategemea kupata cheti kizuri kwa kufaulu wakati darasani haukuingia? Sasa hizi nchi za akina NDIVYO TULIVYO tunakula karo harafu baado tunasema kwamba inshallah tutafaulu wakati darasani hatuingii. Tunalima mashamba lakini at the same time tunakula mbegu harafu tunategemea kuvuna! ndivyo tulivyo!

Huu mjadala as Mwafrika wa kike said, blame game will take us no where. We can aportion blames to anybody, but reality check is we have to own up our responsibility for our failures and stand up to do the needful. It is not too late.

Happy Easter to you all.

Mambo mengi yamebadilika nchini Tanzania. Matatizo yenu ni kuwa hivyo vitu hamvioni na wengine hamvijuhi jinsi ya kuvitumia kwa sababu mlizoea kulishwa.

Chukua mfano, miundo mbinu wa mabenki. Mabenki yamechukua sura mpya kabisa Tanzania.

Chukua sheria za umilikaji wa mali na uwekezaji. Sheria zimebadilika kabisa.

Matatizo ya watanzania wengi mnataka kuona vitu PHYSICAL ndio mkubali mabadiliko yametokea. Na si ajabu kiongozi wa nchi anaiba pesa nyingi na kuishia kununua ng'ombe ambao gharama za kuwatunza zinazidi pesa alizoiba.
 
Bin Maryam,
Duh hilo la peponi kali kweli maanake ni jambo ambalo haliwezekani hata kifikra..Yaani huyo papa anahukumiwa yeye kwa sababu watu walikuwa wamelala.. sii matendo yake, ila kile kilichotendwa na wafuasi wake..Je, hao wafuasi walipata hukumu gani ama ndio pepo tupu!..
Huyo Mungu akitazama alama zipi kuipa Perfomance ya taxi dreva pepo maanake kuwatoza watu kiwango zaidi haina maana kaboresha maisha yake na familia yake tofauti na Papa ambaye watu waliyafanya nje ya mafunsisho yake.
Hapa sioni connection kabisa kwani Taxi dreva unamhukumu kwa kutoza watu wakiwa wameridhia bila kutueleza mafanikio yake ama mazuri ya kutoza kiwango hicho zaidi tofauti na Papa anayezungumza na watu waliolala.

Mkuu naelewa sana unachojaribu kusema kila unapomweka Nyerere ktk swala hili. Labda tumwondoe Taxi dreva, tuzungumzie vitu vinavyoeleweka na wazi kwani Mao Tse Tung na Nyerere wote ni ma Papa... wanasiasa wote ni ma Papa.
Nachosema mimi Mao alihubiri na watu wakayafanya yaliyotakiwa kufanywa wakati ule na hakika waliendelea kwa kipimo chao cha Kijamaa pamoja na kwamba nchi za magharibi waliwaona hawakuwa na maendeleo. Ni lugha ambayo inatumika kwa nchi kama North Korea ambao wanatumia kitu kama Usd billioni 5 kununua silaha kila mwaka lakini wananchi wake wanalala njaa.. hivyo tunaweza sema hawa sii maskini kifedha, lakini kutokana na maisha ya wananchi wake ndio maana hukumu hiyo imetolewa.
Sasa wenzetu China walihukumiwa kulingana na wakati wake yaani wakati wa Mao waliitwa maskini ikiwa na maana labda walilala pia ama walikuwa macho lakini walifanya mema/mabaya ambayo hayakuwapa pepo.
Mabadiliko ya kiuchumi wao walikuja na Agano jipya, agano ambalo haliwaondowi ktk malengo yao ya awali isipokuwa wametumia njia tofauti za kufikia malengo (Pepo). Hadithi za Mao zimekwisha..wanatazama mbele na hili Agano jipya.
Tofauti na Tanzania watu mnataka hukumu ya Umma wa Yesu kutokana na mafundisho ya Nabii Mussa. Nachokataa mimi ni kwamba kila Umma unahukumiwa kutokana na yale waliyokuwa nayo wakati wake. Kizazi cha Ibrahim watakuhumiwa kutokana na mafundisho ya Ibrahim, wa Mussa watahukumiwa kutokana na mafundisho ya Mussa hivyo hivyo hadi kufikia Yesu ama Muhammad hata kama baadhi ya mafundisho ni marudio ya yale yaliyopita. Kiuchumi ndio kusema demand na Supply zitatazmwa kulingana na wakati wake hivyo maendeleo ya kukidhi mahitaji hayo yanatokana na nguvu zenu wakati huo wa mahitaji. Perfomance inapimwa kila mwaka na kama mnarudi nyuma haina maana gari hilo limesimama laa hasha lina move lakini kwenda nyuma.

