Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Unajadili na Mlokole unategea Atashirikisha kichwa?
Hapa utakesha Akhui.

Mtu anakwambia Waislamu Walikuwa wanapigania Uhuru wa Kariakoo huyo Anafiki hata kidogo kweli?
Aliyepa jina La Kondoo hakukosea hatta kidogo.

Ebu soma Sura 33:26-27, uone jinsi Mohammed alivyoua Wakristo, Utadhani Paulo kabla ya Kubadilika
 
Acha Matusi pamoja na kwamba najua malezi ya Utotoni yamekuathiri.Nyerere alifika Dar kufundisha Pugu Sekondari.Kwa sababu alikuwa Mtu mwenye Maono na Mapenzi Makubwa kwa watanganyika alianzisha Harakati za Kudai Uhuru wa Tanganyika nzima na sio Kariakoo.Hao Wazee wa Kariakoo hawakuwa na Ubavu wa Kumsogelea Mzungu.Waliogopa kuuawa kwa hiyo wakamtanguliza Nyerere kama chambo.Soma Historia Kijana bila Jazba wala usiendekeze sana Elimu ya Utotoni maana itakupoteza.
Weka ushahidi siyo porojo lini Nyerere alianzisha harakati Tanzania nzima.

Hamna matusi inawezekana umehathirika na seminary unakuwa na wasiwasi.

Msome Nyerere mwenyewe hapa chini.

‘"Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 – miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.-
 
Ebu soma Sura 33:26-27, uone jinsi Mohammed alivyoua Wakristo, Utadhani Paulo kabla ya Kubadilika

Shangazi usinambia mimi nisome.
Weka hapa andiko tusome wote ili wasomi waone busara za upako!

Halafu km Ukristo ni kitu cha Kujivunia leo hii imekuwaje mpaka UMOJA WA MATAIFA unapigia Kelele na Kulilaani KANISA kwa Kuwaficha Viongozi wanao lawiti watoto wadogo?

Ina maana Na Hio UNITED NATION ni Waislamu? Au wao hawajampokea Yesu km Nyie?

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/07/130710_vatican_

http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/375...pope_francis_vatican_304x171_bbc_nocredit.jpg


Umoja wa mataifa umeitaka vatican kutoa maelezo kuhusu kesi elfu moja ambapo viongozi wa dini katika kanisa hilo wamewanyanyasa watoto .
Ombi hilo kutoka kwa kamati ya umoja huo inayosimamia haki za watoto linajiri miezi sita kabla ya wawakilishi wa kanisa katoliki kufikishwa mbele ya umoja wa mataifa kujibu mashtaka ya kashfa ya unyanyasaji wa watoto ambayo yamekumba kanisa hilo katika kipindi cha mwongo mmoja uliopita.
Umoja huo pia unataka habari zaidi kuhusu usadizi uliotolewa kwa waathiriwa pamoja na kisa chochote ambapo wahusika walinyamazishwa.

Sasa Kakende haya mambo ya kulawiti watoto ni moja ya hio amani mnayofundishwa makanisani?
Au ni mimi tu ndio sijaelewa?
Huenda wewe na Farudume mkawa na busara kuliko UMOJA WA MATAIFA.
Hebu tusomesheni hapa.
Kilawiti na kunyanyasa watoto ni ktk shughuli za UPAKO?

Au ndio ktk zile harakati za kuwatoa mapepo?
Nisaidieni wasomi.
 
Last edited by a moderator:
Nilipata kusema humu jf kuwa " kujadiliana na Faizafoxy ni kujitoa ufahamu au kujijingisha au kujipa ujinga' watu wakiwasikiliza hawataona mjinga mwenye afadhali
Anasingiziwa na nani? Kikwete naye siku hizi ni daktari. Je, naye anasingiziwa?



Ushahidi kwamba alishindwa masomo ya sayansi uko wapi? Na kwani wote waitwao madaktari wamesomea masomo ya sayansi? Kikwete naye kasomea masomo ya sayansi?



