Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Hakuna blames wala lawama kwa Nyerere, hilo la lawama ni swali langu juu hapo, soma maswali yangu vizuri, nnayarudia hapa:

Wengi wanao nisoma maswali niliyouliza kwenye post namba moja hawajanijibu hata moja, naomba kuyarudia labda hamjanisoma sawa:

1) ...Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au

2) tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

3)...kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni?

4) ...alikuwa hana muono?
Kabla ya kujibu hayo ya zamani sana.....ebu kila penye nyerere weka neno magufuli alafu ujibu ndo utaeleweka kuwa maswali yako sio ya kinafiki
 
Hoja yako hapa siokufundisha wachangiaji lugha, jibu hoja zetu tukitaka lugha tutaenda darasani
Marehemu baba wa Taifa aliweka misingi mizuri lkn timu/viongozi waliokuwa nyuma yake hawakuipenda hiyo misingi ila walikuwa wanafiki na waliona itawabana hata wao.Mbona nchi ya China imefanikiwa kwa sera zake na tulikuwa pamoja?Ushahidi wa kutosha ni pale Azimio la Arushu lilivyouliwa fasta na kuitwa Azimio la Zanzibar baada ya kujiridhisha kuwa sasa watakua na faida nalo.Lakini zaidi sana Baba wa taifa wakati alipoamua kung'atuka sababu kubwa ilikuwa kuwapa viongozi wapya nafasi ya kurekebisha na kuweka misingi mizuri pale alipokua amekosea.Kumbukeni ktk hotuba yake ya kung'atuka,aliweka wazi kabisa kuwa hata yeye/serikali yake hakuwa malaika hivyo kuna makosa yalifanyika lkn pia kuna mazuri mengi yalifanyika.Hivyo ni muhimu kuchukua ya mazuri na kuayaendeleza na kuyaacha yale mabaya.(kuyarekebisha)Lkn cha kushanga,ni kuwa watu wameacha yale mazuri na kuyachukua yale mabaya(AMBAYO NDIO YAMETUFIKISHA HAPA TULIPO)Hivyo sioni sababu ya kumlaumu Baba wa Taif'a kwa sababu alikiri kuwa kuna alikokosea na ndio maana akaamua kung'atuka kutoa nafasi kwa wengine kurekebisha.WA KUWALAUMU NI HAO WALIOMFUATA.
 
Kujadili mambo yaliyofanywa Na MTU ambaye hayupo lwo ni sawa Na kujadili jinsi ya kuirekebisha nyumban iliyokwisha anguka.


we should think about future of the Nation and not a died person


Na utaijenga tena nyumba mpya bila kutazama aliyejenga kwanza alifanya makosa yepi?
 
Leo unechemka... kwanza hakuna bikra pale pili zile pete ni rozari zichunguze vizuri utakuta zina msaraba.. na sanamu ya issah bin mariam...au YESU KRITU mtoa majini na mapepo...

= msalaba

Nani kaongelea rozari?

Hivi mnachokisoma huwa hamuelewi au ni ujinga wa asili?

Maana kama na dhambi ya asili nnauhakika hata ujinga wa asili hamuukosi.
 
hakua imara katika mfumo wa kisiasa ,mara communist mara ubepari na hakukua na democracy lazima utayumba.

Elimu yetu ilikua duni kiasi tukashindwa kuzalisha wasomi na wataalam.
 
Na utaijenga tena nyumba mpya bila kutazama aliyejenga kwanza alifanya makosa yepi?
wewe tangu enzi za Jakaya unalia na Kambarage, hivi alikulia nini chako? haya umetizama na umeyaona makosa. ya fix. huna clue. sasa unataka nini? afufuke Nyerere? wewe subiri 2020 ukapange foleni kuiweka ccm madarakani uje uendelee kulialia Nyerere alifanya makosa.
 
= msalaba

Nani kaongelea rozari?

Hivi mnachokisoma huwa hamuelewi au ni ujinga wa asili?

Maana kama na dhambi ya asili nnauhakika hata ujinga wa asili hamuukosi.
We acha ufala kukosea spelling sio ndio hujui we bibi vip huna marinda nini... *****
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
We bb hebu tuliza k
 
Kabla ya kujibu hayo ya zamani sana.....ebu kila penye nyerere weka neno magufuli alafu ujibu ndo utaeleweka kuwa maswali yako sio ya kinafiki


Magufuli bado hajamaliza muda wake nae tutahoji. Kwa sasa anafanya kazi kwa mujibu wa ilani ya chama chake.
 
Marehemu baba wa Taifa aliweka misingi mizuri lkn timu/viongozi waliokuwa nyuma yake hawakuipenda hiyo misingi ila walikuwa wanafiki na waliona itawabana hata wao.Mbona nchi ya China imefanikiwa kwa sera zake na tulikuwa pamoja?Ushahidi wa kutosha ni pale Azimio la Arushu lilivyouliwa fasta na kuitwa Azimio la Zanzibar baada ya kujiridhisha kuwa sasa watakua na faida nalo.Lakini zaidi sana Baba wa taifa wakati alipoamua kung'atuka sababu kubwa ilikuwa kuwapa viongozi wapya nafasi ya kurekebisha na kuweka misingi mizuri pale alipokua amekosea.Kumbukeni ktk hotuba yake ya kung'atuka,aliweka wazi kabisa kuwa hata yeye/serikali yake hakuwa malaika hivyo kuna makosa yalifanyika lkn pia kuna mazuri mengi yalifanyika.Hivyo ni muhimu kuchukua ya mazuri na kuayaendeleza na kuyaacha yale mabaya.(kuyarekebisha)Lkn cha kushanga,ni kuwa watu wameacha yale mazuri na kuyachukua yale mabaya(AMBAYO NDIO YAMETUFIKISHA HAPA TULIPO)Hivyo sioni sababu ya kumlaumu Baba wa Taif'a kwa sababu alikiri kuwa kuna alikokosea na ndio maana akaamua kung'atuka kutoa nafasi kwa wengine kurekebisha.WA KUWALAUMU NI HAO WALIOMFUATA.


Azimio la Arusha halijawahi kuitwa Azimio la Zanzibar.

Azimio la Zanzibar ni kitu kingine kabisa.

Hayo "mabaya" ya kuyaacha ni yepi? Na "mazuri"ni yepi?

Labda na hao "WALIOMMFUATA" wameshindwa kuelewa "mabaya" na "mazuri" ni yepi kaa mimi? Fikiri.

Labda utuoneshe japo kidogo.
 
= msalaba

Nani kaongelea rozari?

Hivi mnachokisoma huwa hamuelewi au ni ujinga wa asili?

Maana kama na dhambi ya asili nnauhakika hata ujinga wa asili hamuukosi.
Unaelimishwa bado hujielewi unachouliza na unamaswali ya hovyohovyo we bikra wa peponi kwa mudy
 
Magufuli bado hajamaliza muda wake nae tutahoji. Kwa sasa anafanya kazi kwa mujibu wa ilani ya chama chake.
Hakuna aliyesema ilani wala muda wa magufuli kukaa madarakani.....wala hayo sio msingi wa kujadili hali ya nchi....
Kwa upeo wako unamaanisha wkt watu wakiendelea kutekwa, hakuna ajira, watu wanauawa, kuna kejeri na matusi kutoka kwa viongozi basi tusubiri ilani itekelezwe na miaka mitano iishe ndo tufanye tathmini?
Umejaza uccm kwenye mambo yanayohitaji mijadala ya marakwa mara....

Nasema tena:::::::
"Kabla ya kujibu hayo ya zamani sana.....ebu kila penye nyerere weka neno magufuli alafu ujibu ndo utaeleweka kuwa maswali yako sio ya kinafiki"
 
Usikute baba'ko (au wewe) ni wezi tu ndiyo maana ukajenga chuki kwa "u-constable".

Kazi mbaya siyo mchezo mwema.
tungekuwa wezi tungeneemeka kama nyie mlivyoneemeshwa na wizi na rushwa za wazee wenu.
 
Kituko jina la mtu humu JF.

Naam dada FaizaFoxy , mbona hutaki kuwa mkweli ndugu yangu?, Tanganyika ilikuwa tofauti sana na Kenya, Uganda na hata Zanzibar, Zanzibar ilikuwa ni nchi iliyokamilika kwa maana kila kitu kilikuwa kwenye mstari

Nyerere aliikuta Tanganyika iko hovyo na mgawanyiko usio wazi wa Kikanda, Kikabila, Kielimu, nk. Kwa kweli alikiwa na vitu vingi vya kufanya na kugusa, Tanganyika imepata uhuru huku kuna baadhi ya watu wanatembea uchi, wakati Zanzibar haikuwa hivyo
So Nyerere kama Binadamu hawezi kukosa mapungufu, lakini mapungufu yake ni machache na sioa fatal kama mazuri yake
 
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?

And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?

We naye kama lugha ya malkia imekushinda bora uongee tu kimatengo, ndo kiingereza gani sasa hicho, "he has been dead!!!
 
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?

And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?

We naye kama lugha ya malkia imekushinda bora uongee tu kimatengo, ndo kiingereza gani sasa hicho, "he has been dead!!!
 
Wacha ujinga, Unaposema "Nyerere alishindwa kutuwekea mifumo sahihi inayo kubalika na watz" ulitataka Nyerere peke yake ndiyo akuwekee hiyo mifumo? kwanini usimuulize babu na baba yako wao walikuwa wapi wakati Nyerere anaweka hiyo mifumo isiyofaa?
Kama wao walimwani Nyerere pekee kwanini baadae nyi mje mumpe lawama kwa kutokufikiri kwenu na kwa wazazi wenu?

Ok! Baada ya Nyerere kuondoka madarakani...mlishindwa nini kubadirisha hiyo mifumo na kuweka mifumo sahihi...Je mlihisi mmechelewa mpaka hii leo?...Je ni uzembe wa akili zenu?... Au Nyerere ameondoka na mashine ya kuchakata hiyo mifumo sahihi?

Je Azimio la Zanzibar halikuwa mwanzo wa kubadirisha mifumo hio...na yapi ni mafanikio yake mpaka sasa?
Nyerere alikua na Absolutely power ya kufanya kila kitu kwakua katiba aliyo ifuata ili mruhusu kufanya hivyo. Na siwezi kulaumu Babu, bibi au wazazi wangu kwakua Enzi hizo Nyerere hakuruhusu uhuru wa habari wala kutoa maoni. Na kwa upande wangu na kwa kizazi cha sasa tumefanya kitu kama una kumbukumbu nzuri utakumbuka Rasimu ya Warioba ilieleza maoni ya watz na bado tunaimani na tunaipigania irasimishwe. PILI Nyerere hakua Mtakatifu alifanya makosa but ina shangaza namna watu msivyotaka kuadmit hilo jambo.
 
Nyerere aliendeshwa na maaskofu wa Roman Catholic, na ndio maana alishindwa kuondoa kiti chao pale Ikulu.Na inasemekana eti hii nchi aliikabidhi Vatcan.,,Nyerere alikuwa mchuro alitukokota vitani kwasababu ya udini,ndio maana hii ilipiga mweleka wa kiuchumi mwaka 1981-84.
 
Back
Top Bottom