Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
- Thread starter
- #21
Kama mwanachama mwingine ameenda nyumbani kwake.. na kukuta jamaa ka log in na yeeye akaamua kupost tu badala ya kusubiri kujiandikisha itakuwaje? Miye niko open minded... na ninafuatilia lakini sasa hivi sipuuzii jambo lolote kwani wanadamu tunauwezo wa mambo mengi sana.
Kweli kabisa Mwanakijiji!! Watu wanadhani haiwezekani mtu mwingine ku post kwa kutumia jina la mwingine. Binamu yangu Nyani ni mtu ambaye alikuwa anapenda convinience. Kwake mambo ya ku log in and out kila alipotaka kubandika alikuwa hayapendi. Kwa hiyo mara zote yeye alikuwa ame log in.
Halafu sielewi kwa nini watu wanatilia mashaka habari hii ya kuhuzunisha. Sishangazwi sana kwa sababu kuna ambao wanaamini kuwa Balali kafa na kuna wanaoamini kuwa Balali yu hai.