Nyerere alimkosea nini Mungu?

Nyerere alimkosea nini Mungu?

Nyerere kaondoka Duniani akiwa kaacha heshima kubwa mno kimataifa.
Wanasiasa wa Tanzania wamekuwa hawaachi kumtaja huyu Mzee kila mara kwenye kampeni au hotuba zao.
Alimshauri rafiki yake mkubwa hayati Nicolai Cesesscue enzi za uhai wake akiwa Rais wa Romania aachie ngazi ili kulinda heshima yake ,Nicolai hakusikia matokeo akaja kuuawa kikatili yeye na mkewe.
Alimshauri Kaunda wa Zambia naye hakusikia, "mzee mwenzangu waachie Vijana ulinde heshima yako ".
Kaunda akapuuza ushauri wa Nyerere matokeo yake akaja kuondoka Kwa aibu ya kushindwa uchaguzi, badala ya kustaafu, yaani Rais wa kwanza wa nchi unagombea tena, what a shame?
Heshima ya Nyerere Kwa Africa inazidiwa na Mandela tu, ukimtoa Mandela hakuna Rais tena wa kufananishwa na Nyerere ktk bara la Africa.
Kwanza alikuwa akiaanza kuongea unatamani uendelee kumsikiliza tu muda wote hata Kama ulikuwa na stress Ukisikiliza hotuba za Nyerere stress zinapungua.
Ukombozi wa mataifa ya kusini mwa Africa huwezi kuujadili bila kumjadili Nyerere ambaye ndo alikuwa key point ya Ukombozi Huo.
Ni katika Kipindi cha Urais wake Tanzania iliheshimiwa na hata kuogopwa na mataifa makubwa Duniani.
Pamoja na matatizo ya hapa na pale, lakini enzi zake uchumi wa Tanzania ulikuwa juu, pesa ilikuwa na thamani kubwa, noti ya mwisho Kwa thamani kubwa ilikuwa noti ya sh 100.
Elimu ilikuwa juu, siyo kama leo hii ambapo hata kiswahili tu kinawapa shida hata wahitimu wa vyuo vikuu, neno "hela " wanatamka "ela" neno "halafu "wanatamka "alafu " eti hao ni university graduates, kwenye English ndo unaweza hata kulia Kwa namna wanavyoboronga.
Enzi zake hata intelligence ya nchi ilitisha, TISS ya Nyerere haikuwa tofauti na CIA hutaki kuamini acha.
Wakati wa vita vya Kagera TISS ilimzunguka Idd Amin Spain, alikuwa ameagiza makombora ya kisasa yenye nguvu lakini akajikuta anayakosa na yakaangukia mikononi mwa Tanzania.
Hatukuwa na silaha Kali Kama za Idd Amin, lakini tulikuwa na intelligence imara mno, hii ndo ilifanya tushinde vita bila msaada wa nchi yoyote, Idd Amin pamoja na kusaidiwa na Gaddafi bado tuliweza kumtwanga hadi akaikimbia Uganda.
Inahitaji Kitabu kuandika mambo mazito aliyofanya Nyerere.
Lakini alimkosea nini Mungu huyu mzee?
Mwandishi Munga Tehenani (RIP) aliandika Kitabu kiitwacho "Nyerere alikuwa mchawi ".
Kitabu hiki hakikukaa mitaani hata siku tatu kikawa kimepotea kimaajabu, ilikuwa ni kati ya mwaka 2001 au 2003.
Inadaiwa aliingia maagano na kuzimu na fimbo yake ndo ilikuwa muongozo wa mambo yake yote.
Maagano yoyote ya nguvu za giza humkasirisha Mungu na kukilaani kizazi cha mtu aliyeingia maagano hayo.
Mungu hulaani kuanzia watoto na hata vitukuu na vilembwe na hata kizazi cha nne.
Familia ya Rais Kennedy wa US aliyepigwa risasi mwaka 1963 imepukutika yote Kwa vifo vya ajali na kuuawa, hakuna alama yoyote ya Kennedy Marekani, yamebakia majina tu.
Nikiitazama Kwa jicho la tatu familia ya Nyerere haiko sawa, imefunikwa na giza nene, haing'ai, haionekani, it looks like Nyerere left no children to walk his ways,haya ni mambo ya Ulimwengu wa roho.
Hata ukuu wa wilaya tu imekuwa ishu? wanapata watu ambao wanaonea wivu wenzao wanaoinuliwa na Mungu, yaani mtu anataka ampangie hadi Mungu kwamba fulani anapaswa kuwa maarufu na mwingine hatakiwi.
Matendo yetu yawe mema au mabaya yana reflect maisha yetu ya baadaye.
Tuwe makini sana na tujae hofu ya Mungu .
cc:mshana jr

Makala ijayo😀ini ni Ugonjwa wa akili




Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea sana kumpa "sellout" Mandela (aliyetumika kisiasa na makaburu)heshima ya juu kuliko Nyerere,next time fanya utafiti zaidi kabla ya kuja na stori za vijiweni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Muhunda bado unaishi ndani ya kile kibabu pale Butiama??

