Nyerere alimkosea nini Mungu?

Nyerere alimkosea nini Mungu?

Pole sana, kwa hiyo hapo ndo unajiona unaakili sana! Kwamba kwa vile Mandela alikaa gerezani ndo anamchango mkubwa kwa bara la Afrika kuliko Nyerere?

Dalili ya mtu asiye na akili ni kama hizi unazozionyesha hapa! Badala ya kutoa ushahidi umekazana kutoa matusi huku ukisahau wanaokusona wanaendelea kuthibitisha ubwege ulionao

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwege ni wewe usiyejua tofauti ya sifa na matusi, maneno Kama, mpumbavu na mjinga siyo matusi ni sifa, wewe unaijua jela? Nyie mnaoishi Kwa Shemeji zenu na kulala sebuleni ni taabu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada napenda nyuzi zako sana. Ila ushauri wangu usiwe mkali na kutukana watu unaona wapo against you.
Kuwa kama The Bold, yeye akisemwa mbovu mara nyingi hujibu kwa hekima tu, au hakujibu kabisa, anapita zake kujibu wengine
Ila mkuu kuna wengine huanzisha matusi ndo unakuta mtu naye uvumilivu wake sifuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujielewi wewe, watu hawajasema Mandela hajafanya lolote, watu wanakupinga unaposema Mandela anamchango mkubwa KULIKO Nyerere kwa bara la Afrika . Hapo ndo unapotakiwa kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie wakuu kuweni waelewa basi Nyerere alisikika Duniani akipiga kelele ya Mandela kuachiwa iweje mpiga kelele aonekane shujaa kuliko yule aliyeko uwanja wa vita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwege ni wewe usiyejua tofauti ya sifa na matusi, maneno Kama, mpumbavu na mjinga siyo matusi ni sifa, wewe unaijua jela? Nyie mnaoishi Kwa Shemeji zenu na kulala sebuleni ni taabu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kwa kukaa jela, inabidi ujitahidi usirudie makosa yaliyokupeleaka huko

Naamini huyo shemeji yako aliyekupa hifadhi anakutunza vema wewe na dada yako usahau machungu ya jela

Pole sana Chief!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa kukaa jela, inabidi ujitahidi usirudie makosa yaliyokupeleaka huko

Naamini huyo shemeji yako aliyekupa hifadhi anakutunza vema wewe na dada yako usahau machungu ya jela

Pole sana Chief!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona sasa shoga taipu wewe, mtoa mada alijichanganya sana kujibizana na shoga Kama wewe ni bora angekukalia kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... Mleta mada kabla sijaanza kuchangia mada hii naomba uombe RADHI kwa Watanzania na waafrika kwa ujumla kwa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Nelson Mandela.
... Unafananisha mtu ambae alijitoa kwa ajili ya Waafrika na mtu ambae alikuwa kibaraka wa wazungu, unafananisha watu wawili kabisa, mtu aliyechukia ubaguzi na mtu aliyeacha nchi yake ikiwa na mizizi mikubwa ya ubaguzi.
... ANGALIZO: Ukiona Mzungu anakusifia sana wmafrika ujue una maslahi nae, Mandela alikuwa na Maslahi na Wazungu.

Hayati Julius Nyerere ni moja kati ya viongozi bora kuwahi kutokea katika Taifa hili na Afrika kwa Ujumla, achana na hawa wendawazimu wanaowahadaa watanzania mara sijui kutengua mikataba ya madini, kupambana na ufisadi, maisha bora, mara sijui viwanda n.k HAWA WOTE NI WEZI NA NI WANAFKI WAKUBWA, HAKUNA ALIYEMSAFI HATA MMOJA KATI yao kwa misingi ya Haki, Umoja, Upendo, Mshikamano, Uaminifu, Uwazi na Ukweli.

Ulimwengu umegawanyika katika sehemu Kuu mbili, Wa kiroho na Kimwili, Nyerere alijenga hii nchi katika weledi mkubwa uliotukuka kwa nchi kutokuwa na matabaka, ukanda, ukabila, dini, ubaguzi, ufisadi, unafki n.k na kitu ambacho Nyerere alifeli mpaka anaachia hii nchi ni katika mambo makuu mawili
1. KATIBA - Hayati alitambua kabisa kuwa Taifa lina katiba mbovu mbovu mbovu kupindukia ila akaona ni bora atuachie hiyohiyo wananchi na kwa kiongozi anayemfuata, kama yeye aliona aliweza kuiendesha katiba vyema, kwanini aamini wote watakaofuata nao watafuata nyayo kama zake? Aliwahi kutamka pia kwa katiba hii endapo akatokea mtu sio mwaminifu basi ataitumia vibaya, kama alilijua hili mapema, iweje asingeibadilisha kama alivyopoka uhai wa Tanganyika kwa amri na kuifanya kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Leo hii tuna Marais wa ajabu na wanaendesha nchi kiajabu kutokana na kuwa na Katiba MBOVU KABISA.

2. MISINGI IMARA YA UONGOZI NDANI YA CCM: Miaka ya nyuma kabla ya kuondoka duaniani aliwahi kuwakataa waatu hawa wawili waziwazi, JAKAYA MRISHO KIKWETE NA EDWARD NGOYAI LOWASA kwa kashfa ya WIZI {UFISADI}, Mwalimu alishindwa nini kuwaondoa hawa vijana ndani ya Chama? Leo hii haw watu wameingiza nchi ktk madeni na Umaskini wa kutisha huku Familia zao zikiend ulaya zitakavyo na kujimilikisha mali za kutisha na kuishi maisha ya anasa. Wanatujengea hospital wakati wao na familia zao hawatibiwa ndani ya hizo hospital, wanajenga shule wakati watoto wao wanasoma ulaya n.k HOVYO KABISA VIONGOZI WA CCM.

... Tukirudi katika upande wa kiroho, Mwalimu Nyerere katuingiza katika maagano ambayo kila mtawala wa Tanzania anapaswa kuenenda nayo na wanapswa kuenenda nayo sababu hawaingii kwenye kiti cha Urais kwa njia ya Mungu ila kwa ushirikina. Kitu chochote kwa kwanza ni kama lango ndani ya eneo husika au familia husika, iwe familia, nchi n.k kwa mujibu wa Imani ya Kikristo.

... Lango kazi yake ni kupitisha mambo flani, iwe ni mazuri au mabaya, je Mwalimu hayati alipitisha nini yeye kama Lango la Tanzania katika Ulimwengu huu wa Kiroho? Frankly Speaking hii nchi kiroho malango yake yanapitisha uharibifu mkubwa kuliko mema, kwa kuwa ni mambo ya kiroho ninaona nisizungumze mengi sababu ya wengi kutoamini mambo ya rohoni.

Eeeh Tanzania! Ewe Tanzania, kwanini wajivika shuka la amani ionekanyo kwa namna ya macho ila ndani mwako umebeba UHARIBIFU? HAUNA AMANI TANZANIA UNAYOJIVUNIA, Ulikotoka Muasisi hajataka kuacha maandishi, Uendako Tanzania wenye machoni ya rohoni wanatazama ni kubaya mno, tena sana na kwatisha haswa.
 
Naisumbiri hiyo makala "dini ni ugonjwa wa akili " Ni kweli kabisa , Mungu alimtoa mwanae kafara - "ndio mzee " Mungu katika nafsi tatu - "ndio mzee " ukipigwa shavu la kushoto eti mgeuzie na shavu la kulia - "ndio mzee" Soma mengine kwa Karl Marx

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana, kwa hiyo hapo ndo unajiona unaakili sana! Kwamba kwa vile Mandela alikaa gerezani ndo anamchango mkubwa kwa bara la Afrika kuliko Nyerere?

Dalili ya mtu asiye na akili ni kama hizi unazozionyesha hapa! Badala ya kutoa ushahidi umekazana kutoa matusi huku ukisahau wanaokusona wanaendelea kuthibitisha ubwege ulionao

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja ajaribu yeye kwenda gerezani kwanza ili akitoka awe kama Mandela
 
Baba wa Taifa hakufanya chochote zaidi ya kuwaua masheikh Zanzibar,
Huyu ndo chanzo cha ugomvi wa Muungano.
Tuwape nchi yao wazanzibari.
 
Pole sana kwa kukaa jela, inabidi ujitahidi usirudie makosa yaliyokupeleaka huko

Naamini huyo shemeji yako aliyekupa hifadhi anakutunza vema wewe na dada yako usahau machungu ya jela

Pole sana Chief!

Sent using Jamii Forums mobile app
It's not worth...put it aside.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mandela is greatly overrated ..thats the true FACT

Mandela alipaishwa baada ya kuwasamehe wazungu baada ya yeye kuwa Rais lakini ukiangalia hadi leo bado black south Africans wengi bado hawana uchumi mzuri...

Kwanza Mandela utamfananisha hata na Kwame Nkurumah..whats so special bout Mandela na ana contribution gani katika Afrika hadi aitwe prince of Africa ... He is over hyped by western countries PERIOD

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuongezea tu mm nimeishi kaburu weusi kule Mandela hawamkubali walio wengi amino hicho kitu tendo la kuwaachia wazungu pspo kulipa kisasi uwa linawauma Sana uwa wanasema alikuwa kibaraka wao tu
 
... Mleta mada kabla sijaanza kuchangia mada hii naomba uombe RADHI kwa Watanzania na waafrika kwa ujumla kwa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Nelson Mandela.
... Unafananisha mtu ambae alijitoa kwa ajili ya Waafrika na mtu ambae alikuwa kibaraka wa wazungu, unafananisha watu wawili kabisa, mtu aliyechukia ubaguzi na mtu aliyeacha nchi yake ikiwa na mizizi mikubwa ya ubaguzi.
... ANGALIZO: Ukiona Mzungu anakusifia sana wmafrika ujue una maslahi nae, Mandela alikuwa na Maslahi na Wazungu.

Hayati Julius Nyerere ni moja kati ya viongozi bora kuwahi kutokea katika Taifa hili na Afrika kwa Ujumla, achana na hawa wendawazimu wanaowahadaa watanzania mara sijui kutengua mikataba ya madini, kupambana na ufisadi, maisha bora, mara sijui viwanda n.k HAWA WOTE NI WEZI NA NI WANAFKI WAKUBWA, HAKUNA ALIYEMSAFI HATA MMOJA KATI yao kwa misingi ya Haki, Umoja, Upendo, Mshikamano, Uaminifu, Uwazi na Ukweli.

Ulimwengu umegawanyika katika sehemu Kuu mbili, Wa kiroho na Kimwili, Nyerere alijenga hii nchi katika weledi mkubwa uliotukuka kwa nchi kutokuwa na matabaka, ukanda, ukabila, dini, ubaguzi, ufisadi, unafki n.k na kitu ambacho Nyerere alifeli mpaka anaachia hii nchi ni katika mambo makuu mawili
1. KATIBA - Hayati alitambua kabisa kuwa Taifa lina katiba mbovu mbovu mbovu kupindukia ila akaona ni bora atuachie hiyohiyo wananchi na kwa kiongozi anayemfuata, kama yeye aliona aliweza kuiendesha katiba vyema, kwanini aamini wote watakaofuata nao watafuata nyayo kama zake? Aliwahi kutamka pia kwa katiba hii endapo akatokea mtu sio mwaminifu basi ataitumia vibaya, kama alilijua hili mapema, iweje asingeibadilisha kama alivyopoka uhai wa Tanganyika kwa amri na kuifanya kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Leo hii tuna Marais wa ajabu na wanaendesha nchi kiajabu kutokana na kuwa na Katiba MBOVU KABISA.

2. MISINGI IMARA YA UONGOZI NDANI YA CCM: Miaka ya nyuma kabla ya kuondoka duaniani aliwahi kuwakataa waatu hawa wawili waziwazi, JAKAYA MRISHO KIKWETE NA EDWARD NGOYAI LOWASA kwa kashfa ya WIZI {UFISADI}, Mwalimu alishindwa nini kuwaondoa hawa vijana ndani ya Chama? Leo hii haw watu wameingiza nchi ktk madeni na Umaskini wa kutisha huku Familia zao zikiend ulaya zitakavyo na kujimilikisha mali za kutisha na kuishi maisha ya anasa. Wanatujengea hospital wakati wao na familia zao hawatibiwa ndani ya hizo hospital, wanajenga shule wakati watoto wao wanasoma ulaya n.k HOVYO KABISA VIONGOZI WA CCM.

... Tukirudi katika upande wa kiroho, Mwalimu Nyerere katuingiza katika maagano ambayo kila mtawala wa Tanzania anapaswa kuenenda nayo na wanapswa kuenenda nayo sababu hawaingii kwenye kiti cha Urais kwa njia ya Mungu ila kwa ushirikina. Kitu chochote kwa kwanza ni kama lango ndani ya eneo husika au familia husika, iwe familia, nchi n.k kwa mujibu wa Imani ya Kikristo.

... Lango kazi yake ni kupitisha mambo flani, iwe ni mazuri au mabaya, je Mwalimu hayati alipitisha nini yeye kama Lango la Tanzania katika Ulimwengu huu wa Kiroho? Frankly Speaking hii nchi kiroho malango yake yanapitisha uharibifu mkubwa kuliko mema, kwa kuwa ni mambo ya kiroho ninaona nisizungumze mengi sababu ya wengi kutoamini mambo ya rohoni.

Eeeh Tanzania! Ewe Tanzania, kwanini wajivika shuka la amani ionekanyo kwa namna ya macho ila ndani mwako umebeba UHARIBIFU? HAUNA AMANI TANZANIA UNAYOJIVUNIA, Ulikotoka Muasisi hajataka kuacha maandishi, Uendako Tanzania wenye machoni ya rohoni wanatazama ni kubaya mno, tena sana na kwatisha haswa.
Awaombe msamaha mambumbumbu kama nyie ? Swine kufeni na umburula wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuongezea tu mm nimeishi kaburu weusi kule Mandela hawamkubali walio wengi amino hicho kitu tendo la kuwaachia wazungu pspo kulipa kisasi uwa linawauma Sana uwa wanasema alikuwa kibaraka wao tu
Kibaraka anateseka gerezani miaka 27,mpumbavu hupenda visasi kama lilivyo jiwe, angelipa kisasi South Africa ingekalika ?
Lingekuwa taifa la visasi kwa kwenda mbele.
By the way ungewauliza hao wazulu Kwanini wanaua weusi wenzao badala ya wazungu kama kweli wana machungu ?
Nimesoma maoni ya watu kwenye hii mada ndo nimejua kuwa kweli Wabongo kichwani hamna kitu kabisa, mtoa mada yupo vizuri mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliona wapi mbulula kama wewe akaandika chochote cha maana. Ushaharisha pumba zako hapa badala ya kutetea hizo pumba umebakia kubwabwaja matusi tu.
Wewe na mtoa mada ni sawa na kichuguu na mlima kilimanjaro, mtoa mada ana topic nyingi mno nzuri zenye mantiki, wewe una topic gani zaidi ya ujuha kichwani mwako ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom