No matter how sweet it is......

No matter how sweet it is......

Nakadori umeniquote hapo juu .mkuu unajua ilikuwaje???

Kuna mwanamke so beautiful. unajua beautiful wewe basi ndio yule anaitwa Naomi .
yule mwanamke hatukutongozana ila ni love at first sight. hiyo ni 2020.
Alikuwa bikra kabisa. Alisema kawabania wote kanipa mimi hiyo chance. sikufanya ajizi .Alinipenda sana nilimpenda kwani alinitoa katika stress za mapenzi ndio akawa tiba yangu.
maisha yakaenda nimemaliza chuo mambo hayaendi mtoto yuko na mimi tu. imefika stage mwaka Jana wa kumi nikamuweka chini

nikamuambia mama maisha yangu naona kutoboa kwa sasa ni ngumu najua hujawa influenced na chchte kuwa na me ila pesa ni muhimu pia kwenye mapenzi ila please ona hadi ninashindwa kukununulia jezi ya Yanga . kweli hii sio sawa najua itafika Kipindi utanichoka .

kwanza wakuu nilifikiria sana kbla ya kufikia uamuzi huo. ila nikawa sina jinsi ila nikawa na hope mambo yanaenda pouwa imani nilikuwa nayo na bado ninayo kuwa kutoboa hakuko mbali.
,
basi alinielewa lakini mimi nikijisema kwamba akikataa kuniacha na kunivumilia basi once nikitoboa siji spend maisha na mwanamke mwingine zaidi yake.
Lakini Ndyo hivyo alienda huku nampenda.

Guess what November nimeitwa job baada ya kupass certain i nterview baada ya kuwa jobless kwa miaka kadhaa.
natamani ningekuwa na Wewe Naomi muda huu nikununulie raba nyeupe na jersey ya Yanga kama nilivokuahidi maana sahivi Mambo yangu yamenyooka .

inapain ila sina jinsi .
Mrudishe jaman
Don't let her go... take her back
 
Enzi hizo nasoma,
Nilimpenda binti flani wa kifaransa,
Alkua anapenda Sana clubs na Bata.
Hakuwai kunipiga mzinga hata siku Moja
IIle kua tu nae lazima pesa nyng initoke

maana mkiwa pamoja atalipia afu atataka next round umnunulie yeye vile vile ili kushare cost, wkt mm bajeti yangu ilkua ya kuunga unga.

Nikawa namkwepa mpk tukaachana kusudi kisa sikuweza kuafford chochote zaidi ya kudrain pocket money yangu kwa spidi kias kwmb hata nikiishiwa nakosa hata Cha kujieleza kwa wazazi.

Tumekuja kukutana Dubai keshaolewa,
Kwny kawasiliana ili tukumbushie nikamchana ukweli nilimkwepa kusudi kwasababu ya uchumi, akanilaumu Sana. nami nikagundua kumbe nilifanya Jambo la kifala Sana.

POOR COMMUNICATION
 
Mrudishe jaman
Don't let her go... take her back

Ni ngumu kwa Sababu nilimuambia ili nione kama ataendelea kuwa mimi. ila kuna siku alinitafuta wakati huo marioo katoa wimbo wa dear ex. akaniambia mambo ex wangu .
as long as namjua a to z ya kuwa ni anamkubali sana Marioo na ni shabiki yake mkubwa so sikutaka tumia akili ya cuba kujua anamaanisha nini.
afu kipindi hiko kiuchumi a wala b haikai.

nilimjibu please sitaki onewa huruma mimi.
 
Mcheki msapraizi na zawadi ata siku yake ya kuzaliwa. Kwani anajua umepata ajira?
mkuu hajui kwa kweli hata nikiwa nae kimahusiano sijawahi kuwa muwazi nilitaka anijue mdogomdogo. yaani asinikubali haraka.
Hata wakati namuambia aniache kisa siko vzr kimaisha nilimuambia ya kuwa hujui background yangu na pia sijawahi kukuambia mengi kunihusu. so please Naomi naomba uniache maana naona hali ikiwa hii nitazidi pata stress au kuumia mbeleni
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Hayo mapenzi yenu vijana bhana 🤣🤣🤣🤣
 
Katika mazingira kama hayo ndio unajua mtu ametumia akili kuliko Hisia.