Sasa kama BOT iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, kwa nini unauliza nani alichukuwa? Nani alichukuwa nini kama hakuna senti moja iliyobakia?



Hata mantiki nyepesi tu zinakushinda! Unasema BOT iliwaka moto mpaka kuteketeza kila kitu halafu kwa wakati huo huo unadokeza kwamba huenda Nyerere aliiba. Nyerere ataibaje vitu vyote vilivyoteketezwa na moto? Aliiba majivu?
 
Bado hujamjua Yesu vizuri.Pamoja na kujitahidi kusoma Biblia na kuufatilia Ukristo,Bado umepungukiwa kitu kimoja nacho ni kupata Ufafanuzi kuhusu Yesu Kristo.Jitahidi upate Maelezo kutoka kwa Mchungaji aliyekaribu kuhusu neno la MUNGU aliye hai nawe utauona Utukufu wa Mungu.Achana na Dini inayokufundisha Visasi,Chuki na Matusi.Yupo Mungu ambaye anauwezo kuliko huyo unayemwabudu na kukutia hasira mpaka kwa Wafu.Bado una nafasi,Achana na hiyo Dini uliyoridhi kutoka kwa Wazazi wako maana wao walipotea.

USOME ulimwengu unavyo lalamikia UKRISTO HAPA.

http://www.dw.de/vatican-yashutumiwa-kuhusika-mauaji-ya-kimbari-rwanda/a-18234246


http://www.telegraph.co.uk/news/wor...ine-found-in-Vatican-City-diplomatic-car.html

http://www.theguardian.com/business/2003/dec/07/italy.theobserver

Halafu bado unaniomba mimi nijiunge na hawa wauwaji na wabakaji?
We kweli Adui.
 
FaizaFoxy yaonekana kama mwl Nyerere angekuwa bado angali hai ungetamani kumuua kwa mikono yako..sijawahi ona thread inayomzungumzia Nyerere either kwa mema au mabaya ukachangia japo kwa hishma kidogo,vipi aliwahi kukuulia mume?maana chuki zako hizo kwa marehemu nawe utakufa siku'sizako dalili zake zinaonekana.
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy yaonekana kama mwl Nyerere angekuwa bado angali hai ungetamani kumuua kwa mikono yako..sijawahi ona thread inayomzungumzia Nyerere either kwa mema au mabaya ukachangia japo kwa hishma kidogo,vipi aliwahi kukuulia mume?maana chuki zako hizo kwa marehemu nawe utakufa siku'sizako dalili zake zinaonekana.

Nyerere alifanya jambo gani Jema.?
Labda Swali hilo waulize Wakatoliki huenda ukapata sifa zake nzuri kutoka kwao lkn kwa wengine Ilikuwa ni Balaa tu huyo mzee.
 
Last edited by a moderator:
Nyerere alifanya jambo gani Jema.?
Alituundia BAKWATA
Labda Swali hilo waulize Wakatoliki huenda ukapata sifa zake nzuri kutoka kwao lkn kwa wengine Ilikuwa ni Balaa tu huyo mzee.
Waislam tunasema Nyerere alitulea kwa amani na upendo. Alikuwa rais mwenye upendo kwa wote. Nyerere ametufanyia mema mengi waislam ukimlinganisha na huyu LAANA TULULAI tuliyenaye
 

muslim-christian-nigeria.jpg
 
Mbona hapo bwana Jesus alikuwa anatoa mfano wenye mafunzo, wewe unasoma Bible kama Hadith za Novel? Yesu hakuuwa hata Sisimizi

Luka 19:12-28
.
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
28 Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.

Anatoa mfano wa kuchinjana?
Na kwanini alihimiza kila mfuasi wake anunue PANGA?
LUKA 22:36
."....naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

HUO Upanga Ulikuwa ni wanini?
Au utasema wa kuchinjia mbuzi katoliki?

