Riadha jr
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 567
- 334
Aliandika wapi mandela kua aliamini kua nyerere was the best,?na kama mwisho wa dunia haupo ni nini kinacho kufanya uutaje mwisho wake ilihali huna huakika nao,bimaana ulio andika inawezekana kua huna huakika nayoMandela kiukweli kabisa hata yeye aliko anajua kwamba Nyerere was best of the best na yeye hapaswi kujilinganisha naye, umaarufu wa Mandela umekolezwa na mabepari tu baada ya kuwalegezea na kukubaliana na matakwa yao!
Mandela ataendelea kuthamini mchango wa Nyerere kwa South Africa hadi mwisho wa dunia kama kweli upo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app