Nyerere alimkosea nini Mungu?

Nyerere alimkosea nini Mungu?

Mandela kiukweli kabisa hata yeye aliko anajua kwamba Nyerere was best of the best na yeye hapaswi kujilinganisha naye, umaarufu wa Mandela umekolezwa na mabepari tu baada ya kuwalegezea na kukubaliana na matakwa yao!

Mandela ataendelea kuthamini mchango wa Nyerere kwa South Africa hadi mwisho wa dunia kama kweli upo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliandika wapi mandela kua aliamini kua nyerere was the best,?na kama mwisho wa dunia haupo ni nini kinacho kufanya uutaje mwisho wake ilihali huna huakika nao,bimaana ulio andika inawezekana kua huna huakika nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mandela hajawahi wala hawezi kumkaribia Nyerere ni promo za wazungu hivi ulishawahi kusikia ni rais gani mstaafu ambaye anafikiliwa kutangazwa mwenye heri hayo mengine ni mambo ya kufukirika

mandela anapewa promo tu yaani kama kwenye mpira tunasema anabebwa nimejaribu kumsoma mzee mandela lakini bado sijaona maajabu aliyofanya zaidi ya quotes zake tamu
 
Huwezi linganisha kocha na mchezaji, inabidi kocha kwa kocha au mchezaji kwa mchezaji, mchezaji, wakati Mandela yuko jela huku Nyerere ni rais, halafu Nyerere kapambana kama nchi na sio kama individual wakati Mandela kapambana kama individual. Nyerere had nothing to loose yeye kama Nyerere maana resources zote zilizotumika ni za nchi, kwa hiyo credit ibabebwa zaidi na nchi tofauti na Mandela.


Sent using Jamii Forums mobile app
You're a great thinker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natofautiana na wewe, nchi haiwezi kubeba credit kwa sababu bila msukumo wa Baba wa Taifa nchi isingefanya lolote.

Inabidi kuwe na kiongozi wa kuhamasisha raia wa nchi yake ili kushiriki katika msukumo/kampeni ya kufanikisha jambo fulani vinginevyo bila huo uhamasishaji kampeni hiyo isingefanikiwa kwa kukosa msukumo.
Unaposikia Marekani ni taifa kubwa unadhani ni nani aliifanya Marekani kuwa taifa kubwa?
Ni wamarekani wenyewe Kwa jasho lao na si marais.
Ni Tanzania iliipigania South Africa na si Nyerere, unaposema ni Nyerere unakuwa una maanisha mtu binafsi na si cheo chake cha Urais.
Na anapokuwa Rais, lolote afanyalo hafanyi yeye bali taifa linafanya.
"America attacked Iraq, not Bush ".



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasoma comments zote....ila najua...avumaye baharin papa...ila na wengine wapo more deadly kuliko papa.

Nyerere ni mtu mashuhuri sana. Alfanya mengi sana. Ila kwa hakika wapo hapa hapa nchini waliofanya mengi kuliko nyerere. Isipokuwa tu nyerere ndiye aliyepewa kipaza sauti. Pia kwa mandela. Watu wengi sana wamestruggle, wamefungwa na hata kuuwwa kwa sababu ya uhuru wa SA....lakin kwenye historia wanaandikwa kwenye footnotes...why..because...kama taifa huwa lazama atengenezwe "nabii" flan hiv ambaye ndo anakuwa kinara wa taifa.


Swala la kuwapo mambo ya kimila kwenye utawala wa mwl si jambo la siri sana kama ambavyo inaweza kudhaniwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnachekesha kweli? Hakuna la maana alilofanya Mandela Africa?
Kukaa jela miaka 27 unaona ni jambo la kawaida?
Mandela alipoteza mke, watoto na ndugu akiwa jela, aligoma ofa zote za makaburu akachagua kufia jela ili South Africa iwe huru, halafu leo useme hajafanya kitu?
Wewe ukifungwa miezi 6 utaomba pooo... Halafu leo umdharau Mandela?
Unachekesha kweli


Sent using Jamii Forums mobile app
wait a minute..
Mandela huyu huyu tunaemjua? Mandela huyu mwanzilishi wa ANC na mfuasi wa itikadi za Mwl. Nyerere? Are you talking the same Mandela aliyekimbilia Tanzania na kupewa hifadhi na mwl. Nyerere na kusaidiwa fedha, chakula na malazi? na unamzungumzia Nyerere aliyekuwa anaamua nani awe Rais kwa ukanda wote wa kusini mwa jangwa la sahara...kama leo Marekani inavyofanya! Really? btw, umeshasoma report za Henry Kissinger kumhusu Mwl.Nyerere in 1976? Mandela did great things, ila kumlinganisha na mwl. JKN is another contempt...
I respect your analysis, Ila nashauri ukasome kwa undani wasifu wa hao jamaa...
 
Nyie mnachekesha kweli? Hakuna la maana alilofanya Mandela Africa?
Kukaa jela miaka 27 unaona ni jambo la kawaida?
Mandela alipoteza mke, watoto na ndugu akiwa jela, aligoma ofa zote za makaburu akachagua kufia jela ili South Africa iwe huru, halafu leo useme hajafanya kitu?
Wewe ukifungwa miezi 6 utaomba pooo... Halafu leo umdharau Mandela?
Unachekesha kweli
Mkuu Swali ni aliifanyia nini Africa cha kumkumbuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere si alisaidiwa na Jeshi la Mzungu asipinduliwe mwaka 1964?

Mzungu aliamua tu kutupa uhuru kwa hiyari alikuwa anasubiri tu watu wenye akili wakauombe awape
 
wait a minute..
Mandela huyu huyu tunaemjua? Mandela huyu mwanzilishi wa ANC na mfuasi wa itikadi za Mwl. Nyerere? Are you talking the same Mandela aliyekimbilia Tanzania na kupewa hifadhi na mwl. Nyerere na kusaidiwa fedha, chakula na malazi? na unamzungumzia Nyerere aliyekuwa anaamua nani awe Rais kwa ukanda wote wa kusini mwa jangwa la sahara...kama leo Marekani inavyofanya! Really? btw, umeshasoma report za Henry Kissinger kumhusu Mwl.Nyerere in 1976? Mandela did great things, ila kumlinganisha na mwl. JKN is another contempt...
I respect your analysis, Ila nashauri ukasome kwa undani wasifu wa hao jamaa...
Mkuu nimempa Nyerere hadhi yake inayompasa, lakini Mandela pia ni mtu wa aina yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom