Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,806
Uyo naomi ni mfupi 😄 isijekuwa ni yule naomi wangumkuu hajui kwa kweli hata nikiwa nae kimahusiano sijawahi kuwa muwazi nilitaka anijue mdogomdogo. yaani asinikubali haraka.
Hata wakati namuambia aniache kisa siko vzr kimaisha nilimuambia ya kuwa hujui background yangu na pia sijawahi kukuambia mengi kunihusu. so please Naomi naomba uniache maana naona hali ikiwa hii nitazidi pata stress au kuumia mbeleni
Hii kitu nishawahi Fikiria. nitalifanyia kazi mkuuMkuu mcheki mpe hata zawadi kwa walau kukuvumilia kipindi kifupi
Hii kitu nishawahi Fikiria. nitalifanyia kazi mkuuMkuu mcheki mpe hata zawadi kwa walau kukuvumilia kipindi kifupi
Sasa huoni hapo yeye ndio alikuwa jini mnyonya maendelea yako ta nyota umemuacha tu na kazi umepata mkuu shukuru Mungu jinamizi lililokupenda limeondoka kwa maisha yako
Lols G ndo nani tena kaka mzuri?Kwa hiyo G ndio sio wa kwangu tena?
Vaa hivyo viatu hafafu machozi yanamdondoka mtu....hiyo picha itakutoka?
Hapana aisee.Uyo naomi ni mfupi í ½í¸ isijekuwa ni yule naomi wangu
Wachache sana wana hii nguvu...The power of letting go
Hii ni cheat code ya mafanikio kwenye uhusiano wowote ule iwe mapenzi,biashara or whatever
Inabd uwe unajua kipi ushikilie kipi ukiachie, kivipi na ni wakati gani na ni Kwa muda gani
Basi komaa nae sema chunguza ujue kama kabadilika asijekupendea pesaHapana aisee.
😅😅😅 Dah nimecheka sana kwenye mauongo ,kukutana na mavimpire unyama unyama kama siyo kukaza wangekutoa rohoInatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeye 😂😂😂 Yan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki
Basi komaa nae sema chunguza ujue kama kabadilika asijekupendea pesa
Mkuu mnunulie tu umpelekee hata kama siyo manzi wako-anadeservenatamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .
inapain ila sina jinsi .
Sijapewa wala sijatoa., ila nipo nawaza kulet go maana naona it may not work, bora nijiengue mapema..Poleeee
Wewe ndo umepewa notice au wewe ndo umetoa notice?
Uncle kasepa, mwaka ungali mbichi kabisa 😎.Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.
Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Unataka kusemaje binti?Asee haya mambo yapo na yanaumizaa. Ila ukiwa single mda mrefu Kuna time unamiss moments za kutoa chozi tena kwaajili ya mapenzi looh. Huyo nlitoka kwe mbavu zake sjui Yuko api kwani
Inatokea sana Manzi mmoja tulifall vibaya mno ila me mwenyewe nikajitoa kwa sababu asee nilimdanganya vitu vingi sana !! Vingi mno kiasi kwamba tungeingia kwenye ndoa tulikaa kama mwaka hivi ! Alikua mzuri sana na anapenda maisha fulani hivi unyamwezi sana !! Alikua mwaminifu sana , niliamua kumpotezea tu maana nilikua muongo mno !!! Na sijawahi kukutana kama yeyeYan nakutana na mavimpire unyama unyama nisingekua Nakaza wangeshanitoa roho !! Sasa nataka kurudi kwa mtoto mzuri hadi leo anaelewa ila mauongo dadeki