Utapeli wenu hauna Uhai tena.
Bibilia tunaijua kuliko mnavyodhani.
 
Alituundia BAKWATA
Waislam tunasema Nyerere alitulea kwa amani na upendo. Alikuwa rais mwenye upendo kwa wote. Nyerere ametufanyia mema mengi waislam ukimlinganisha na huyu LAANA TULULAI tuliyenaye
LMAO kweli naharibu education halafu nanimpa nyumba yeye naiba kwetu,ndiyo Tanzanians sababu napenda vitu ya bure very lazy.
 
Shangazi usinambia mimi nisome.
Weka hapa andiko tusome wote ili wasomi waone busara za upako!

Halafu km Ukristo ni kitu cha Kujivunia leo hii imekuwaje mpaka UMOJA WA MATAIFA unapigia Kelele na Kulilaani KANISA kwa Kuwaficha Viongozi wanao lawiti watoto wadogo?

Ina maana Na Hio UNITED NATION ni Waislamu? Au wao hawajampokea Yesu km Nyie?

UN yaingilia dhulma za kingono Vatican - BBC Swahili

http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/375...pope_francis_vatican_304x171_bbc_nocredit.jpg


Umoja wa mataifa umeitaka vatican kutoa maelezo kuhusu kesi elfu moja ambapo viongozi wa dini katika kanisa hilo wamewanyanyasa watoto .
Ombi hilo kutoka kwa kamati ya umoja huo inayosimamia haki za watoto linajiri miezi sita kabla ya wawakilishi wa kanisa katoliki kufikishwa mbele ya umoja wa mataifa kujibu mashtaka ya kashfa ya unyanyasaji wa watoto ambayo yamekumba kanisa hilo katika kipindi cha mwongo mmoja uliopita.
Umoja huo pia unataka habari zaidi kuhusu usadizi uliotolewa kwa waathiriwa pamoja na kisa chochote ambapo wahusika walinyamazishwa.

Sasa Kakende haya mambo ya kulawiti watoto ni moja ya hio amani mnayofundishwa makanisani?
Au ni mimi tu ndio sijaelewa?
Huenda wewe na Farudume mkawa na busara kuliko UMOJA WA MATAIFA.
Hebu tusomesheni hapa.
Kilawiti na kunyanyasa watoto ni ktk shughuli za UPAKO?

Au ndio ktk zile harakati za kuwatoa mapepo?
Nisaidieni wasomi.

mkapa%20019%20copy.jpg
 
Anatoa mfano wa kuchinjana?
Na kwanini alihimiza kila mfuasi wake anunue PANGA?
LUKA 22:36
."....naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

HUO Upanga Ulikuwa ni wanini?
Au utasema wa kuchinjia mbuzi katoliki?

Utapeli wenu hauna Uhai tena.
Bibilia tunaijua kuliko mnavyodhani.

87b40a685bL.jpg
 
Alituundia BAKWATA
Waislam tunasema Nyerere alitulea kwa amani na upendo. Alikuwa rais mwenye upendo kwa wote. Nyerere ametufanyia mema mengi waislam ukimlinganisha na huyu LAANA TULULAI tuliyenaye

Mkuu hakuna Muislamu ana jina ka mitishamba.
We umeshalewa Damu ya bwana tafuta mahala penye usalama ukalale kabla hujakutwa na Wale wanaokwenda kwenye Misa za usiku wakakutoa pepo Bure!
Shauri yako mkuu!

Hio mtimbwilimbwi yako utaikuta inateleza ovyo asubuhi.
 
Last edited by a moderator:
Unajadili na Mlokole unategea Atashirikisha kichwa?
Hapa utakesha Akhui.

Mtu anakwambia Waislamu Walikuwa wanapigania Uhuru wa Kariakoo huyo Anafiki hata kidogo kweli?
Aliyepa jina La Kondoo hakukosea hatta kidogo.

1.jpg
 
Back
Top Bottom