Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Huwa ninajiuliza sana bila majibu, hivi inakuwaje FaizaFox anamchukia sana Nyerere (founder of CCM) but at the same time anaipenda sana CCM?!

Nini kilichojificha nyuma ya hii HATE AND LOVE ya FaizaFox?!

Simchukii Nyerere ila kinachoudhi ni pale watu wanapokosa kuona hata makosa yake licha ya yeye mwenyewe kusema yeye "si malaika" na kuna makosa kayafanya, tuyaache. Sasa fikiri ikiwa hakuna anaeweza kuya mention hayo "makosa" tutayaacha vipi?

Tundu Lissu alipoyasema makosa ya Nyerere tena ndani ya ukumbi wa Bunge "LIVE", jee na yeye anamchukia Nyerere?

Fikiri.
 
Faiza namba 7,nimecheka mpaka basi.Kama ushahidi wenyewe ndo huo nimethibitisha uelewa wako.Hebu nambie Nyerere ni moto ?Bot imeteketea na wewe unamtuhumu nyerere kaiba kwa nn usiwe mkweli moto uliiba kama pametokea wizi ?

Unajuwa, ukiwa Kiongozi hata wa ofisi tu, ikateketea na fedha zote zikatekea na hali hapo kuna "strong room" na haukuamuru ufanyike uchunguzi na kama ulifanyika kimya kimya Watanzania hawajaambiwa lolote na wakati huo hakuna anaeweza kuhoji, ukihoji unalo.

Umeelewa nini hapo?

Leo wacha benki kuwaka, fedha za akaunti moja tu za malipo halali ya mtu aliyetowa huduma zilipotolewa kulipwa mwenyewe mpaka leo uchunguzi unaendelea, fikiri ingekuwa benki nzima imeteketea na fedha zote kuyeyuka na ilhali BOT hiyo iliyounguwa ilikuwa na ma strong room si ya kawaida?

Fikiri ndugu yangu, hayo yanachekesha lakini kinachosikitisha ni Watanzania tunapokuwa na "double standard".
 
Simchukii Nyerere ila kinachoudhi ni pale watu wanapokosa kuona hata makosa yake licha ya yeye mwenyewe kusema yeye "si malaika" na kuna makosa kayafanya, tuyaache. Sasa fikiri ikiwa hakuna anaeweza kuya mention hayo "makosa" tutayaacha vipi?

Tundu Lissu alipoyasema makosa ya Nyerere tena ndani ya ukumbi wa Bunge "LIVE", jee na yeye anamchukia Nyerere?

Fikiri.

Kwahiyo wewe unafikiri kuliko mimi? You might be kidding?

Nilichouliza was simple and straight nini kilicho nyuma ya akili yako ya HATE of JK Nyerere and LOVE of CCM?
 
Usiwe msahaulifu angalia hapo chini.
Hawa ni balaa ,heri U-Dr wa JK wa Heshima siyo wakujipachika mwenyewe kama wa akina Prof.Majimarefu.

Hahahahaha, nilikuwa nnaongelea waliopewa Udaktari wa heshima.

Wewe umemuona huyo> mbona mimi nimeshajibu huko juu na nikatolea mfano wa Dr. Manyaunyau.
 
Kwahiyo wewe unafikiri kuliko mimi? You might be kidding?

Nilichouliza was simple and straight nini kilicho nyuma ya akili yako ya HATE of JK Nyerere and LOVE of CCM?

Kumbe wewe unafikiri? sikujuwa hilo, mimi sijakiona cha kunifikirisha hapo, nimekujibu kama ilivyo, au jibu langu hujalipenda?

Katika points 7 nilizoziweka wewe huna hata moja ya kufafanuwa nilipokuwa "wrong"? Nyani Ngabu kachaguwa mbili, zingine 5 hana comment mpaka dakika hii. Vipi wewe?
 
Last edited by a moderator:
Sipotezi muda wangu kujadili none-sense kama hizi. Karne hii mtu anakuja na hoja za udini na ubaguzi???