Kisha kumbuka tunapozungumzia maendeleo hatupimi China walikuwa na vianzio vipi dhidi yetu laa hasha ila pale tulipo. Mkuu tunapima suti kulingana na umbo letu na ukubwa wa mwili hauna maana wana afya zaidi yetu sisi. Na udogo wetu tunaweza kuwa na afya bora kiuchumi kuliko China ikiwa kuna mabo muhimu ya kiafya yatapewa kipaumbele. Na sisi wenyewe tuache hiyo tabia ya NDIVYO TULIVYO.
Tanzania hii mpya hatujapanda mbegu yoyote ile ya (mnazi) vyanzo vya uchumi kama sii vile vya Nyerere na vingine tumeuza (commanding heights).
Meaning kuwa ikiwa tumepanda mnazi bila shaka muuza kashata atasogea, watengeneza Mgema watasogea, na kina mama ntilie shurti wali wa nazi kushika soko. Sasa ukisha uza shamba mkubwa kweli bado unategemea huyo alonunua atalima Minazi hali sii ktk best of his business interest zaidi ya kushika rights za ardhi hiyo yenye rutba na kuikodisha tena kwa serikali ilomuuzia!- This is what is going on siongei nje ya reality mkuu wangu.

Sasa basi ikiwa Nyerere alikuwa akihubiri dini nasi tumelala inakuwaje yeye ahukumiwe moto kwa sababu hatukufanya yaliyotakiwa kufanywa?...Sawa tunaweza sema Nyerere atahukumiwa kwa yale alofanya wakati wa Uhai wake lakini baada ya kuacha kanisa na sisi tukaingiza Scientology ndani yake inakuwaje yeye ahukumiwe kwa matendo ya wafuasi wa huyu Papa mpya ambaye kanisa kalifanya ukumbi wa disco?..
Hilo ndio swali langu na kama umenielewa lina fit ktk kila hoja bila kubadilisha maana ya hoja yangu.
 
Mkandara:

Warusi na wachina walianza kwa Quarters. Wakulima vijijini walikuwa wanapangiwa kiasi cha kuzalisha. Na serikali inakuja kuchukua kile ulichopangiwa.

Kama ulipangiwa kutoa magunia matano ya ngano na kwa baada mbaya ukazalisha magunia sita basi magunia matano yanachukuliwa kwanza na serikali na wewe unabakia na gunia lako moja mpaka msimu mwingine wa chakula. Tuache utani, je ungekubali babu yako kule ujita atoe magunia ya mihogo kwa serikali kwanza kabla ya yeye kupata chakula?

Vilevile wao hawakukataa kuwa mtaji ni msingi wa maendeleo. Hivyo wapingaji ujamaa kama mimi walikuwa wanapelekwa Siberia kuchimba dhahabu na Uranium na kuliingizia taifa mapato bila malipo.

Hivyo miaka ya mwanzo ya Ujamaa kwa nchi kama China, Urusi au Vietnam haikuwa ya mchezo wala ngoma ya mganda. Urusi pekee yake ilipoteza millioni 7 hivi katika operasheni ya kuhamisha watu na uzalishaji wa vijiji vya ujamaa.

Kwa siasa hizo hizo waChina walipoteza kati ya 20 na 30 million. Na kwa mtaji huu maendeleo uyaonayo ya wenzetu kuweza kuendeleza siasa zao, hayakuja bila kuwa na gharama za maisha ya watu zilizokithiri.


Na kuna wajomba hapa wanaosema kuwa Ujamaa wetu unafanana na hule wa Scandinavia. D@mn right !!!!. Scandinavia waliachana na jembe la mkono miaka kama 500 iliyopita. Na mababu zao waliwawekea mitaji mizuri ya maisha ya wao kujichagulia siasa.


Wakati waChina wanafanya mabadiliko ambayo kwa kiasi kikubwa yalipoteza maisha ya watu, sisi tulianza na Ujamaa wa misingi ya propaganda. Unakwenda kumfundisha mtu kuwa mjamaa wakati yale unayoyazungumza yanaingia upande mmoja na kutoka upande mwingine.

Wakati Warusi wanapeleka mwizi wa mali ya umma kwenda kuchimba Uranium huko Siberia. Ujamaa wa Tanzania unampeleka mwizi chuo cha chama Kivukoni kupata shahada nyingine na baadaye anapewa nafasi katika shirika jingine la umma kutibua.

Na kwa mtaji na niliyosema hapo juu. Jambazi wa Benki Stalin atakwenda kwenye pepo ya performance na Nyerere atakataliwa.
 
kuhusu military adventures.. Sisi sio wamarekani ambao wanavamia nchi za watu only because it is to their economic advantage. Nyerere pamoja na mapungufu mengi, was a man of principle. Tanzania ilikuwa na misingi ya Utu, tungekaa kwenye mikutano yakujadili uchumi na biashara na wazungu wakati mataifa mengine yakiafrika yalikuwa kwenye utawala waki koloni... wazungu hawajui cha tanzania. They speak of Africa.. kwahiyo uhuru bara zima ulikuwa na umuhimu..