Mimi kuna wadada wengi huwa nawaacha kwa faida yao.
 
Ukiona mtu anakuchapa kwa hilo tukio jua tayari kashapata sehemu nyingine ( greener pastures) ya kuhemea.

Hii tabia Mara nyingi inaendekezwa na wanawake.
Kuna mtu huko nje kashapigwa kibuti na Nakadori😂
Niliachagwa na pisi yangu ya kiarabu na kihindi mwaka fulani mpaka leo nikiwazaga na kutathmini sijui nilikosea wapi... ilikuwa ghafla ghafla tu... siku hiyo naamka zangu asubuhi mapema hakuna "Goodmorning" za kimahaba kama nilivyozoea... mtoto namcheki saa 1 (moja) asubuhi naona yuko low nikajua mood tu au visa vyao wanawake kama tunavowajua... mzee mzima nikawa zangu romantic as-ussual, ghafla mtoto ananiambia kuna kitu nataka kukwambia ila ukitoka ofisini leo... nikajua anataka pesa au nimpeleke somewhere.


Nikajiandaa mzee mzima nikaingia kwenye majukumu ya kujenga uchumi binafsi na wa taifa kwa ujumla ila niko roho juu aniambie shida ni nini maana sio kawaida yake alikuwa kinyonge sana! Kwenye mids ya saa 3 (tatu) asubuhi nambembeleza aniambie kama kuna tatizo Anatuma message "I don't want this relationship".... Sababu nini ananijibu kaamua tu. Aisee nilichoka 😂🙌🏾


Ndo tabia yao hawa kututosa wakishapigwa mistari kwingine alafu wanakuja na Drama hapa. Mpaka kesho pisi yangu haitoki mawazoni 😂👍🏾
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Pole sana!
 
Heri ya mwaka mpya waungwana...
Mapendo daima...
Asee kuna mda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi umuachilie tu aendee no matter how sweet it is.... yani unamwambia kabisa kwamba mazingira tuliyo nayo haiwezi kuwork out na hivyo baba au mama byebye.....inaumaaa sema ndo hivyo tena bora ukweli mchungu.

Vipi waungwana mshawahi kutana na hali hizii?
Ndio umekuja stuka sahii.
 
Niliachagwa na pisi yangu ya kiarabu na kihindi mwaka fulani mpaka leo nikiwazaga na kutathmini sijui nilikosea wapi... ilikuwa ghafla ghafla tu... siku hiyo naamka zangu asubuhi mapema hakuna "Goodmorning" za kimahaba kama nilivyozoea... mtoto namcheki saa 1 (moja) asubuhi naona yuko low nikajua mood tu au visa vyao wanawake kama tunavowajua... mzee mzima nikawa zangu romantic as-ussual, ghafla mtoto ananiambia kuna kitu nataka kukwambia ila ukitoka ofisini leo... nikajua anataka pesa au nimpeleke somewhere.


Nikajiandaa mzee mzima nikaingia kwenye majukumu ya kujenga uchumi binafsi na wa taifa kwa ujumla ila niko roho juu aniambie shida ni nini maana sio kawaida yake alikuwa kinyonge sana! Kwenye mids ya saa 3 (tatu) asubuhi nambembeleza aniambie kama kuna tatizo Anatuma message "I don't want this relationship".... Sababu nini ananijibu kaamua tu. Aisee nilichoka 😂🙌🏾


Ndo tabia yao hawa kututosa wakishapigwa mistari kwingine alafu wanakuja na Drama hapa. Mpaka kesho pisi yangu haitoki mawazoni 😂👍🏾
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunawabamizaaa tuu
 
Back
Top Bottom