Nchi hii ina malango mengi sana ya Kuzimu, na Mzee ndiye aliyaruhusu kuwepo sababu ya kuamini sana katika ushirikina.
Kuna taarifa kuwa huwenda walimchomoamo mapema tu kabla hata hajafa.

Mengine ni siri ya Taifa.
Hivi kuna Raisi aliyejitenga na ushirikina? Mwenyeheri Mshirikina? Inawezekanaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kumaliza kusoma hili ulilolileta,.umenikumbusha Munga Tehnani(rip)sijui alikuwa na upeo wa namna gani kwenye uandishi wa makala..hakika ulikuwa ukisoma gazeti jitambue au mshauri wako hukosi kitu kipya,.nadhani hata kwenye "nyerere alikuwa mchawi"😅palikuwa na jambo zito...hahah wapumzike kwa amani tuu..
 
Nikikuita mjinga nitakupa hadhi, wewe ni mpumbavu hasa, Mandela aliwapa wazungu sh ngapi ili wampaishe?
Na wazungu walipata faida gani kumpaisha Mandela?
Pathetic zero brain!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu gani muhimu Mandela amefanya cha muhimu kwamba ni Rais Bora kuliko wote Africa. Tuache uwongo huwezi kumsahau wakina Patrice Lumumba, Nkwame Nkurumah, Nyerere , Haile selasie . Mandela alikuwa kibaraka wa Wazungu tuu. Media zilimpaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere kaondoka Duniani akiwa kaacha heshima kubwa mno kimataifa.
Wanasiasa wa Tanzania wamekuwa hawaachi kumtaja huyu Mzee kila mara kwenye kampeni au hotuba zao.
Alimshauri rafiki yake mkubwa hayati Nicolai Cesesscue enzi za uhai wake akiwa Rais wa Romania aachie ngazi ili kulinda heshima yake ,Nicolai hakusikia matokeo akaja kuuawa kikatili yeye na mkewe.
Alimshauri Kaunda wa Zambia naye hakusikia, "mzee mwenzangu waachie Vijana ulinde heshima yako ".
Kaunda akapuuza ushauri wa Nyerere matokeo yake akaja kuondoka Kwa aibu ya kushindwa uchaguzi, badala ya kustaafu, yaani Rais wa kwanza wa nchi unagombea tena, what a shame?
Heshima ya Nyerere Kwa Africa inazidiwa na Mandela tu, ukimtoa Mandela hakuna Rais tena wa kufananishwa na Nyerere ktk bara la Africa.
Kwanza alikuwa akiaanza kuongea unatamani uendelee kumsikiliza tu muda wote hata Kama ulikuwa na stress Ukisikiliza hotuba za Nyerere stress zinapungua.
Ukombozi wa mataifa ya kusini mwa Africa huwezi kuujadili bila kumjadili Nyerere ambaye ndo alikuwa key point ya Ukombozi Huo.
Ni katika Kipindi cha Urais wake Tanzania iliheshimiwa na hata kuogopwa na mataifa makubwa Duniani.
Pamoja na matatizo ya hapa na pale, lakini enzi zake uchumi wa Tanzania ulikuwa juu, pesa ilikuwa na thamani kubwa, noti ya mwisho Kwa thamani kubwa ilikuwa noti ya sh 100.
Elimu ilikuwa juu, siyo kama leo hii ambapo hata kiswahili tu kinawapa shida hata wahitimu wa vyuo vikuu, neno "hela " wanatamka "ela" neno "halafu "wanatamka "alafu " eti hao ni university graduates, kwenye English ndo unaweza hata kulia Kwa namna wanavyoboronga.
Enzi zake hata intelligence ya nchi ilitisha, TISS ya Nyerere haikuwa tofauti na CIA hutaki kuamini acha.
Wakati wa vita vya Kagera TISS ilimzunguka Idd Amin Spain, alikuwa ameagiza makombora ya kisasa yenye nguvu lakini akajikuta anayakosa na yakaangukia mikononi mwa Tanzania.
Hatukuwa na silaha Kali Kama za Idd Amin, lakini tulikuwa na intelligence imara mno, hii ndo ilifanya tushinde vita bila msaada wa nchi yoyote, Idd Amin pamoja na kusaidiwa na Gaddafi bado tuliweza kumtwanga hadi akaikimbia Uganda.
Inahitaji Kitabu kuandika mambo mazito aliyofanya Nyerere.
Lakini alimkosea nini Mungu huyu mzee?
Mwandishi Munga Tehenani (RIP) aliandika Kitabu kiitwacho "Nyerere alikuwa mchawi ".
Kitabu hiki hakikukaa mitaani hata siku tatu kikawa kimepotea kimaajabu, ilikuwa ni kati ya mwaka 2001 au 2003.
Inadaiwa aliingia maagano na kuzimu na fimbo yake ndo ilikuwa muongozo wa mambo yake yote.
Maagano yoyote ya nguvu za giza humkasirisha Mungu na kukilaani kizazi cha mtu aliyeingia maagano hayo.
Mungu hulaani kuanzia watoto na hata vitukuu na vilembwe na hata kizazi cha nne.
Familia ya Rais Kennedy wa US aliyepigwa risasi mwaka 1963 imepukutika yote Kwa vifo vya ajali na kuuawa, hakuna alama yoyote ya Kennedy Marekani, yamebakia majina tu.
Nikiitazama Kwa jicho la tatu familia ya Nyerere haiko sawa, imefunikwa na giza nene, haing'ai, haionekani, it looks like Nyerere left no children to walk his ways,haya ni mambo ya Ulimwengu wa roho.
Hata ukuu wa wilaya tu imekuwa ishu? wanapata watu ambao wanaonea wivu wenzao wanaoinuliwa na Mungu, yaani mtu anataka ampangie hadi Mungu kwamba fulani anapaswa kuwa maarufu na mwingine hatakiwi.
Matendo yetu yawe mema au mabaya yana reflect maisha yetu ya baadaye.
Tuwe makini sana na tujae hofu ya Mungu .
cc:mshana jr

