fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Hata JF wehu na malaya wa fikira wamo, mwacheni
Naona hauelewi kuwa Nyerere alishapinduliwa na ujumbe ukapelekwa kwa U Thans, aliyekuwa mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo. Na aliyeyageuza mpinduzi hayo na aliyemuokoa Nyerere na utawala wake ni kati ya hao wajaa "laana".
Unalijuwa hilo?
Nimefurahi kuwa hujakataa kusingiziwa huko kwa Nyerere.
Anasingiziwa na nani? Kikwete naye siku hizi ni daktari. Je, naye anasingiziwa?
Ushahidi kwamba alishindwa masomo ya sayansi uko wapi? Na kwani wote waitwao madaktari wamesomea masomo ya sayansi? Kikwete naye kasomea masomo ya sayansi?
Sasa kama BOT iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, kwa nini unauliza nani alichukuwa? Nani alichukuwa nini kama hakuna senti moja iliyobakia?
Hata mantiki nyepesi tu zinakushinda! Unasema BOT iliwaka moto mpaka kuteketeza kila kitu halafu kwa wakati huo huo unadokeza kwamba huenda Nyerere aliiba. Nyerere ataibaje vitu vyote vilivyoteketezwa na moto? Aliiba majivu?
Mara nyingi huwa sitamani hata kuziona post au comment za huyu sijui ni dada, mama au bibi ila ndio hivyo tena waswahili tunasema macho hayana pazia natamani hata nijue kiundani nini mwalimu alimkosea, kuna siku nilikaa nikawaza au ni mtoto wa nje wa Mwalimu alitelekezwa ila nikasema moyoni Mwalimu alikuwa muadilifu asingeweza kufanya hivyo, jibu likawa ni UDINI wa huyu faiza ndio unamsukuma kuandika yote hayo.
Binafsi namuombea faiza ipo siku ataukubali ukweli na hapo ndio atakapokuwa huru kwelikweli.
Pedagogic at Heart, Former UN Secretary General wakati ule alikuwa alikuwa anaitwa U Thant sio U Thans.
Kwa kutumia maneno yako mwenyewe, shule hukwenda kusomea ujinga!
wafuatiliaji tunaomba hoja kwa hoja ili kuweka kumbu kumbu sawa
Nina uhakika lugha ya Kiswahili unaijua vizuri kabisa. Ila inaonekana maana pekee ya "kupigania" uliyonayo ni kukunjiana ngumi au kumwagiana risasi. Kama hii ndiyo maana uliyonayo sidhani kama kuna watu ambao wanaweza kusema kweli "walipigania" uhuru wa nchi yetu.
Naona hata wewe umekosa mantiki ya usomi. Hivi hapo kuna nini ulichokiona kinakufanya useme yote hayo? Hebu tazama Mzee Mwanakijiji alivyojibu, yeye ni mpenzi mkubwa wa Nyerere lakini hakuja na chuki na matusi kaja na points ambazo tunaweza ku discuss na kuwekana sawa. Unajuwa maana ya "kusingiziwa"? Hapa hakuna mambo ya dini kabisa, ondoa hilo. Nisome vizuri bila hasira utaelewa haya madongo yameelekezwa wapi.Japo Kweli Nyerere Alikuwa Mzigo Kwa Taifa Lakini We Humchukii Kwa Ajili Hiyo We Ni Mdini Ulopitiliza Ambaye Tunakudharau Hata Sie Waisilamu Wenzio Kwa Mfano Ni Kitu Gani Kikwete Amewafanyia Waislam Kama Sio Hii Mahakama Ya BAKWATA Iliyofeli Kwa Kuchanwa Chanwa Na Maaskofu.
Hata mantiki nyepesi tu zinakushinda! Unasema BOT iliwaka moto mpaka kuteketeza kila kitu halafu kwa wakati huo huo unadokeza kwamba huenda Nyerere aliiba. Nyerere ataibaje vitu vyote vilivyoteketezwa na moto? Aliiba majivu?
Naona hata wewe umekosa mantiki ya usomi. Hivi hapo kuna nini ulichokona kinakufanya usome yote hayo?
Hebu tazama Mzee Mwanakijiji alivyojibu, yeye ni mpenzi mkubwa wa Nyerere lakini hakuja na chuki na matusi kaja na points ambazo tunaweza ku discuss na kuwekana sawa.
Unajuwa maana ya "kusingiziwa"?
Hapa hakuna mambo ya dini kabisa, ondoa hilo. Nisome vizuri bila hasira utaelewa haya madongo yameelekezwa wapi.
watu kama FaizaFoxy ni muhimu katika ya future ya taifa letu ukizingatia anajaribu kuwaamsha waliolala wajue wanatoka wapi na wanakwenda wapi mi anachoniuzi ni pale anapodai mambo ya haki sawa kati mume na mke ,anaupotosha ulimwengu kwa kutumia vifungu vilivyotungwa na shetani ili aweze kufanikiwa yaani kasahau kama mwanamke ametoka ubavuni mwangu.otherwise mi najitolea kuoa binti yake aone venye nitamtreat poa