Kuhusu ukabila, sio Nyerere aliyeuanzisha.. ulikuwepo. Policy zake ziliact kuupunguza. Kuna makabila ambayo yame display inherent nature yaukabila.. wahaya for one, wachaga not per se lakini nao nyerere aliwaogopa kwasababu walikuwa na nguvu. sasa kwa ku neutralize makabila yaliyokuwa na nguvu... alizui Kikuyu style dominance... ambaoyo bila shaka ingejenga chuki kubwa. With time almost all elements za ukabila zita potea.. this is because there is intermarriage kati ya makabila ya Kitanzania.. jambo ambalo ni ndoto kwenye nchi kama Kenya.

Uchumi, well socialism is a utopic idea, it has its short falls lakini capitalism is not all that good either... Matatizo yake ni makubwa vilevile..(hapatoshi kuanza kuyajadili hapa, lakini threas nyingine tunaweza kuianzisha 4that purpose). Ikumbumkwe kuwa during the Pan-African movement, Nyerere's siding more with the Chinese and USSR (besides NAM) led to American sabotage of the economy...CHE alikuja akakaa Dar es Salaam.. Castro was a comrade..eeh and as Henry Kissinger said: Tanzania is amongst evil States..hahahaha Wamarekani wanafiki wakufa. IMF na WB wanatoa hela, wanawapa masharti ya jinsi yakuzitumia alafu when things go wrong..... LIPENI its all your fault. Whilst many other African leaders where taking the Money and putting it in Swiss accounts, Nyerere aliresist ubadhirifu..

Kuhusu mambo ya udini, Tanzania hamna udini, kwanza hakuna wanasiasa wafuata dini kiukweli. Wote wanaenda kwa waganga, mashehe.... its funny. To insinuate kuwa kuna udini on a problematic level or one that is growing towards that direction would be rather hyperbolic in my opinion..

The one thing he was not was a saint.. Alikuwa na maovu. Alikuwa mchawi in all likelihood. So the Catholic Church investigating his cannonization is ridiculous... hilo mimi linanishangaza.

Lakini GT katika post yako hii, I am forced to conclude that you are invariably biased... as your title suggests "Ukweli Kuhusu JK Nyerere"... lakini it should be more like Mapungufu Ya JK Nyerere. Umecover only one side.. na argument zako haziko convincing whatsoever. Naomba ufafanuzi.
 
Mwakilishi;
Jitahidi kuwa makini pindi unapojibu hoja,sijasema chanzo cha matatizo ila migogoro mingi ya kidini inayoligusa TAIFA,mfano mwembe chai,n.k

Pia mimi si limbukeni wakushobokea watu kwaajili ya color zao.

Anyway sikuzote ukweli unauma.

Mwalimu hakuwa mdini,na kila kizazi kitakiri hilo milele.

Mukobosi, labda unifafanulie unamaanisha nini kwa kusema hivi:
ukifuatilia fujo nyingi tz source ni waislamu

Ningekuomba na wewe uzingatie ushauri wako mwenyewe vilevile, uwe makini unapojenga hoja, usijumuishe mambo kiholela.
Tafadhali elewa sijadai sehemu yoyote kuwa Nyerere alikuwa mdini, hivyo usinipachikie maneno.

Kama Waislam wa Tanzania wanaona kuna jambo haliwapendezi wana kila haki kama raia yeyote wa Tanzania kusikilizwa na uongozi uliopo na kulitafutia jambo hilo ufumbuzi, au wewe unasemaje?
 
Kama Waislam wa Tanzania wanaona kuna jambo haliwapendezi wana kila haki kama raia yeyote wa Tanzania kusikilizwa na uongozi uliopo na kulitafutia jambo hilo ufumbuzi, au wewe unasemaje?


Mwakilishi,ni kweli kila mtu ana haki ya kuhoji na kusikilizwa,Lakini ile fujo ya mwembe-chai ilikuwa ni haki na sahihi?kama ndivyo kwanini walipewa kibano?

Pia kuna matatizo ya udini tz,hivi unadhani nani/nini ndiye chanzo?Hivi unadhani kule zenj wale akristo hawana haki ya kuwa viongozi ktkserikali ile?na ni kwanini kuanzia vyama hadi serikali nafasi zooote zimeshikwa na waislamu na watu wenye asili ya kiarabu?au wakristo wa kule si watz?ni vilaza sana nini?hawajui haki zao nini?au kunani?hahahahahhahahahahahahhhhhhh

Twende kazini.
 
Kadiri watanzania wanavyomwona Nyerere kiongozi bora; ndivyo Tanzania itakavyozidi kupata uongozi mbovu.

Sasa mafisadi wa CCM watafanya kikao huko Butiama ili kuwazuga wadanganyika.

JKN alikuwa mtu mwema,mpenda haki, mwadilifu; lakini hakuwa kiongozi bora. Mimi namlinganisha zaidi JKN na mwalimu mkuu wa shule ya msingi ambaye si mkali wala kwa walimu wenzake wala watoto wa shule. Wanajifanyia watakalo. Ila shule hiyo haifaulishi watoto kwenda sekondari.
 
Back
Top Bottom