tunalo liona hapa ni mgongano wa kimawazo ambao upo imbalanced kwelikweli. There is a tendency now developing of blaming mwalimu for today's misfortunes by showing mwl ndo aliyapika na haya ni matokeo yake. This is especially in the economy and these are popular beliefs of western models of economic development which do not serve social needs. The common saying of "Ujamaa ulifeli, na ndio chanzo cha umasikini wetu" is wholly untrue. Tatizo kubwa na watu kutosoma hotuba za mwl wakati ni kiongozi na pia kutoangalia focus za uongozi wake. Hebu tujaribu ku analyse.
UCHUMI; Focus ya mwalimu haikuwa kuwa na pato kubwa la taifa (national income) while majority of the people remained in abject poverty. if it were so angeisha gawa madini, mbuga na viwanda kama walivyofanya waliotangulia. Mwalimua ali understand, western models of economic development do not provide holistic development of the population but rather segmented upliftment. Kwa mfano, leo hii tuna viwanda, wanachimba madini, ubinafshishwaji, pato la taifa linakuwa (they say so) lakini hospitali ni mbovu, shule hazitoshi, huduma za jamii ni nzuri mijini tu etc. Kwa a prudent thinking individual it is not difficult to understand social needs are not addressed in such model of economic development. Serikali inajitoa kwenye huduma muhimu za jamii kwa kisingizio haina pesa. Wakati wa mwalimu serikali ilikuwa at the forefront in providing huduma za jamii. Ingekuwa ni mwalimu ndo yupo madarakani, wale wanafunzi waliokwama Ukraine wasingerudi nyumbani.
A point to note, haya mashirika yote tunayowagawia wazungu, tuliwezaje kuyaanzisha kipindi kile? yaliwezaje ku survive for this long? mbona tuliowapa hawajaleta mitaji mipya ila wametumia waliyoikuta!!! Ni kweli tumeshindwa kuyaendeleza? leo hii tunaleta wataalam toka nje, hawa ma professor na wasomi wanafanya nini kwenye vyuo vikuu vya serikali? we have to comprehend the fact kuna wanasiasa wanatumia jina la mwalimu for political advantage kama vile India baadhi wanaotumia jina la Gandhi for vote bank politics. Mwalimu hakutaka masanamu yajengwe, the same as Castro because of the effect of personification or idolatry. We cannot blame mwalimu the fact they are constructed today when he is absent!
Also, liberation of other African countries was not done for the purpose of capturing their economic resources for this would defeat the sole purpose of liberation. We wanted to free our African brothers from colonialism, not just politically, but socially and economicall. it was a self-sacrifice on our part for they would have done the same had we been in their shoes. The whole concept of economic benefit ndo wanachofanya Wamarekani Iraq, South Korea, japan etc. its immoral and dehumanizing.
So game theory it is unfair to blame mwalimu for the mistakes his successors have committed. This is not to suggest Mwalimu never had his own shortcomings, but he was true to his course and his course was genuine and on top of that directed towards development of the country. Ndo maana watu walisoma bure, walitibiwa bure, walikuwa na uhakika wa kazi, mashirika ya serikali yalifanya kazi, kilimo kilistawi.