Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,042
- 142,984
Sasa jibu na hili, mbona unalikwepa swali?
BOT kabla ya Nyerere kung'atuka iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, ni nani alichukuwa? ni nani alichunguza?
Kwenye swali lako unasema kuwa BOT "iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia".
Sasa tutumie mantiki, sawa?
Kama BOT iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, je, huoni kwamba kuna uwezekano wa hizo senti zote zilizokuwamo humo BOT kuteketezwa na huo moto?
Ni nani alichukua?
Hapa ndo hueleweki kabisa. Unauliza ni nani alichukua hizo senti ilhali ushasema kuwa hakuna senti moja iliyobakia katika huo moto!
Huo moto haukuzitekeza hizo senti zilizokuwamo humo?
Ni nani alichunguza?
Mi sijui ni nani aliyechunguza.
We unajua?