Makala ijayo😀ini ni Ugonjwa wa akili




Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere mdogo Sana kwa hawa majembe,nkwame nkurumah,jomo Kenyatta,nandi azikiwe,na Patrick lumumba

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Nyerere mdogo Sana kwa hawa majembe,nkwame nkurumah,jomo Kenyatta,nandi azikiwe,na Patrick lumumba

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
Si kweli mkuu, Kenyatta na hao kina Nkrumah hawamfikii Nyerere ,Lumumba ana CV ya kuuawa kikatili ndo ulimnganishe na Nyerere?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mleta mada tutake radhi hata siku moja mandela hawezi kuwa juu ya nyerere tofauti na kufungwa miaka 27 jela hakuna cha maana alichoifanya africa huyo mandela wako
 
Wewe mleta mada tutake radhi hata siku moja mandela hawezi kuwa juu ya nyerere tofauti na kufungwa miaka 27 jela hakuna cha maana alichoifanya africa huyo mandela wako
Nyie mnachekesha kweli? Hakuna la maana alilofanya Mandela Africa?
Kukaa jela miaka 27 unaona ni jambo la kawaida?
Mandela alipoteza mke, watoto na ndugu akiwa jela, aligoma ofa zote za makaburu akachagua kufia jela ili South Africa iwe huru, halafu leo useme hajafanya kitu?
Wewe ukifungwa miezi 6 utaomba pooo... Halafu leo umdharau Mandela?
Unachekesha kweli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli mkuu, Kenyatta na hao kina Nkrumah hawamfikii Nyerere ,Lumumba ana CV ya kuuawa kikatili ndo ulimnganishe na Nyerere?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unamjua lumumba?nyerere alikuwa kibaraka wa waingereza .

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Nikikuita mjinga nitakupa hadhi, wewe ni mpumbavu hasa, Mandela aliwapa wazungu sh ngapi ili wampaishe?
Na wazungu walipata faida gani kumpaisha Mandela?
Pathetic zero brain!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mandela is greatly overrated ..thats the true FACT

Mandela alipaishwa baada ya kuwasamehe wazungu baada ya yeye kuwa Rais lakini ukiangalia hadi leo bado black south Africans wengi bado hawana uchumi mzuri...

Kwanza Mandela utamfananisha hata na Kwame Nkurumah..whats so special bout Mandela na ana contribution gani katika Afrika hadi aitwe prince of Africa ... He is over hyped by western countries PERIOD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnachekesha kweli? Hakuna la maana alilofanya Mandela Africa?
Kukaa jela miaka 27 unaona ni jambo la kawaida?
Mandela alipoteza mke, watoto na ndugu akiwa jela, aligoma ofa zote za makaburu akachagua kufia jela ili South Africa iwe huru, halafu leo useme hajafanya kitu?
Wewe ukifungwa miezi 6 utaomba pooo... Halafu leo umdharau Mandela?
Unachekesha kweli


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nayo ni contribution gani katika bara la Africa ???....

Mandela ana hata philosophy yoyote ambayo anawezwa kukumbukwa nayo au kuonekana prince of peace ndio mchango wake...

Achana na media hype.. Mandela hakai seat moja na Nyerere wala Kwame Nkurumah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom