Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Si kweli.

Jina la Nyerere linalipa Tanzania, hata Diamond katumia picha yake.

Nyerere ni Rais wetu wa kwanza, msomi, mpigania Uhuru Afrika, Mtakatifu.

Baada ya kupitia maoni ya wachangiaji humu naanza kuamini kuwa alikuwa ni malaika katika umbo la binadamu. Hana makosa.
Bado tunashangazana watanzania, huyu jamaa kwa kiasi chake alijitahidi, lakini pia alibana sana, na Tanganyika haina faida ya kutangulia kupata uhuru kabla ya nchi nyingine,
Oook, tuachane na wafu. Mimi binafsi sina faida ninayoiona ambayo ni matunda yake huyu mnayemwita mwasis,
Lakini mbali na hayo hiyo haina maana kwamba waliofuata
 
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?

And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
Umesema yote ndugu

Yaan sjamuelewa kwamba blames zote kwa nyerere... Alichokifanya knatutosha mengne yanatubidi sisi tuyafanye na s kuweka lawama kwa mtu aliepumzika.... Its crazy siamn kama n mtu mzma huyu.......

Kama ww n mama am sure unaweza ukawalaza wanao njaa kwa kusema baba yao hajaacha hela ya kula

Watu wana akil za kikahaba sana kwamba kwakua maisha nyumban magum nauza mwili... Umeshndwa kuuza karanga usitiri utu wako????
 
Bado tunashangazana watanzania, huyu jamaa kwa kiasi chake alijitahidi, lakini pia alibana sana, na Tanganyika haina faida ya kutangulia kupata uhuru kabla ya nchi nyingine,
Oook, tuachane na wafu. Mimi binafsi sina faida ninayoiona ambayo ni matunda yake huyu mnayemwita mwasis,
Lakini mbali na hayo hiyo haina maana kwamba waliofuata
Umri wako labda tusaidie,kama umezaliwa juzi miaka ya 80s si rahisi. Alijinyima madini yasichimbwe,alitoa elimu bure,tiba bure,watumishi nyumba bure.....yaani mshahara ulikuwa unakuta mshahara mwingine! Yaani hawa wazee unawaona wamefikia umri huu kwa kuwa hawakuwa na stress kama za sasa. Hah,walikula maisha!
 
Si kweli.

Jina la Nyerere linalipa Tanzania, hata Diamond katumia picha yake.

Nyerere ni Rais wetu wa kwanza, msomi, mpigania Uhuru Afrika, Mtakatifu.

Baada ya kupitia maoni ya wachangiaji humu naanza kuamini kuwa alikuwa ni malaika katika umbo la binadamu. Hana makosa.
Bado tunashangazana watanzania, huyu jamaa kwa kiasi chake alijitahidi, lakini pia alibana sana, na Tanganyika haina faida ya kutangulia kupata uhuru kabla ya nchi nyingine,
Oook, tuachane na wafu. Mimi binafsi sina faida ninayoiona ambayo ni matunda yake huyu mnayemwita mwasis,
Lakini mbali na hayo hiyo haina maana kwamba waliofuata na wao walishindwa kuifanyia chochote nchi, wanaishia kuchumia matumbo yao,
Mimi binafsi nimeifanyia nini Tanzania? Kumbuka upendo wa mtoto kwa mama chanzo chake ni mama mwenyewe, namaanisha nin faiza, ninawezaje kuifanyia nchi chochote kikaonekana na wakati hamna nyenzo wezeshi?
Nyerere alikuwa rais na mwalimu, alikuwa baba wa watoto wake si TAIFA kama tunavokalilishwa, sio mpigania uhuru kwa maana watanzania bado tupo utumwani kifkra, huyu mtu tumsahau kama watu wengine na laana zinazoiandama nchi yeye alishirki sana, yy sio malaika wala mtakatifu, mtakatifu ni MUNGU na utatu wake mtakatifu, ila sio Nyerere
 
Bado tunashangazana watanzania, huyu jamaa kwa kiasi chake alijitahidi, lakini pia alibana sana, na Tanganyika haina faida ya kutangulia kupata uhuru kabla ya nchi nyingine,
Oook, tuachane na wafu. Mimi binafsi sina faida ninayoiona ambayo ni matunda yake huyu mnayemwita mwasis,
Lakini mbali na hayo hiyo haina maana kwamba waliofuata na wao walishindwa kuifanyia chochote nchi, wanaishia kuchumia matumbo yao,
Mimi binafsi nimeifanyia nini Tanzania? Kumbuka upendo wa mtoto kwa mama chanzo chake ni mama mwenyewe, namaanisha nin faiza, ninawezaje kuifanyia nchi chochote kikaonekana na wakati hamna nyenzo wezeshi?
Nyerere alikuwa rais na mwalimu, alikuwa baba wa watoto wake si TAIFA kama tunavokalilishwa, sio mpigania uhuru kwa maana watanzania bado tupo utumwani kifkra, huyu mtu tumsahau kama watu wengine na laana zinazoiandama nchi yeye alishirki sana, yy sio malaika wala mtakatifu, mtakatifu ni MUNGU na utatu wake mtakatifu, ila sio Nyerere

= tunavyokaririshwa

Umenena vizuri sana ukaharibu hapo kwenye "utatu" mtakatifu. Hiyo ni porojo tu.
 
Umri wako labda tusaidie,kama umezaliwa juzi miaka ya 80s si rahisi. Alijinyima madini yasichimbwe,alitoa elimu bure,tiba bure,watumishi nyumba bure.....yaani mshahara ulikuwa unakuta mshahara mwingine! Yaani hawa wazee unawaona wamefikia umri huu kwa kuwa hawakuwa na stress kama za sasa. Hah,walikula maisha!


Hiyo elimu bure imetufikisha wapi ilhali watoto chungu nzima wenye sifa walisitishwa masomo kwa kuwa shule hazitoshi na ikabidi wachaguliwe waliochaguliwa.

Tiba bure ikatufikisha Watanzania kuwa na "life expectancy" isiyozidi miaka 45. Unajuwa maana yake? Ikatufikisha Tanzania kuwa ndiyo wa kwanza duniani kwa vifo vingi vitokanavyo na Malaria. Unalijuwa hilo?

Wazee mpaka leo wanadai mishahara na marupurupu yao, wengi wamekufa hawajayaona, jikumbushe kuhusu wazee wa East African Community, kwanini hakuwalipa na hiyo EAC ilikufa akiwa madarakani?

Licha ya yote hayo, hivi sasa nimeanza kuamini kuwa Nyerere hana makosa.
 
Umesema yote ndugu

Yaan sjamuelewa kwamba blames zote kwa nyerere... Alichokifanya knatutosha mengne yanatubidi sisi tuyafanye na s kuweka lawama kwa mtu aliepumzika.... Its crazy siamn kama n mtu mzma huyu.......

Kama ww n mama am sure unaweza ukawalaza wanao njaa kwa kusema baba yao hajaacha hela ya kula

Watu wana akil za kikahaba sana kwamba kwakua maisha nyumban magum nauza mwili... Umeshndwa kuuza karanga usitiri utu wako????


Hakuna blames wala lawama kwa Nyerere, hilo la lawama ni swali langu juu hapo, soma maswali yangu vizuri, nnayarudia hapa:

Wengi wanao nisoma maswali niliyouliza kwenye post namba moja hawajanijibu hata moja, naomba kuyarudia labda hamjanisoma sawa:

1) ...Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au

2) tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

3)...kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni?

4) ...alikuwa hana muono?
 
Detention na deportation ACTs zilikuwa sheria nzuri sana za kudili na wapinzani kuliko kuwafunga jela. Lazima tukumbuke nchi ilikuwa inapitia yapi ktk kuitekeleza falsafa yake ya ujamaa na kujitegemea, sera ya Uhuru na udugu wa kiafrika nk, upinzani haukutakiwa hapo.
Naweza kukubaliana na wewe and that's why it is no longer applied. None of his successors used that technique to stop opposition movements.
 
Hakuna blames wala lawama kwa Nyerere, hilo la lawama ni swali langu juu hapo, soma maswali yangu vizuri, nnayarudia hapa:

Wengi wanao nisoma maswali niliyouliza kwenye post namba moja hawajanijibu hata moja, naomba kuyarudia labda hamjanisoma sawa:

1) ...Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au

2) tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

3)...kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni?

4) ...alikuwa hana muono?
In order to chip in, you should keenly look at different historical angles. First,his personal life,second the ideology he used to believe and preach and lastly,the people's response towards his administration. I'm aware,majority of JF members are not to the extent even to narrate these inquires! Probably,are not interested or were yet to see the world!
 
Faixaaaa tangu uishi hapa naona umejitahidi kuihukumu CCM
 
Mbona
kuna kitu nimejifunza hivi karibuni harafu nimekikubali sana kwamba raia wa kawaida hajali nani anatawawala ikulu anachojali ni mkate uwpo mezani. je nyerere alihakikisha kwamba hata yeye akiondoka madarakani watanzania wanapata mkate kama kawaida?. hapana aliweka maZingira kwamba mwinyi akija nae atumie utashi wake. hakuweka misingi imara na thabiti ambayo kama nchi tulitakiwa kufuata kama waLIvyfofanya china. ni kana kwamba alijua atatawala milele hivyo hakuandaa watu wa kuendeleza mawazo yake ambayo from my heart nakubali yalikuwa mazuri kwa nchi maskini kama yetu (nchi maskini zinafaa ujamaa lakini tajiri inafaa ubepari
). halarafu mkuu usifurahie elimu ya bure maana mara nyingi inakuwa sio bora vyuo vyote ambavyo viko kwenye ivy league ni binafsi, ni nyerere aliekuwa na mawazo mgando kwamba tutapata elimu bora bure!, hayo sio maono.






e

Jamani Tuache Mawazo mgando ysliuotushinda ss mbona Warus na wachina wsliweza ya ujamaa na wamepuga hatua kubwa kinaendrleo? Kaka ss tulishindwa kwa upumbavu na ubinafsi wetu basi tusimlaumu mwalimu nyerere. Dunia yote inamkubali kwamba kwa uwezo wake alipambana
 
I kumbuka kuwa mzee huyu maruhum aliondoka madarakani alien DeShawn nchi yetu akitegemea kilimo peke yake. Hakuwa na biashara ya Utalii wa uchimbaji mkubwa wa Madini wala gesi wala biashara ya kuleta Vitu toka ng'ambo wala technology. Lakini aliondoka aka acha reli inafanya kazi, viwanda, ndege za abiria, jeshi imara, baadhi ya vyuo elimu ya juu na tukiwa wa moja kama nchi ya watu wa moja. Je aliowaachia wamefanya nini hivi Vitu bdo vipo na je wameviendelezahe 32 years after his retirement?
 
Sasa bila huo babako siangeishia kwenye u-constable!

Safi sana, kwani wale waliokuwa kwenye "u-constable" si binadam?

Hiyo ni kazi pia tena ya heshima kabisa, ndiyo wanaotulinda kwa maisha yao ili sisi tuishi kwa usalama.

Unajibu hoja ukumbuke, kama wewe au baba'ko alibarikiwa na kuwa na kazi yoyote nyingine, haimaanishi yeye ni mbora zaidi kuliko "constable".

Usikute baba'ko (au wewe) ni wezi tu ndiyo maana ukajenga chuki kwa "u-constable".

Kazi mbaya siyo mchezo mwema.
 
Mbona kidogo sana hao mabikira?

Wale manowaita masista (nun) siyo mabikira wale?

Halafu huwa nnawaona wote wana pete za ndoa,wameolewa na nani anaependa mabikira? Wote wale hushangai?
Nimekuuliza ww mbona unahamia kwa wengine......JIBU SWALI KWANZA BASI!!
 
Back
Top Bottom