We usimheshim Nyerere, Laana itakuandama. Tuache sisi na Nyerere wetu.

Huo udini unauongea wewe, hiyo ndiyo ngao yenu mnapokosa hoja.

Nioneshe katika post yangu huo udini uko wapi?

Nyerere nnamheshim sana kupita kiasi, msiyemheshimu ni nyinyi mnaomsingizia mambo ambayo si yake.
 
Huyu ajuza kuna wakati akili yake inaenda mbele alafu kuna wakati hurudi kinyumenyume.
 
La sivyo, una maana gani unaposema "Nyerere anasingiziwa kuwa hajaiba"?

Halafu ukaendelea kwa kuandika "Si kweli". Kisicho cha ukweli ni nini?

....

Naam, kilicho ukweli ndicho tunakitaka, hilo swali nimeshalijibu, nnakubandikia tena ujisomee:

Unajuwa, ukiwa Kiongozi hata wa ofisi tu, ikateketea na fedha zote zikatekea na hali hapo kuna "strong room" na haukuamuru ufanyike uchunguzi na kama ulifanyika kimya kimya Watanzania hawajaambiwa lolote na wakati huo hakuna anaeweza kuhoji, ukihoji unalo.

Umeelewa nini hapo?

Leo wacha benki kuwaka, fedha za akaunti moja tu za malipo halali ya mtu aliyetowa huduma zilipotolewa kulipwa mwenyewe mpaka leo uchunguzi unaendelea, fikiri ingekuwa benki nzima imeteketea na fedha zote kuyeyuka na ilhali BOT hiyo iliyounguwa ilikuwa na ma strong room si ya kawaida?

Fikiri ndugu yangu, hayo yanachekesha lakini kinachosikitisha ni Watanzania tunapokuwa na "double standard".

 
Kuna wakati nashanga na kujiuliza sana. Inakuwaje watu wanaotaka kuonekana wema wasio na mawaa ndio waongo, wanafiki, wezi, na wafitni sana!

Dola yoyote ile inayoinuka kwa maradhi kama hayo, na ikasimama kwa kutumia maradhi hayo....naam itaanguka chini sababu ya maradhi hayo hayo. Watch out! the fall of this kingdom which has been built by lies, survives by lies is imminent. Time will tell
 
Tundu lissu wakati wa kikao cha bunge la katiba alieleza sana kuhusu nyerere, kuna mpaka mashehe walilia eti anakashifiwa baba wa taifa. Mfano mdogo tu ni waraka wa muungano, lakini watu ukieleza upande mwengine wa shilingi kumhusu nyerere wamakuwa wakali kweli daaah, wakuu alikuwa binaadamu wa kawaida hakuwa mungu nae ana makosa kibao
 
Hii umeisahau Nyerere alisingiziwa kupora shule za secondary za wakristo kama mazengo, pugu, minaki, kigonsera nk ili watanzania wote bila kujali dini zao wasome.
Malizia si kweli.............

hapo unamsingizia , alichofanya ni kuona itakua tabu hizo shule za kanisa kuzipa msaada kama zili vokua zikipata kabla ya uhuru , hivo mbinu ikatumika kuzitaifisha , zikabaki chini ya kanisa lakini bajeti ya serikali , wachaguliwa wale wale tu hakukuwa na tofauti.na sasa akapata mwanya wa kuwabamiza waislam kwani hawakuwa na uwezo wa kuwa na shule zao
 
Kumbe wewe unafikiri? sikujuwa hilo, mimi sijakiona cha kunifikirisha hapo, nimekujibu kama ilivyo, au jibu langu hujalipenda?

Katika points 7 nilizoziweka wewe huna hata moja ya kufafanuwa nilipokuwa "wrong"? Nyani Ngabu kachaguwa mbili, zingine 5 hana comment mpaka dakika hii. Vipi wewe?

It seems I'm discussing with an obtuse myopic person!

My question is simple and straight forward, what is behind your mind of HATE of Nyerere and LOVE of CCM?

You can't see cha kukufikirisha may be what I'm writing is beyond your comprehension, and that is NOT your fault.
 
Hebu turudi kwenye post namba moja tuanza na point ya kwanza.

Hivi wewe unafikiri ni sifa nzuri ya kumpa mtu aliyeleta Uhuru kwa amani kumsingizia kuwa "alipigania Uhuru"? hauoni hapo unamshusha na unajishusha kuwa tulikuwa hatustahili kuwa huru mpaka "tumepigania"?

Sasa ikiwa unamsinguzia Nyerere "kapigania Uhuru" na hali ya nchi alivyoiacha miaka 27 baadae ikiwa hohehahe si kama unamwambia "ulipigania Uhuru" wakati umeshindwa kutawala? au wewe unaonaje?

Mimi nadhani tumpe sifa yake anayostahili ya kutuletea Uhuru usomi wake kwa amani bila kupigania wala kumwaga damu na tukaagana vizuri na Muingereza kukabidhiana madaraka kwa heshima bila damu kumwagika.

Kama kulikuwa na damu iliyomwagika basi ilikuwa ni ya yale makafara tu aliyokuwa akihudhuria Nyerere na kuchinjiwa mbuzi, ng'ombe, kuku. Au siyo?

Tukubaliane hili la kwanza halafu twende la pili. Au unasemaje?
hapa sijaona hoja ya maana, kutumia neno kupigania inaweza kuwa na maana kujitoa na kuhakikisha unafanikiwa kwa kile unacho kitaka na kukiamini. mara ngapi tunasikia na kutumia neno alijitahidi kupigania maisha yake, ila ndo ivyo tena hatunae. wewe ulitaka kupigania hadi kuwe na kurushiana ngumi na kutoana damu.

kadri siku zinavyoenda msamiati hubadirika kwa iyo usishangae neno KUPIGANIA kuwekwa kwenye kundi la wale wanaoweka juhudi zao kupata kitu flani.
 
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, kwa msemo huu ningependa nipitie hoja chache tu alizotoa huyu mama Faiza Foxy kwa ajili ya kuupoteza umma ulio na Uvivu wa kufikiri manake Werevu sidhani kama wameshawishika na hoja zake zisizo na mashiko!
Kwa kuanza na hoja ya kuwa Nyerere hakupigania Uhuru kwa kigezo hakuna vita iliyopigwa ni hoja ya kitoto hasa kwa mtu mwenye kuelewa lugha ya picha "kupigania uhuru" kwa historia fupi nyerere alianzisha Tanganyika Welfare Association ambayo ilikuja kuungana na TAA ambayo mwisho iligeuzwa kuwa chama cha siasa 1954 kilichoitwa TANU ambacho mwenyekiti wake wa kwanza Alikuwa Nyerere ,Nyerere hakuasisi TAA ila aliasisi Tanganyika Welfare Association na Pia ndie alieasisi TANU,kwa taarifa angalia taarifa kutoka encyclopidia britannica kwa wale wasiopenda vitabu angalieni wikipedia.

Hoja nyingine isiyekuwa na Mashiko ni ya kuamini kuwa mtu anayeitwa daktari ni yule tu aliesomea utabibu Nyerere ni msomi mwenye shahada ya uzamili(masters degree) na pia ametunukiwa shahada kadhaa za uzamivu au udaktari wa heshima(honoris causa) kutoka vyuo mbalimbali kuvitaja vichache tu Claremont University cha Marekani,SUA na OUT vya Tanzania,Makerere cha Uganda na Forte Hare cha Afrika kusini,ni shahada hizi zilizompa udaktari wa heshima,dada yangu funguka akili usishikilie maana moja ya maneno jaribu kufikiria mbali kidogo angalau uendani na akili ya mtu wa umri wako

Hoja nyingine isiyo na mashiko ni kuwa kuna wasomi kama Muhimbili ,sewa Haji na Kibasila walipata PhD kabla ya Nyerere kwa Taarifa tu Sewa Haji Alikuwa ni Mfanyabiashara maarufu aliyefariki mwaka 1897 na hakuwa na masters degree wala doctorate(PhD) kama unavyosema na kama una ushahidi wowote tutajie chuo Alichosema kwa taarifa kuhusu historia ya Sewa Haji soma hii link kwa wanaojua kigermani wanaweza kuelewa de.wikipedia.org/wiki/Sewa_Hadji
na blog ya huyu dada itakusaidia Binti Wa Kiislamu: Sewa Haji (1851-1897) na pia Kibasila
na alikuwa na umaarufu wake ili hakuwa na elimu unayosema, epuka kuleta stori za vijiweni kama hoja zenye mashiko fanya utafiti kidogo tu dada yangu.

Nimeamua kujibu hoja chache ili kuepusha upotoshaji wa huyu dada maana kuna usemi unasema "uongo ukirudiwa ukweli husauliwa" na huyu dada ili kuonyesha maneno yake ni ya vijiweni hajaweka hata maelezo kujenga hoja zake udaktari wa Nyerere tumeweka maana yake na jinsi alivyoipata ,Elimu ya Sewa Haji tumeweka link ,na uasisi wa TANU na upiganiaji uhuru tumeweka kitabu na website ya msaada safari ijayo jaribu kuupanga uongo wako. kutudanganya kitoto ni kutukosea heshima kudhani ni mapunguani tusio weza kuchambua hoja.
 
Japo Kweli Nyerere Alikuwa Mzigo Kwa Taifa Lakini We Humchukii Kwa Ajili Hiyo We Ni Mdini Ulopitiliza Ambaye Tunakudharau Hata Sie Waisilamu Wenzio Kwa Mfano Ni Kitu Gani Kikwete Amewafanyia Waislam Kama Sio Hii Mahakama Ya BAKWATA Iliyofeli Kwa Kuchanwa Chanwa Na Maaskofu.
hapa ni nyerere , kuhusu kikwete fungua uzi mwengine tutakuja huko , huwezi jibu hoja kwa kusema mbona fulani yeye hajafanya....jibu masuali magumu yalo wekwa hapa
 
Sio bure,huyu bibi kuna jambo alitendwa na Mwalimu mpaka kumchukia Kias hicho.Ngoja nijaribu kuyaorodhesha:
1.Nyerere kupiga ban kadhi court
2.Nyerere kupinga udini
3.Nyerere kuchukua all the credit kwa upatikanajI wa uhuru wakati ni mkristu
4.Nyerere kuongoza nchi kipindi kirefu huku ni mkristu
5.Nyerere kumkemea mwinyi hadharani kugeuza ikulu pango la walanguzi.
6.Nyerere kumtosa Jk mwaka 1995 na kumpa shavu Mkapa

Mtu anayemfahamu mleta mada kupitia threads zake mbalimbali atakubaliana na mimi kwamba kwa udini wake,hizo facts hapo Juu ni baadhi ya sababu za chuki za huyu bibi dhidi ya mwalimu.

Ongezea sababu nyingine kama unazo

7.kupiga ban la vijijin wale waliotaka kumpindua ambapo mleta mada ni mfuasi
 
Naona watu karibu wote mmeamua kumshambulia huyu mama.Bila shaka inabidi ajisahihishe maana Nyerere ni Kipenzi cha Watanzania wenye nia safi na Nchi yao.Huyu ni sawa na Nelson Mandela kwa A.Kusini,Indira Ghandhi kwa India,Kwame Nkurumah kwa Ghana na Thomas Sankara kwa Bukina Faso.Huwezi kuwasema hawa ukabaki salama maana Michango na Mapenzi yao kwa Nchi zao imetukuka.Marais wengine wanakuja,wanajaribu na kupita.

Mm mwenyewe namkumbuka mee wangu JKN alivyo nifundisha kukaa foleni hasa foleni ya mkate wa boflo.
Na simsahau alivyo kuwa akiwakamata watu kutoka bara waingiapo dar na kwenda kuwapeleka geza olole na mwanamilapo.
Mji ulikuwa safi sio leo watu wanakuja mjini wanazurura bila kukamatwa mji umejaa mijitu haina kazi.
 
Back
Top Bottom